Kwanini tunaoa so called `Wife materials` lakini bado kwenye ndoa ni majanga?

G.Man

JF-Expert Member
Feb 9, 2014
1,008
2,002
Habari wakuu,

Rejea mada tajwa.

Niseme tu ukweli wanaume wengi wanateseka na ndoa zao (japo wengi hawataki kujionesha), angalia kipindi cha kutaka kuoa huwa tunachagua sanaa. Na formulars tunakuwa nazo kabisa kwamba usioe huyu au yule na tunazingatia, lakini kwenye nyumba hali bado ni tete.

Nauliza wabobevu, hivi ni wapi wadogo zenu tunakosea? Inakuwaje tunachepuka na wale micharuko ambao tuliona hawafai kuoa na unaweza kuwapa huduma pengine sawasawa na mkeo au zaidi tena kwa amani!

1626157101601.png

 
Habari wakuu

Rejea mada tajwa. Niseme tu ukweli wanaume wengi wanateseka na ndoa zao(japo wengi hawataki kujionesha), angali kipindi cha kutaka kuoa huwa
Kuoa mke ni kuelewana hakunaga wife material.
Ndio maana ukifuata formula unateseka ila ukioa mwanamke uliyemridhia nisawa.
Kuna utofauti wa wife material na mwanadada uliyemridhia how.
1. Mwanadada uliyemridhia niyule ambae akiwepo you feel complite without any complain.
Ila lazima,ajue kupika hicho ndicho cha muhimu na kingine mapenziii.
Mwanaume lazima aridhike na mwanadada kwenye hili suala.

2. Wife material ni yule ambaye umejiwekea ukachuja .
Mwanamke hachujwi sio machicha ya nazi.
Mwanamke anaridhiwa na mwanaume.
Basiii.
Hii humfanya mwanaume afurahie ndoa.

Ila,cha wife material never. Unajidanganya yena ukimwoa mtu kwa hiari yake na yako ni sawa.
Zamani mwanaume anaanza chini hadi juu anaoa leo mnachuja ndio maana,shida mnazipata ndani.

Hujachuja mtu ila tabia,zake na,alivyo.
Ila wakuridhia ni yule ambaye sio tabia tu bali ni mtu husika.
So wife material ni umeoa tabia na jinsi anavyojiweka kwako i hope nimeeleweka.
 
Haya Mambo hayana kanuni Cha msingi ni kumuomba MUNGU.pia hakuna binadamu aliyekamilika.
Tatizo yenu mnasema hayana kanuni wakti huyo mungu mnaemuomba alishaweka kanuni.
Kanuni namba moja ni simple...no kulana mbususu kabla ya ndoa.
Kanuni namba mbili...mume ampende mke wake kama anavyojipenda mwenyewe.
Kanuni namba tatu. ...mke amuheshimu mume wake.
 
Habari wakuu

Rejea mada tajwa. Niseme tu ukweli wanaume wengi wanateseka na ndoa zao(japo wengi hawataki kujionesha), angali kipindi cha kutaka kuoa huwa tunachagua sanaa. Na formulars tunakuwa nazo kabisa kwamba usioe huyu au yule na tunazingatia, lakini kwenye nyumba hali bado ni tete.
Uchumba wa miezi 12 ndio tatizo
 
Ndo mana mi staki kuoa. Mnatuchanganya sana 😊
Kuoa ni hivi unaoa yule mtu ambaye first sight umeridhika called you have admire someone.
Ukimfuata akakubalia inaitwa amekuadmire sio kukupenda kavutiwa.

Kingine pia nihiki baada ya hiloo kupitandio mnaanza kudate 1st date mnajuana halafu 2 date mnaanza kupimana if mtafaana 3rd date ndio mnaaenda kula kuanza kale kamchezo tena sio home ka lodge kazuri halafu mkiwezana atakupigia simu .
Demu huwa ndio anapiga simu.
Mwanzo kama unajua mambo then wewe au mnajikuta wote mmepigiana kwa mchezo wa sebene mzuri.

Halafu hapo ndio unaanza kuangalia je nitakuwa naye serious au lah
Chakuangalia afya yake uwezo wa kupata mtoto,je anakupenda,kukudhamini ,kukujali?
Ataweza kukuvumilia?
Amekupenda kwa moyo ?
Au ulivyoo ?
Ulivyo ni mwonekano.
Basi kaa naye kwa miezi ya mwisho uone heshima na mipaka yake kwako .
Ikitiki oa basiii.
Unachanganywaje hapo kwa mf.??
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom