mkuu acha utoto basi, una fanyaje kwa uongo kama huu maana ni siku nzima umeme wa luku ni shida nao walisema ni kwa masaa tu.Hilo la wewe kuendelea kunung'unika, kulalama na kulaumu ni ushahidi tosha kuwa na wewe unashindwa kutatua tatizo lako hilo. Kwa kiasi kikubwa sasa unadhihirisha hicho ndicho kiwango chako cha juu cha kufikiri!
Kama duniani changamoto zingekwisha, basi maendeleo yangesimama, au sivyo mkuu Mwifwa?
Lialia ni dalili za unyonge au kukata tamaa, mwanaume.
ALWAYS THINK POSITIVELY AND FACE CHALLENGES AS OPPORTUNITIES.
Eti lialia....hahahahaaaHilo la wewe kuendelea kunung'unika, kulalama na kulaumu ni ushahidi tosha kuwa na wewe unashindwa kutatua tatizo lako hilo. Kwa kiasi kikubwa sasa unadhihirisha hicho ndicho kiwango chako cha juu cha kufikiri!
Kama duniani changamoto zingekwisha, basi maendeleo yangesimama, au sivyo mkuu Mwifwa?
Lialia ni dalili za unyonge au kukata tamaa, mwanaume.
ALWAYS THINK POSITIVELY AND FACE CHALLENGES AS OPPORTUNITIES.
Acha utani kwenye hoja za msingiHilo la wewe kuendelea kunung'unika, kulalama na kulaumu ni ushahidi tosha kuwa na wewe unashindwa kutatua tatizo lako hilo. Kwa kiasi kikubwa sasa unadhihirisha hicho ndicho kiwango chako cha juu cha kufikiri!
Kama duniani changamoto zingekwisha, basi maendeleo yangesimama, au sivyo mkuu Mwifwa?
Lialia ni dalili za unyonge au kukata tamaa, mwanaume.
ALWAYS THINK POSITIVELY AND FACE CHALLENGES AS OPPORTUNITIES.
Siwasemei TANESCO, lakini sikubaliani na tabia ya kulalamika kana kwamba mlalamikaji yeye ni perfect.mkuu acha utoto basi, una fanyaje kwa uongo kama huu maana ni siku nzima umeme wa luku ni shida nao walisema ni kwa masaa tu.
iyo changamoto una ikabiri vp?, jamaa wamo humu waje watoe maelezo sio kuwasemea
Hoja ya msingi ni kulialia! Kwa nini unasubiri hadi umeme ukatike ndio ununue?Acha upumbavu kwenye hoja za msingi
Me sio CCM wala sijawahi kuipenda! Mimi Niko kundi wa "wakosoaji mnaowaita wasowazalendo"Kwa kuwa unawajua wapumbavu, vipi wewe uko katika kundi gani?
kutokuwa perfect haitufanyi tusilalamike, maana wametoa masaa ya kurekebisha tatizo sasa imekuwa siku wanashindwa jitokeza kutolea ufafanuzi huu ni upuuzi.Siwasemei TANESCO, lakini sikubaliani na tabia ya kulalamika kana kwamba mlalamikaji yeye ni perfect.
Tatizo la umeme nchini si la jana, linajulikana, na ni la muda mrefu. Kila Mtanzania atakuwa amejipanga jinsi ya kukabiliana nalo, linapotokea.
Kwa hilo la mtandao kutokufanya kazi, linaweza kutokea wakati wowote, wewe na mimi huwa tunajipangaje kukabiliana na dharura kama hizo, au ndio huko kwa kuandaa matusi!
Kwamba wewe kila unalolipanga unalikamilisha! Hongera!Sio kuwa watu wanaliloa lia watu hapa wanapinga swala la Tanesco kutokutoa taarifa ya kweli na kudanganya Umma kwani wangesema ubomozi wa jengo ungeathiri manunuzi ya umeme na watu wanunue umeme mwingi? Boss wao angewatumbua???? Ivi unadanganya ili uonekane mfanisi wa kazi kwa Tija gani yani tunawasomi wa ovyo kweli
Kwanini wasiseme ukweli?? Kwani kuna shida gani watu ukiwaambia ukweliKwamba wewe kila unalolipanga unalikamilisha! Hongera!
Tatizo ni kila suala kulichukulia kisiasa. TANESCO walitoa taarifa ya mtandao wa LUKU kufanyiwa marekebisho na muda ambao wangetegemea kukamilisha. Kama yalivyo mambo ya kiufundi kuna kukamilisha katika muda au nje ya muda. Lakini, wengi wetu hawakuchukua tahadhari, ama walipuuzia, kama ilivyo desturi wakisubiri dakika ya mwisho, au hawakamini hiyo taarifa.Kwanini wasiseme ukweli?? Kwani kuna shida gani watu ukiwaambia ukweli
Taarifa ulipewa ukapuuzia au ukasubiri dakika ya mwisho. Aliyelala giza au biashara kusimama ni wewe mwenyewe, jilaumu. Uzembe wako usiuhamishe.kutokuwa perfect haitufanyi tusilalamike, maana wametoa masaa ya kurekebisha tatizo sasa imekuwa siku wanashindwa jitokeza kutolea ufafanuzi huu ni upuuzi.
tumejipanga kwa masaa hayo waliyo sema luku itasumbua bado haitoshi basi waje waseme tujipange mwaka mzima tujue..
Tunafahamu changamoto zipo sasa kwa nini wasiseme ukweli, kutudanganya ni dalili ya dharau
taarifa inasema masaa 2, kwanza ilikanushwa ikaja kubaliwa kwa masaa 2 leo yamefika 10+ alafu unasema nmepuuziaTaarifa ulipewa ukapuuzia au ukasubiri dakika ya mwisho. Aliyelala giza au biashara kusimama ni wewe mwenyewe, jilaumu. Uzembe wako usiuhamishe.
Mara nyingi Watanzania tumepewa taarifa tupuuzia. Rejea mafuriko, ubomoaji, kuhakiki vyeti, TIN, usajiri nk.unavuta ugoro taarifa inasema masaa 2, kwanza ilikanushwa ikaja kubaliwa kwa masaa 2 leo yamefika 10+ alafu unasema nmepuuzia
Taarifa wametoa jana mchana wakati Luku tangu jana asubuhi hainunuliki.Taarifa ulipewa ukapuuzia au ukasubiri dakika ya mwisho. Aliyelala giza au biashara kusimama ni wewe mwenyewe, jilaumu. Uzembe wako usiuhamishe.