Kwanini "tunashadadia" sana kuhusu Mh.Makonda

Kwanini "tunashadadia" sana kuhusu Mh.Makonda

Wewe ni msemaji wa muuza Unga gani? Hizo chuki zenu zitawamaliza. Nyie endeleeni kuwahami wauza Unga
Huyo jamaa yenu asipoguswa kuhusu tuhuma za kufoji vyeti basi lile zoezi la kuhakiki vyeti vya watumishi wa Umma litakua halina maana tena
 
Kuna pahali pameandikwa amezaliwa 1981 lkn kwenye picha yake ya kugombea sijui uenyekiti ndani ya CCM imeandikwa amezaliwa 1982.

Clarification pls!
Mkuu unamtafutia balaa lingine. Laiti kama DAB angekua ni Bonge saivi angekua keshapandisha au kushusha BP..

Anyway ngoja niitafute ile Ngoma ya Young D-ujanja ujanja.
 
ea823a999ab429bdedcfd1e91f5d60d7.jpg
 
Kwasababu ni mwizi wa vyeti na nimuongo

Swissme

Siku zote binadamu tunajisahau tulipotoka hivyo nikipata tunawaona binadamu wengine hawana maana na hawafai ndicho kilichomkuta Makonda.

Sambamba na mkulu naye anapata adhabu kutokana na historia ya bwana Bashite.
 
Jf imekuwq Dampo sasa kama cdm
thread za hovyo hovyo kila muda!!!

Kutokana Jf na wewe umo humu ndani ni sawa na kujichungulia vyeti zako alafu unajishangaa.
Simply usingie humu kama hutaki maudhi na tafuta majukwaa ya kupendezayo.
 
Anayetakiwa kuwa rc ni mwenye cheti ambaye Paulo sio huyo David!
 
Kuna pahali pameandikwa amezaliwa 1981 lkn kwenye picha yake ya kugombea sijui uenyekiti ndani ya CCM imeandikwa amezaliwa 1982.

Clarification pls!
Nothing serious! Kufoji nako kunahitaji uwe vizuri upstair!!! Ukiwa bashite halafu ukafanya forgery; hesabu hiyo forgery itakaa kibashite bashite tu!!!
 
Sasa nimeanza kuelewa, leteni vyeti viwe fake au original tumalize mjadala.
 
Wewe unaonekana umejaa chuki tu hamna kipya
Iv bado kuna watu wana akili kama huyu ,chuk IP haliya kua yaliyosemwa ni kweli. Kutaja watu bila ushahid sio chuki ,hujaona ,kutaja watu bila uchunguz unakuta hana case ya kujibu af unaanza kuwatafutia vikes vya ajabu ajabu sio chuki ,watu walitajwa wakatumbuliwa bila kujitetea sio chuki ,watu walio temwa kazin kwa sabab ya vyet sio chuk ,kuambiwa daudi ndo chuki acha chuki ww .what goes in must come out ,what goes up must come down ,what goes around must come around
 
Ye si alete vyet vyake hadharan tuone kama kaonewa nafas anayo tunaamin ,mbona mama kilango alitumbuliwa fasta tu kwa kusema hakuna watunishi hewa tena kwa kupewa repot feki ,uyu ye ni nan ,aya madaraja ya kwamba akinya kuku kanya akinya bata kaarisha hatuyataki ,ifanyike kama ilivokua kwa wengine kama mkurugenz wa kagera ,mpanda na kina kabwe
 
Kumbe bado unawaka?mie nilifikiri inshu ya uteuzi wa Mama Kikwete itauzima huu moto!kumbe hapana,dah!watu ndiyo kwanza wanakaza na kamba...!
Kazi kwelikweli!
Aya twende kazi!
Ni aibu jiji kuongozwa na mhalifu
 
Back
Top Bottom