Vaislay
JF-Expert Member
- Jun 26, 2011
- 4,532
- 1,819
Shida ni kwamba watu wakishakuwa na uhakika sasa wapo kwenye ndoa wanafanya wapendavyo katika kila kitu, kama ni mwanamke anajua yeye ndo mama mjengo anaongea, anafanya chochote atakacho baba mjengo utarudi tuuu hata unune vipi
Wanandoa wengi wanaishi kwa kuvimbiana chini ya mwamvuli wa ndoa ukiamini unawalinda, wenye moyo mwepesi wanavunja ndani ya wiki, wale wa kuona jamii itawaonaje ndo wanakufa na tai shingoni.
Wanandoa wengi wanaishi kwa kuvimbiana chini ya mwamvuli wa ndoa ukiamini unawalinda, wenye moyo mwepesi wanavunja ndani ya wiki, wale wa kuona jamii itawaonaje ndo wanakufa na tai shingoni.