Desire mobutu seseseko
JF-Expert Member
- Aug 21, 2018
- 975
- 1,393
Tatizo wanawake wanafake saana before ndoa aisee..ukioa ndani balaaa tupu.
Habari wakuu,
Rejea mada tajwa.
Niseme tu ukweli wanaume wengi wanateseka na ndoa zao (japo wengi hawataki kujionesha), angalia kipindi cha kutaka kuoa huwa tunachagua sanaa. Na formulars tunakuwa nazo kabisa kwamba usioe huyu au yule na tunazingatia, lakini kwenye nyumba hali bado ni tete.
Nauliza wabobevu, hivi ni wapi wadogo zenu tunakosea? Inakuwaje tunachepuka na wale micharuko ambao tuliona hawafai kuoa na unaweza kuwapa huduma pengine sawasawa na mkeo au zaidi tena kwa amani!
View attachment 1851349
KWELIThey are hiding their true colours until when they are in. They too can say the same thing about ME.
Hamna pepa ngumu duniani kama kutafuta wife au husband material,ukikosea hapa unakuwa ushajitengenezea kajehanam kako hapa hapa duniani.
Utaoaje mtu humpendi lakini? Sikukushauri mimi uoeNina mdada ananpenda,anajua kupika, na yupo vzur kwny sex. Lakn sura na shape ni mbovu. Afu simpendi kiviiileeeee vp nimchukue??.
Mana hawa wadada wengne wenye sura na shape nzuri wana nyodo sana yan
Kipi bora kuoa unaempenda lakn hakupendi au anaekupenda lakn humpendi?
Hata ukianza ww kulia huyo utakaye mpata atakuwa wife material? Halafu kama hujui watu walio tulia (husband/ wife material)wanaongoza kupata wenza vimeo we chunguza.Anza wewe mwenyewe kuwa hiyo material bila kujiongopea kabla hujatafuta material
Wapo watu ndoa zao ni paradiso sio sababu wako perfect ila sababu wako wakweli baina yao
Nina mdada ananpenda,anajua kupika, na yupo vzur kwny sex. Lakn sura na shape ni mbovu. Afu simpendi kiviiileeeee vp nimchukue??.
Mana hawa wadada wengne wenye sura na shape nzuri wana nyodo sana yan
Kipi bora kuoa unaempenda lakn hakupendi au anaekupenda lakn humpendi?
Kuoa mke ni kuelewana hakunaga wife material.
Sex ni tendo ambalo ili liwe zuri akili lazima utulie, sasa ukipata nunga yembe hiyo akili itatulia mda gani.Sex
Hata ukioa mtu perfecto ila kama sex life yenu ni mbovu basi ni lazima ndoa iwe na misukosukoView attachment 1851574
Hao bora uwaga sex kwao wanaona km adhabu kwa hiyo tunawaoa then tunawatafutia msaidizi wa kuhakikisha Sex is available
Manungaembe yanajua kutimiza hitaji mhm la mwanaume
Hapo ndio tatizo linapo anzia watu hawatak kuukana uzinz na Kama wanashindwa Basi hawatoweza kukaa katika ndoa kwa Aman mpaka mwisho wa dunia unaingiaUmegonga penyewe sasa swali je viumbe sie wazito kuweza?
Amin amin nakwambia ni rahisi tajiri kuuona ufalme wa Mungu kuliko viumbe wazito kujikana nafsi na kuacha uzinzi aka tendo kabla ya ndoa aka purity!!!!
Jibu swali sasa kwanini pamoja na kuwaoa hao wife materials bado wanaume wengi wanateseka kwa ndoa zaoWife material wako generic bana we wala sio subjective kama unavyoongea! Hakuna mwanaume anayetaka kuoa mjuaji, hakuna anayetaka mke ambae
Kwa sababu wametaka tu kuteseka 😅😅😅Jibu swali sasa kwanini pamoja na kuwaoa hao wife materials bado wanaume wengi wanateseka kwa ndoa zao
Sasa huyo akili iliyotulia yupo kama sasa yako,kazubaaaaaSex ni tendo ambalo ili liwe zuri akili lazima utulie, sasa ukipata nunga yembe hiyo akili itatulia mda gani.
Tofautisha kati ya kutulia na kuzubaa. Akili ikitulia ina msaidia mwanaume kufocus kwenye shughuli zake za kutafuta hela kwa ajili ya familia yake.Sasa huyo akili iliyotulia yupo kama sasa yako,kazubaaaaa
Nungaembe linakuwa linawaza sex mda wote sema linakuwa na kiburi na dharau hivyo huwezi muweka ndani