Kwanini tunaoa so called `Wife materials` lakini bado kwenye ndoa ni majanga?

Habari wakuu,

Rejea mada tajwa.

Niseme tu ukweli wanaume wengi wanateseka na ndoa zao (japo wengi hawataki kujionesha), angalia kipindi cha kutaka kuoa huwa tunachagua sanaa. Na formulars tunakuwa nazo kabisa kwamba usioe huyu au yule na tunazingatia, lakini kwenye nyumba hali bado ni tete.

Nauliza wabobevu, hivi ni wapi wadogo zenu tunakosea? Inakuwaje tunachepuka na wale micharuko ambao tuliona hawafai kuoa na unaweza kuwapa huduma pengine sawasawa na mkeo au zaidi tena kwa amani!

View attachment 1851349

Unaweza kutana na huyo unayeamini ni wife material lakini asikufae sababu sio mke wako....sio mke sahihi kwako.

Unaweza unampenda sana lakini unakuta yeye hakufeel vile, ila amekukubali sababu ya ushawishi wako au vitu ulivyonavyo

Naamini ndoa nyingi zinazodumu sio zile ambazo wanandoa hawana mapungufu ila ni zile ambazo mna mahusiano ya kuhitajiana sawasawa na wote wawili mna hisia za upendo ambazo mnaamini hamzipati pengine
 
Hamna pepa ngumu duniani kama kutafuta wife au husband material, ukikosea hapa unakuwa ushajitengenezea kajehanam kako hapa hapa duniani.
 
Hamna pepa ngumu duniani kama kutafuta wife au husband material,ukikosea hapa unakuwa ushajitengenezea kajehanam kako hapa hapa duniani.

Anza wewe mwenyewe kuwa hiyo material bila kujiongopea kabla hujatafuta material

Wapo watu ndoa zao ni paradiso sio sababu wako perfect ila sababu wako wakweli baina yao
 
Nina mdada ananpenda,anajua kupika, na yupo vzur kwny sex. Lakn sura na shape ni mbovu. Afu simpendi kiviiileeeee vp nimchukue??.

Mana hawa wadada wengne wenye sura na shape nzuri wana nyodo sana yan

Kipi bora kuoa unaempenda lakn hakupendi au anaekupenda lakn humpendi?
Utaoaje mtu humpendi lakini? Sikukushauri mimi uoe
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Anza wewe mwenyewe kuwa hiyo material bila kujiongopea kabla hujatafuta material

Wapo watu ndoa zao ni paradiso sio sababu wako perfect ila sababu wako wakweli baina yao
Hata ukianza ww kulia huyo utakaye mpata atakuwa wife material? Halafu kama hujui watu walio tulia (husband/ wife material)wanaongoza kupata wenza vimeo we chunguza.
 
Nina mdada ananpenda,anajua kupika, na yupo vzur kwny sex. Lakn sura na shape ni mbovu. Afu simpendi kiviiileeeee vp nimchukue??.

Mana hawa wadada wengne wenye sura na shape nzuri wana nyodo sana yan

Kipi bora kuoa unaempenda lakn hakupendi au anaekupenda lakn humpendi?

Usimuoe mtoto wa watu kama humpendi. Utamtesa bure na wewe mwenyewe utateseka..... Ukimuoa utajikuta umeanza kutafuta michepuko yenye chura na sura zilizojazwa makeups ukiwa hanemuni wewe

Mwache atapata anayempenda alivyo na wewe utakutana na package yako yenye sura unayoipenda na chura huko mbeleni
 
Kuna binti nimempenda, nafsi yangu inamridhia kabisa na nahisi hatia nikimpoteza…. nataka nimpe ndoa bila kumchunguza.

Mbele kwa mbele.
 
Sex

Hata ukioa mtu perfecto ila kama sex life yenu ni mbovu basi ni lazima ndoa iwe na misukosuko
Adjustments.jpg

Hao bora uwaga sex kwao wanaona km adhabu kwa hiyo tunawaoa then tunawatafutia msaidizi wa kuhakikisha Sex is available

Manungaembe yanajua kutimiza hitaji mhm la mwanaume
 
Sex

Hata ukioa mtu perfecto ila kama sex life yenu ni mbovu basi ni lazima ndoa iwe na misukosukoView attachment 1851574
Hao bora uwaga sex kwao wanaona km adhabu kwa hiyo tunawaoa then tunawatafutia msaidizi wa kuhakikisha Sex is available

Manungaembe yanajua kutimiza hitaji mhm la mwanaume
Sex ni tendo ambalo ili liwe zuri akili lazima utulie, sasa ukipata nunga yembe hiyo akili itatulia mda gani.
 
Umegonga penyewe sasa swali je viumbe sie wazito kuweza?
Amin amin nakwambia ni rahisi tajiri kuuona ufalme wa Mungu kuliko viumbe wazito kujikana nafsi na kuacha uzinzi aka tendo kabla ya ndoa aka purity!!!!
Hapo ndio tatizo linapo anzia watu hawatak kuukana uzinz na Kama wanashindwa Basi hawatoweza kukaa katika ndoa kwa Aman mpaka mwisho wa dunia unaingia
 
Wife material wako generic bana we wala sio subjective kama unavyoongea! Hakuna mwanaume anayetaka kuoa mjuaji, hakuna anayetaka mke ambae
Jibu swali sasa kwanini pamoja na kuwaoa hao wife materials bado wanaume wengi wanateseka kwa ndoa zao
 
Sex ni tendo ambalo ili liwe zuri akili lazima utulie, sasa ukipata nunga yembe hiyo akili itatulia mda gani.
Sasa huyo akili iliyotulia yupo kama sasa yako,kazubaaaaa

Nungaembe linakuwa linawaza sex mda wote sema linakuwa na kiburi na dharau hivyo huwezi muweka ndani
 
Sasa huyo akili iliyotulia yupo kama sasa yako,kazubaaaaa

Nungaembe linakuwa linawaza sex mda wote sema linakuwa na kiburi na dharau hivyo huwezi muweka ndani
Tofautisha kati ya kutulia na kuzubaa. Akili ikitulia ina msaidia mwanaume kufocus kwenye shughuli zake za kutafuta hela kwa ajili ya familia yake.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom