Kwanini Trump ni muongo hivi??

Kwanini Trump ni muongo hivi??

kimsboy

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2016
Posts
11,179
Reaction score
24,562
Aliandika kwenye mtandao wake kuwa yeye na Israel wanafahamu alipojificha kiongozi mkuu wa Iran ayatollah ali khamenei na kwamba hawataki kumuua.

At the Same Point Waziri wa ulinzi wa Israel anakiri kuwa katika Operesheni yao lengo lilikua ni kumuua Ayatollah na viongozi wa kijeshi lakini kuhusu kumuua ayatollah walifeli kwani hawakujua alipo.

My take: Jee hawa ndo watu wa kuwaaamini??? Mbona trump na magharibi ni waongo sana?
 
At the Same Point Waziri wa ulinzi wa Israel anakiri kuwa katika Operesheni yao lengo lilikua ni kumuua Ayatollah na viongozi wa kijeshi lakini kuhusu kumuua ayatollah walifeli kwani hawakujua alipo.

My take: Jee hawa ndo watu wa kuwaaamini??? Mbona trump na magharibi ni waongo sana?
Ni techniques za kuwachanganya na kuwavuruga akili msijue nini wanajua in detai na nini hawajui
 
Trump kachanyikiwa ndie aliewashauri Israel waingie hiyo vita baadae alipoona ina madhara makubwa upande wao wakaamua kusitisha sasa sababu ya vita inabidi aokoteze tu mtaani kila kukicha tukijaaliwa kesho ataongea kitu kingine kabisaa maana wale wahuni kitendo cha kupiga maeneo todauti tofauti ndani ya Israel kimewachanganya sana.
 
Pameanza kuchangamka

❗️🇮🇱🇮🇷 Channel 13:
“There are many casualties in army bases and strategic facilities due to Iranian missiles that we have not talked about until today”.

@Palestine_Updates
 
Aliandika kwenye mtandao wake kuwa yeye na Israel wanafahamu alipojificha kiongozi mkuu wa Iran ayatollah ali khamenei na kwamba hawataki kumuua.

At the Same Point Waziri wa ulinzi wa Israel anakiri kuwa katika Operesheni yao lengo lilikua ni kumuua Ayatollah na viongozi wa kijeshi lakini kuhusu kumuua ayatollah walifeli kwani hawakujua alipo.

My take: Jee hawa ndo watu wa kuwaaamini??? Mbona trump na magharibi ni waongo sana?
Hao ni mabingwa wa propaganda
 
Pameanza kuchangamka

❗️🇮🇱🇮🇷 Channel 13:
“There are many casualties in army bases and strategic facilities due to Iranian missiles that we have not talked about until today”.

@Palestine_Updatessiki

Pameanza kuchangamka

❗️🇮🇱🇮🇷 Channel 13:
“There are many casualties in army bases and strategic facilities due to Iranian missiles that we have not talked about until today”.

@Palestine_Updates
Watasema tu ukweli
 
Alisema "hatima ya kuipoga Iran itajulikana baada ya wiki MBILI" jioni yake yale madege meusi kama yamevaa nikabu yakafanya mashambulizi, ila angalau tumshukuru kwa kuendelea kumkingia kifua vijana wa Netanyau wasimuue.

Screenshot_2025-06-28-12-04-58-889_com.truthsocial.android.app.jpg
 
Mimi
Aliandika kwenye mtandao wake kuwa yeye na Israel wanafahamu alipojificha kiongozi mkuu wa Iran ayatollah ali khamenei na kwamba hawataki kumuua.

At the Same Point Waziri wa ulinzi wa Israel anakiri kuwa katika Operesheni yao lengo lilikua ni kumuua Ayatollah na viongozi wa kijeshi lakini kuhusu kumuua ayatollah walifeli kwani hawakujua alipo.

My take: Jee hawa ndo watu wa kuwaaamini??? Mbona trump na magharibi ni waongo sana?
Mimi nilisha zisishtukia Sana media za magharibi, pia Trump na yeye haeleweki eleweki leo kasema hili kesho kasema lile, vurugu tupu!!
 
