Kwanini Tunaishi Mara Moja?

Kwanini Tunaishi Mara Moja?

The mission 2017

JF-Expert Member
Joined
Aug 14, 2017
Posts
4,703
Reaction score
10,013
Wajumbe, Poleni na Yanayo Endelea katika nchi ya kusadikika.

Hivi karibuni nimepata wasaa wakutafakari kidogo kuhusu maisha, ulimwengu na Kifo.

Nikafikia Conclussion kua dhana ya kusema tuishi mara moja, ilikua sawa sawia, Just imagine uje uishi tena hapa nchini Malawi uendele kushuhudia udhalimu wote dhidi ya binadamu na wanyama uliofanyika.

Nashukuru sana Mungu kwa huu uhai, but ONE life is enough.

kabla ya kumaliza uzi wangu kwa Shairi nililo tunga kwa A.I nina swali, Vipi mleta maada kungekua na option ya ku renew to second life would you opt it?

Tafakari.....

*Huenda ndo siri ya dunia,
Maisha kua kama cheche ya moto, na kupita kama upepo,
Kua safari ya dakika moja kwenye kalenda ya milele.*

Labda tuishi mara moja
Ili tujifunze kuthamini sasa,
Kuona thamani ya tabasamu,
Na kuheshimu pumzi inayoondoka kimya.

Pengine ni mara moja
Ili tusizoea ulimwengu,
Ili kila jua litakapochomoza
Litutishe kidogo na kututia matumaini pia.

Na labda ni mara moja
Ili upendo usiwe mchezo,
Ili tusicheze na moyo wa mwingine,
Ili tuishi tukijua muda ni mchache.

karibu.
 
Ninaimani kubwa mwaka 3030 nitazaliwa tena sababu haya maisha ninayoishi ni ya kifara ni lazima nije niishi maisha ya majuu ndipo roho yangu itatulia.
Unaishi mara moja tu mkuu, hakuna ushahidi wa maisha mengine tena baada ya haya hapa duniani kwa hiyo pambana sana kuyaboresha haya maisha ya sasa.
 
Unaishi mara moja tu mkuu, hakuna ushahidi wa maisha mengine tena baada ya haya hapa duniani kwa hiyo pambana sana kuyaboresha haya maisha ya sasa.
Najuta sana kuzaliwa ndani ya nchi inayoongozwa na siri-kali ya Mbogamboga, tofauti na hapo ningekuwa nimejaza mapene kwenye makabati kama uchafu maana nguvu ya upambanaji ninayo.
 
Nikifa natamani nizaliwe mara ya pili. maana haya maisha yakuwa mwafrika ni ya kipuzi ukoloni wa kuuwa watu.Roho yangu haitulia mpaka nizaliwe mzungu.maana wazungu napenda sana nikiwaona tu nawamezea mate.
 
Nikifa natamani nizaliwe mara ya pili. maana haya maisha yakuwa mwafrika ni ya kipuzi ukoloni wa kuuwa watu.Roho yangu haitulia mpaka nizaliwe mzungu.maana wazungu napenda sana nikiwaona tu nawamezea mate.
 
Back
Top Bottom