Kwanini Tanzania inakwamisha EAC?

Kwanini Tanzania inakwamisha EAC?

Nchi hii wajinga hawaishi.EA ya mwanzo ilipovunjika ,Tz iliathirika zaidi kutokana na ukubwa wake na haijawahi ku-recover ndio maana ilishindwa hata kuwalipa fidia wale wazee wa watu mpaka miaka ya juzi walipowalaghai kwa kiwango cha enzi zile kwa thamani ya leo(sic).Uking'atwa na nyoka hata ukiona ujani unashtuka .Pili unadhani nani anamuhitaji mwenzie zaidi jamaa wanaotuzunguka au sisi.
 
Tanzania ililipwa mafao yote ya waliokuwa Wafanyakazi wa Kitanzania katika EAC lakini wakaporwa haki zao na hadi wengine wengi wametanguklia mbele ya haki.

Nchi hii wajinga hawaishi.EA ya mwanzo ilipovunjika ,Tz iliathirika zaidi kutokana na ukubwa wake na haijawahi ku-recover ndio maana ilishindwa hata kuwalipa fidia wale wazee wa watu mpaka miaka ya juzi walipowalaghai kwa kiwango cha enzi zile kwa thamani ya leo(sic).Uking'atwa na nyoka hata ukiona ujani unashtuka .Pili unadhani nani anamuhitaji mwenzie zaidi jamaa wanaotuzunguka au sisi.
 
unafahamu kwanini mwaka 77 jumuhiya ilivunjika au ulikuwa hujazaliwa lakini hata kama ulikuwa hujazaliwa unafahamu kama taifa tulifata faida na gasara gani. unajua kwanini leo hii kenya airways ni shirika kubwa la ndege kuliko yote east afrika sisi sio wajinga tulishaumwa na nyoka tumeingia lakini tukiwa na tahadhali ndio maana hatujaruhusu visa moja, maswala ya ardhi na vitu vingine mnavyokodolea macho
 
Nchi hii wajinga hawaishi.EA ya mwanzo ilipovunjika ,Tz iliathirika zaidi kutokana na ukubwa wake na haijawahi ku-recover ndio maana ilishindwa hata kuwalipa fidia wale wazee wa watu mpaka miaka ya juzi walipowalaghai kwa kiwango cha enzi zile kwa thamani ya leo(sic).Uking'atwa na nyoka hata ukiona ujani unashtuka .Pili unadhani nani anamuhitaji mwenzie zaidi jamaa wanaotuzunguka au sisi.
Tatizo watanzania hatujui kutumia fulsa, na hiyo ni weakness yetu kubwa. Let us learn to think like Kenyans, that there is an opportunity in every situation. Kama tunajua wao wanatuhitaji zaidi kuliko tunavyowahitaji, kwa nini tusitumie hiyo advantage ku-demand maslahi zaidi kwenye EAC?
 
hata mimi huwa najiuliza sana kuhusu mwenendo wetu kuhusu Afrika mashariki. Yani tz tupo kama mtoto asiyetaka uji!
 
baada ya chanzo hufuata kitendo......
jumuia ya africa mashariki iliuwawa na aliye iuwa anajulikana labda tuanzie huko.......
malengo na muundo wa SADCC na EAC ni tofauti.
EAC sio jumuia ya kwanza kuanzishwa wala si ya mwisho na kuna jumuia kubwa km EU waingereza wamejitoa je kisa wakiwemo 'watatishwa tishwa"?
kagame,nkurunziza,magufuli,kenyatta,museveni wote wana kasoro na mazuri yao,ndo maana wananchi waliamua kuwapa uongozi.
kuna miungano mingi km senegambia ,USSR nk ambayo imeshakufa labda tujifunze,pia hata wa tanganyika na znz una kasoro zake ila kwa hili tanzania tumejaribu na tunajua faida za muungano kuliko wote kwenye EAC.
km nchi tuna haki na wajibu wa kuamua tuyatakayo kwa gharama yeyote,
huwezi ukakataa unga wangu kwa kigezo kulinda viwanda vya wananchi wako,ila unanafasi ya mahindi je lengo lako ni lipi?unanipenda kwa dhati wote tufikie uchumi wa kuchakata mazao au nibakie mzalishaji wa malighafi?
hata km tutakuwa na jumuia uhuru wa maamuzi ya ndani utabaki wa mwanachama husika.
kwa kuwa walowezi na washirika wao wengi wako kwako unataka nisichukue kodi wakiingiza bidhaa kwangu lengo lako ni lipi? ulipo amua kukubali EPA uliamua km nchi na mm ninapokataa naamua km nchi.
mwisho ndoa ni hiyari sio lazima,pia ndoa ina kuvumiliana na ina mipaka yake.

