Kwanini TFF imeruhusu Simba kusajili makocha vihiyo?

kavulata

JF-Expert Member
Aug 2, 2012
12,301
12,600
Makocha wote wa Simba Gomez na Matola hawakuwa na sifa za kuwa makocha wa timu kubwa kama Simba kwa mujibu wa mashindano ya CAF na FIFA hadi hadi kulazimika kuzuiliwa na CAF kwenye mashindano yake.

Swali hapa ni je, TFF yetu hawazijui kwa kiasi gani sheria na kanuni za CAF na FIFA? Na kama wanazifahamu zote ni kwanini imewawia vigumu kuwazuia Gomez na Matola kufanya kazi Simba kutokana na vyeti vyao kuwa hafifu?

Tukio hili limeimbua Simba na TFF kwa pamoja, linapigilia msumari wa mwisho kwenye uthibitisho wa tuhuma za Karia na TFF kuipendelea sana Simba kiasi Cha kushindwa hata kuionya na kuikatalia chochote.

Tunaunganisha dots za viporo vya Simba, ratiba rafiki za Simba kwenye ligi, adhabu za Yanga na uhamisho wa Morrison.
 
Matola hakuwa na sifa zakuwa kocha mkuu kwenye ligi yetu, Caf walitangaza kuwa msimu huu walibadilisha viwango vya elimu kwa makocha ambavyo Gomez hana.

Mmeanza malalamiko kosa la TFF ni nini hapo maana Gomez anazo sifa za kuwa kocha ligi kuu tanzania na Matola ni kocha msaidizi
 
Shida iko KWA Kilabu yenyewe...Ndg, Rage aliwahi uzungumziaga umbumbumbu wa hii Kilabu....haina sifa ya kuwa club
IMG-20210909-WA0023.jpg
 
Nikuulize haya maswali..!!

Msimu uliopita Gomez alikaa benchi wakati timu ya Simba inafika robo fainali ya CAF?

Ni kwanini suala hilo baada ya vigezo kubadilishwa mnalishadadia hivyo nyie utopolo?

Je ni Club ya Simba pekee ndio umeiona kwenye list ya hao makocha? Zipo clab nyingine nazo unataka kutuaminisha zilifanya makosa au shirikisho la nchi ambazo hizo club zinatokea lilikosea?

...utopolo badala ya kuhangaikia game yenu huko mnatapatapa na mambo ya Simba tu, shauri yenu mtachapika mlowe!
 
Hakuna ubishi kuwa Simba ni club kubwa nchini haikupaswa kuwa na kocha mwenye sifa hafifu kiasi hiki. Wangekuwa Namungo au Biashara united waliosajili makocha wa kaliba hii wangeeleweka lakini sio kwa Simba na Yanga. Kwanini uwe na Matola asiyefaa kuwa coach hata kwa taratibu za TFF TU?

Kwanini uwe na kocha wa Ulaya mwenye sifa minimum kiasi hii Cha kutia aibu? Ona sasa hata wachezaji wa kimataifa wa Simba wameingiwa na hofu kuona kumbe wanalishwa matango pori na Gomez, wanajuta kutoka kwenye timu zenye walimu na kuja kwenye timu ndogo kiasi hiki.
 
Nikuulize haya maswali..!!

Msimu uliopita Gomez alikaa benchi wakati timu ya Simba inafika robo fainali ya CAF?...
Hii aibu huwezi kuificha kwa aina hiyo. Gomez kibarua Simba kimeishia hapo kwa aibu na hatapenda kuwa kwenye benchi. Prof Nabi Yuko tayari kumfundisha hadi afuzu.

Kwanini TFF? TFF inaingia hapa kwa kuruhusu makocha wa kigeni wenye sifa hafifu kufanyakazi Tanzania hasa kwenye timu kubwa ambazo zinatoa wachezaji wa timu ya taifa. Wachezaji wetu wa taifa stars wanategemea kupata mbinu na uwezo wa mpira kutoka kwenye club zao, hivyo inakuwa garbage in garbage out.

Ona Prof. Nabi alivyombadilisha na kuformat kichwa na uwezo wa Fei Toto hadi akawa msaada kwa timu ya taifa. Gomez anapata matokeo kwa kutumia coincidence ya wachezaji kukaa pamoja kwa muda mrefu, wachezaji kupata mbinu kutoka kwa Sven na ausseum, mo kuleta wachezaji wazuri na TFF kuwa nyuma ya Simba. Gomez ana fluke TU kupata matokeo
 
Hapana gomez ba matola sio vihiyo,gomezi ana diploma ya euro,ambayo ni kubwa tu but kwakuwa ni mtu kutoka nchi za ulaya anatakiwa kuwa na euro pro,na matola ana caf b kwakuwa anatoka africa anatakiwa awe na caf a

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
hujui lolote, kocha mwenye uefa A anaruhusiwa kufundisha under 18 or temam B or kocha msaidizi na sio huo upupu ulouandika.
 
Gomez na diploma yake anakusanya vikombe tuu, nyie na profesa wenu mshaanza kulialia hata kabla ligi haijaanza.
Zamani mtu aliemaliza darasa la saba aliweza kusomea kozi ya ualimu Na kupewa cheti Cha ualimu Na kuwa mwalimu kamili lakini Kwa sasa ili uwe mwalimu angalau ufaulu kidato Cha nne wa darasa la saba anatakiwa asome tu lakini bado ni mwalimu ndio kilichotokea Kwa Gomes Na Matola
 
Hii aibu huwezi kuificha kwa aina hiyo. Gomez kibarua Simba kimeishia hapo kwa aibu na hatapenda kuwa kwenye benchi. Prof Nabi Yuko tayari kumfundisha hadi afuzu.

Kwanini TFF? TFF inaingia hapa kwa kuruhusu makocha wa kigeni wenye sifa hafifu kufanyakazi Tanzania hasa kwenye timu kubwa ambazo zinatoa wachezaji wa timu ya taifa. Wachezaji wetu wa taifa stars wanategemea kupata mbinu na uwezo wa mpira kutoka kwenye club zao, hivyo inakuwa garbage in garbage out.

Ona Prof. Nabi alivyombadilisha na kuformat kichwa na uwezo wa Fei Toto hadi akawa msaada kwa timu ya taifa. Gomez anapata matokeo kwa kutumia coincidence ya wachezaji kukaa pamoja kwa muda mrefu, wachezaji kupata mbinu kutoka kwa Sven na ausseum, mo kuleta wachezaji wazuri na TFF kuwa nyuma ya Simba. Gomez ana fluke TU kupata matokeo
Unapoamua kufuata moyo wako,hakikisha unaenda na ubongo wako! Kuna kipindi madereva wa umma wote walitakiwa wawe na chet toka NIT japo walishakuwa madereva wa muda mrefu na uzoef wanao,ndio kilichomtokea Gomez ni kubadilika kwa kanuni tu sio kwamba hana sifa! Huyo Nab alikuwepo kigoma wakati Gomez akiongoza kipondo,Narudia " unapoamua kufuata moyo wako hakikisha unakwenda na ubongo wako"
 
nendeni cas mkakate rufaa Simba ilichukua ubingwa ikiwa na makocha vihiyo, akili zako zimeshikwa na Manara
Eti ni kweli huyo kocha wenu Gomez na mwenzake Matola watakaa kwenye benchi la ufundi kama Makocha wasaidizi baada kumsajili huyu Mwalimu wenu mpya ili tu kuondokana na fedheha?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom