Umesema hakuna formulaKuoa mke ni kuelewana hakunaga wife material.
Ndio maana ukifuata formula unateseka ila ukioa mwanamke uliyemridhia nisawa.
Kuna utofauti wa wife material na mwanadada uliyemridhia how.
1. Mwanadada uliyemridhia niyule ambae akiwepo you feel complite without any complain.
Ila lazima,ajue kupika hicho ndicho cha muhimu na kingine mapenziii.
Mwanaume lazima aridhike na mwanadada kwenye hili suala.
2. Wife material ni yule ambaye umejiwekea ukachuja .
Mwanamke hachujwi sio machicha ya nazi.
Mwanamke anaridhiwa na mwanaume.
Basiii.
Hii humfanya mwanaume afurahie ndoa.
Ila,cha wife material never. Unajidanganya yena ukimwoa mtu kwa hiari yake na yako ni sawa.
Zamani mwanaume anaanza chini hadi juu anaoa leo mnachuja ndio maana,shida mnazipata ndani.
Hujachuja mtu ila tabia,zake na,alivyo.
Ila wakuridhia ni yule ambaye sio tabia tu bali ni mtu husika.
So wife material ni umeoa tabia na jinsi anavyojiweka kwako i hope nimeeleweka.
Afu saizi sio kama zamani ujue mambo yamebadilikaWife material wako generic bana we wala sio subjective kama unavyoongea! Hakuna mwanaume anayetaka kuoa mjuaji, hakuna anayetaka mke ambae hamsikilizi! Hakuna anayetaka kuoa mwanamke msaliti au malaya! Hamna mwanaume hataki mwanamke mwenye hofu ya mungu. Wanawake wenye hizi sifs wapo miongoni mwenu.. Jaribu kuuliza hizi sifa katika wanaume 10 kama kuna hata mmoja atazikataa!
Kama mwanamke ha fit humo huyo hayupo kwenye class ya wife materials ila utakuta mvulana anafosi tu kwa sababu kapenda matako na sura ya maziwa 😅😅😅 anaweza tumia hata hela kumu intimidate mtoto wa kike tu ili amkubali amuoneshe hizo qualities nilizoainisha hapo awali sababu tu ya nguvu ya pesa mwanamke atamuigizia kwa muda ila when reality hits hawezi kukeep up na unafiki! Ndoa hio lazma ivunjike haraka iwezekanavyo!
Wife materials ni wavumilivu hata kwenye hard times they ride or die partners! Wasio wife materials hela ikikata utajuta kumfahamu😅😂😅
Eeh sasa kuwaridhisha mabestie sindio kunaletaga mabalaa maana hauishi na bestie bali kivuruge wakoAfu saizi sio kama zamani ujue mambo yamebadilika
Saizi watu wanaoa kwa lengo la kuwaridhisha mabestie kutopondwa endapo ataonekana kaoa demu ambaye hana specs za kimjini
Wanasema wanawake wenye tabia nzuri na hofu ya mungu wengi hajaja qualify kigezo hicho
Ni hatari yani
Unapochagua mke wa kuoa jambo la kwanza linahusisha interest yakoEeh sasa kuwaridhisha mabestie sindio kunaletaga mabalaa maana hauishi na bestie bali kivuruge wako
Kuoa ni hivi unaoa yule mtu ambaye first sight umeridhika called you have admire someone.
Ukimfuata akakubalia inaitwa amekuadmire sio kukupenda kavutiwa.
Kingine pia nihiki baada ya hiloo kupitandio mnaanza kudate 1st date mnajuana halafu 2 date mnaanza kupimana if mtafaana 3rd date ndio mnaaenda kula kuanza kale kamchezo tena sio home ka lodge kazuri halafu mkiwezana atakupigia simu .
Demu huwa ndio anapiga simu.
Mwanzo kama unajua mambo then wewe au mnajikuta wote mmepigiana kwa mchezo wa sebene mzuri.
Halafu hapo ndio unaanza kuangalia je nitakuwa naye serious au lah
Chakuangalia afya yake uwezo wa kupata mtoto,je anakupenda,kukudhamini ,kukujali?
Ataweza kukuvumilia?
Amekupenda kwa moyo ?
Au ulivyoo ?
Ulivyo ni mwonekano.
Basi kaa naye kwa miezi ya mwisho uone heshima na mipaka yake kwako .
Ikitiki oa basiii.
Unachanganywaje hapo kwa mf.??
Kweli you are smart mkuuKwenye kutaka kuoa mambo kadhaa huangaliwa.
1. Body chemistry- Uzuri wa sura, umbo, sauti, motion, rangi, n.k. wanaume wengi wanaanzia hapa kutamani na akilewa na tamaa anaoa kabisa. Uzuri ukiisha ananza kuweweseka kutafuta mwingine.
2. Character and conduct- hapa ndo mambo ya tabia na mienendo, mwanamke anaweza kuwa sio mzuri wa sura au umbo lakini ni MTU, ana tabia zake nzuri, sio john kiropo, anajua aongee nini na kwa wakati gani, anatunza Mali zake na za mumewe...na mambo mengine ya tabia nzuri unayoyajua.
3. Uchamungu- Mahusiano yake na mola wake. Yakiwa mazuri basi na mke anakuwa hana mashida shida.
Mke akiwa na hofu ya mungu basi hata mkigombana mnaachana kwa wema.
4. Compatibility- hapa tunamaanaisha kule kuendana, unaweza kuwa na mke ila hamuendani kwa mambo mengi, mnabishana hatari, ye anapendelea mambo flani, we unapendelea mambo kadha. Hapo lazima uione ndo chungu. Ile family mission na vision zinakuwa hamna.Kila mtu ana malengo yake. Na sio malengo ya pamoja.
Kikubwa ni kucompromise. Hakuna binadam anaweza kuwa na sifa zote hizo. Mkishardhiana mengine unakausha tu. Mwanake ukishaishi nae kama sio mshirikina, hachepuki, na akawa na kizazi. Mengine unavumilia tu.
Thanks mkuuKweli you are smart mkuu
Ni kweli mkuu ndoa ni taasisi nyeti sana, kuvumiliana ndo jambo la msingi japo si kila linalokuja linaweza kuvumilika.Wengi wanataka kupata wenza wakamilifu! Wakati ndoa haina mkamilifu na inahitaji uvumilivu!
Boy ndio kitu gani?! 'Unaweza ukaoa wife material lkn boy akawa haendan na material ya wife wake. Wife mlokole boy kutwa bar unadhan mbungi itakua ya kitoto humo ndan