Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 46,882
- 32,282
Wanaukumbi.
Aliyekuwa Mwenyekiti wa wenyeviti CCM Taifa na Mwenyekiti wa mkoa wa Singida Mgana Msindai, alihamia Chadema kumfuata swahiba wake mkubwa Lowassa, na baadaye kugombea ubunge Jimbo la Singida Mjini kupitia tiketi ya Chadema na kushindwa vibaya.
Kipi kilichomfanya kuamua kurudi CCM kitendo hicho ni kumsaliti swahiba yake mkubwa Lowassa.
Jana tena kaonekana kwenye mkutano wa CCM Mjini Dodoma.
Aliyekuwa Mwenyekiti wa wenyeviti CCM Taifa na Mwenyekiti wa mkoa wa Singida Mgana Msindai, alihamia Chadema kumfuata swahiba wake mkubwa Lowassa, na baadaye kugombea ubunge Jimbo la Singida Mjini kupitia tiketi ya Chadema na kushindwa vibaya.
Kipi kilichomfanya kuamua kurudi CCM kitendo hicho ni kumsaliti swahiba yake mkubwa Lowassa.
Jana tena kaonekana kwenye mkutano wa CCM Mjini Dodoma.