Hapo ndipo chadema wanapoboa, wao wenyewe wanashiriki ku ji sabbotage, picha tumesema mpaka tumechoka hawafanyi gazeti wanalo tanzania daima, ,lina wapiga picha wazuri wakutosha, kwa nini wasi assign mtu mmoja akafanya hiyo kazi? hilo pia watasingizia CCM? Michuzi waachane nae muache achelee anakopatia mlo wao waanze vyao mimi sikujua hata kama wana website, shit!