wapu.uzi sana!wanafanya hvy kwa faida ya nani?hawana maadili ya kazi kabisa.
Kuna kamchezo kanakoendelea Tigo cha kudaivegi mawasiliano na sms za baazi ya wateja wao. Mpaka naandika maada hii, mdau 1 ambaye tunafanya naye kazi ameshawajua wafanyakazi wa 3 wanaofanya kazi tigo call centre pamoja na uhuni huo wanaoufanya.
Kuna kamchezo kanakoendelea Tigo cha kudaivegi mawasiliano na sms za baazi ya wateja wao. Mpaka naandika maada hii, mdau 1 ambaye tunafanya naye kazi ameshawajua wafanyakazi wa 3 wanaofanya kazi tigo call centre pamoja na uhuni huo wanaoufanya.