gallow bird
JF-Expert Member
- Aug 10, 2024
- 14,229
- 17,686
Turkey ni nato,watawaweka nato ktk wakati mgumu, maana makubaliano ya nato akipigwa mmoja wote wanaingiliaView attachment 3388259naona upepo bado unavuma maana unaweza ukampitia yeyote huu upepo waajabu sasa yetu macho 😎.https://x.com/Currentreport1/status/1938867127521628359?t=sOVPHTMalnm1iEYH6a9icw&s=19
Halafu israel aache shobo,hawamuwezi Turkey,labda kama wamechoka kuishi