Aliandika kwenye mtandao wake kuwa yeye na Israel wanafahamu alipojificha kiongozi mkuu wa Iran ayatollah ali khamenei na kwamba hawataki kumuua.

At the Same Point Waziri wa ulinzi wa Israel anakiri kuwa katika Operesheni yao lengo lilikua ni kumuua Ayatollah na viongozi wa kijeshi lakini kuhusu kumuua ayatollah walifeli kwani hawakujua alipo.

My take: Jee hawa ndo watu wa kuwaaamini??? Mbona trump na magharibi ni waongo sana?
Na ww ni muongo mkubwa na mchonganishi mfitinishaji mkubwa tuwekee hapa alichokiandika TRUMP na ISRAEL tuhakikishe huu sio mpira
 
Screenshot_20250629-105256.png
naona upepo bado unavuma maana unaweza ukampitia yeyote huu upepo waajabu sasa yetu macho 😎.https://x.com/Currentreport1/status/1938867127521628359?t=sOVPHTMalnm1iEYH6a9icw&s=19
 
Trump kachanyikiwa ndie aliewashauri Israel waingie hiyo vita baadae alipoona ina madhara makubwa upande wao wakaamua kusitisha sasa sababu ya vita inabidi aokoteze tu mtaani kila kukicha tukijaaliwa kesho ataongea kitu kingine kabisaa maana wale wahuni kitendo cha kupiga maeneo todauti tofauti ndani ya Israel kimewachanganya sana.
Kusema alisitisha kwa sababu ilikuwa na madhara makubwa kwa upande wao ni uongo kabisa kwani ingekuwa ni hivyo basi Iran isingekubali kusitisha vita na ingetumia hiyo fursa "kuifuta Israel kwenye ramani ya dunia".

Hivyo hizo kama kawaida ni zile porojo tu za kutoka masjid ubwabwa.

Elewa kwamba vita havijaisha ila vimesitishwa tu na punde vikianza tena mlengwa mkuu atakuwa ni huyo Ayatollah mwenyewe na weka macho uone kama hatapelekwa akhera kupokelewa na mabikra 72 wenye macho kama mayai na wasioenda choo.
 
Aliandika kwenye mtandao wake kuwa yeye na Israel wanafahamu alipojificha kiongozi mkuu wa Iran ayatollah ali khamenei na kwamba hawataki kumuua.

At the Same Point Waziri wa ulinzi wa Israel anakiri kuwa katika Operesheni yao lengo lilikua ni kumuua Ayatollah na viongozi wa kijeshi lakini kuhusu kumuua ayatollah walifeli kwani hawakujua alipo.

My take: Jee hawa ndo watu wa kuwaaamini??? Mbona trump na magharibi ni waongo sana?
Ulimuamini lini hadi uhoji ukweli wake?
 
Aliandika kwenye mtandao wake kuwa yeye na Israel wanafahamu alipojificha kiongozi mkuu wa Iran ayatollah ali khamenei na kwamba hawataki kumuua.

At the Same Point Waziri wa ulinzi wa Israel anakiri kuwa katika Operesheni yao lengo lilikua ni kumuua Ayatollah na viongozi wa kijeshi lakini kuhusu kumuua ayatollah walifeli kwani hawakujua alipo.

My take: Jee hawa ndo watu wa kuwaaamini??? Mbona trump na magharibi ni waongo sana?
Sasa wewe umejuaje kuwa muongo ni Trump na sio Waziri wa Ulinzi? 😃😃😃
 
Pameanza kuchangamka

❗️🇮🇱🇮🇷 Channel 13:
“There are many casualties in army bases and strategic facilities due to Iranian missiles that we have not talked about until today”.

@Palestine_Updates
Sisi tunachojua ni majeruhi wachache tu,na tumekubaliana na hilo
 
Back
Top Bottom