.... WAKIMEZA, WAKITEMA SHAURI YAO!
images
 
Unazijua sababu kwa nini tunakwamisha EAC? Si hizo ulizozitaja.
Political will: Ni dhahiri kwamba ni Tanzania ndiyo haina
Level of Development: Kwa kweli Muungano utasaidia development ya Tanzania. Kwanza utaepusha ku duplicate viwanda ambavyo tayari vipo kwingine na hivyo kutoa nafasi ya viwanda vipya na vya kisasa. Hapa tulipo bado tunafikiria viwanda vya kukoboa mpunga na kuondoa magamba ya samaki!
Ideology: Unajua ideology ya Tanzania hivi sasa wewe? Hatuna ideology yeyote, tunafuata upepo. Si Ujamaa si Ubepari nadhani ni "Utemi" zaidi!
Currency: Moja ya mapendekezo ni political union ambayo itapelekea kwenye currency union. Hii nayo mbaya? Kama unajoua economy?


WEWE SIO MTANZANIA!
images
 
Tatizo watanzania hatujui kutumia fulsa, na hiyo ni weakness yetu kubwa. Let us learn to think like Kenyans, that there is an opportunity in every situation. Kama tunajua wao wanatuhitaji zaidi kuliko tunavyowahitaji, kwa nini tusitumie hiyo advantage ku-demand maslahi zaidi kwenye EAC?
Swala ni unapata nini? Opportunic cost ! Kitakachopatikana is not worth the cost ni kama Britain kwenye EU unadhani hawajaziona fursa???
 
Tatizo ndani ya EAC kuna wanachama wengine ni vibaraka wa Wazungu, wanatumika kupitisha mambo ya kikabiru, Taifa lazima liwe sensitive sio kila kitu ndio mzee.
 
Mleta mada umeangalia upande mmoja tu wa kisiasa je upande mwingine wa kiunchumi mbona hujagysia???lazima ulete faida waliyonao wananchi wa hzo nchi ambazo hazija leta vikwazo kwenye jumia ni zipi wanazo???manake ukiangalia kiujumla nchi zote ni kama zinatuhitaji sisi zaidi kuliko tunavyowahitajia
 
Hakuna faida yoyote kwe EAC. Hasara ni nyingi mno. Sioni sababu ya kujiunga kila nchi ipambane na hali yake. Is too late to have EAC
 
Tanzania Tanzania nakupenda kwa moyo wote... Ukosee au upatie... Daima milele...
 
Mleta mada umeangalia upande mmoja tu wa kisiasa je upande mwingine wa kiunchumi mbona hujagysia???lazima ulete faida waliyonao wananchi wa hzo nchi ambazo hazija leta vikwazo kwenye jumia ni zipi wanazo???manake ukiangalia kiujumla nchi zote ni kama zinatuhitaji sisi zaidi kuliko tunavyowahitajia
Well said, na ukiangalia Nchi zote wanachama wa EAC yenye neema ya Rasilimali asilia nyingi ni Tanzania wote wanangalia namna ya kutupiga tu, ukizingatia bado Hatuna Sheria na taratibu madhubuti ya kulinda rasilimali zetu ni bora tusiwe vimbele mbele, turekebishe na kuimarisha kwanza mifumo ya ndani. Muungano sio wakutegemea sana na kujiachia kijinga siku ukivunjika unaweza jikuta unaingiza taifa shimoni
 
Jamani, jumuiya au muungano siyo lazima EU imetuonesha. Nashauri Tanzania itafakari hiyo EAC kama hakuna maslahi kwa wananchi ijitoe


EU imekuonesha nini? Kuna watu wanadhani kila ifanyacho Uingereza ni sawa. Kwanza Uingereza haijajitoa, huo ushahidi wa uweledi wa uamuzi huo umeupata wapi? Pili: kwa sisi tunaojua mambo, siyo wewe unayesoma tu, hivi nisemavyo uchumi wa Uingereza unayumba kutokana na 'lack of confidence" ya wawekezaji.
Kwa hiyo, huenda uamuzi huo ukawa mbaya sana kwa Uingereza na wala siyo kinyume chake.
 
Juzi kati majirani zetu walikimbia..... kuogopa kupiga kura ya kumpinga Trump kuhusu Jerusalem..halafu leo unatwambia kwamba hawa ni jamaa zetu wa karibu tuwe nao karibu?

Hapana, nasema kila nchi ipiganie maslahi yake kadri inavyoona inafaa.

Majirani zetu hawaaminiki. Wanaweza kukuuza barabarani usipokuwa makini!
 
Back
Top Bottom