Kwanini Stand za mabasi tunalipia lakini Airport hatulipii?

Tabutupu

JF-Expert Member
Nov 26, 2010
13,111
18,327
Ili kuingia stand ya mabasi kama pale Mbezi kwa Magufuli ni lazima ulipie na vyoo ukitaka kutumia unalipia lakini kuingia JNIA kama huna gari hulipii na hata vyoo mle ndani ni bure..

Kwa mtazamo wangu, stand za mabasi huduma kama vyoo zinatakiwa ziwe bure kwa sababu abiria akisha lipia nauli amelipa kila kitu.

Ni kuwaonea maskini kuwalipisha fedha kuingia stand, wenye mabasi ndio wanatakiwa kulipia.
 
Ili kuingia stand ya mabasi kama pale Mbezi kwa Magufuli ni lazima ulipie na vyoo ukitaka kutumia unalipia lakini kuingia JNIA kama huna gari hulipii na hata vyoo mle ndani ni bure..

Kwa mtazamo wangu, stand za mabasi huduma kama vyoo zinatakiwa ziwe bure kwa sababu abiria akisha lipia nauli amelipa kila kitu.

Ni kuwaonea maskini kuwalipisha fedha kuingia stand, wenye mabasi ndio wanatakiwa kulipia.
Hata hizo stand siyo zote Morogoro, Tabora, Singida na Manyara ukiwa na ticket hulipi kiingilio, Iringa, Arusha na Moshi (Mikoa ya wanaojitambua) ni free regardless una ticket au huna, ila Dar, Dodoma yalikojaa majizi unalipia tiket na kiingilio kama vile unakwenda kutazama mpira
 
Ukiingia pale stendi Nanenane Dodoma kwa gari binafsi kukata tiketi utalipia kiingilio cha gari; halafu ukiingia ndani tena ziliko ofisi utakata kiingilio cha wewe kwenda kukata tiketi yaani kuipelekea stendi pesa - kufanya biashara!

Siku utakayosafiri utakata viingilio vyote tena! Hapa pana shida kidogo. Ni as if wanajitahidi kuzuia watu wasikate tiketi pale (core business ya stendi). Sijui kwanini ubunifu unakosekana kwa kiwango hiki!

Ndio maana ile stendi inadumaa huku Ofisi binafsi zisizo na ujinga mwingi kama Shabiby zikijitwalia heshima. Nakata ticket online na napandia basi mbali huko tena mjini bila kuingia gharama kubwa na muda kwenda Nanenane (wananchi walio wengi).

Badala ya kuvutia wananchi wakafanye biashara pale stendi, na kuifanya ikue; ma-supermakets makubwa yaanzishwe, wao wanawazuia kwa vikwazo (viingilo) vya ajabu ajabu!

Jengo kubwa na zuri la stendi ya Dodoma (iliyo nje ya mji) limebaki tupu kwa mambo kama haya wakati lingeweza kuingiza mamilioni kila mwezi kwa kuweka vivutio bila kusahau promotions - ubunifu tu!
 
Ili kuingia stand ya mabasi kama pale Mbezi kwa Magufuli ni lazima ulipie na vyoo ukitaka kutumia unalipia lakini kuingia JNIA kama huna gari hulipii na hata vyoo mle ndani ni bure..

Kwa mtazamo wangu, stand za mabasi huduma kama vyoo zinatakiwa ziwe bure kwa sababu abiria akisha lipia nauli amelipa kila kitu.

Ni kuwaonea maskini kuwalipisha fedha kuingia stand, wenye mabasi ndio wanatakiwa kulipia.
Unazilipia kupitia tiketi ya ndege...soma mnyambuliko wa gharama kabla hujalipia tiketi yako kuna kodi ya viwanja vya ndege.
 
Unazilipia kupitia tiketi ya ndege...soma mnyambuliko wa gharama kabla hujalipia tiketi yako kuna kodi ya viwanja vya ndege.
Hata basi kuna kodi kibao ambazo mmiliki analipia kwenye hiyo nauli ninayotoa, tena kodi nyingine siyo rasmi.
 
Ili kuingia stand ya mabasi kama pale Mbezi kwa Magufuli ni lazima ulipie na vyoo ukitaka kutumia unalipia lakini kuingia JNIA kama huna gari hulipii na hata vyoo mle ndani ni bure..

Kwa mtazamo wangu, stand za mabasi huduma kama vyoo zinatakiwa ziwe bure kwa sababu abiria akisha lipia nauli amelipa kila kitu.

Ni kuwaonea maskini kuwalipisha fedha kuingia stand, wenye mabasi ndio wanatakiwa kulipia.
Kwakuwa huna gari utaamini kuingia NI bure.
 
Unazilipia kupitia tiketi ya ndege...soma mnyambuliko wa gharama kabla hujalipia tiketi yako kuna kodi ya viwanja vya ndege.
Waenda kwa miguu airport mbona hatulipii? Tunaingia airport bure, tunatumia vyoo vya airport bure na tunatoka airport bure..

Kwanini stand zenye watu wa chini kila kitu tunalipia? Hadi kukojoa unalipia?
 
Hata hizo stand siyo zote Morogoro, Tabora, Singida na Manyara ukiwa na ticket hulipi kiingilio, Iringa, Arusha na Moshi (Mikoa ya wanaojitambua) ni free regardless una ticket au huna, ila Dar, Dodoma yalikojaa majizi unalipia tiket na kiingilio kama vile unakwenda kutazama mpira
Tofautisha stendi na vituo vya daladala Mkuu.
Moshi kile ni Kituo cha daladala kama stendi ya daladala Mbezi na huenda ya Mbezi inazidi.
Stendi ndo hizo za Magufuli, Dodoma,Morogoro, Njombe,Sumbawanga nk
Suala la abiria mwenye tiketi kulipia si sahihi ila waingiaji wa kawaida wacha walipie tu kuleta nidhamu na kupunguza misongamano isiyo lazima kwenye stendi zetu pia vibaka wasigeuze makazi yao humo.
 
Watu wengi mjini hawana kazi ukiruhusu watu kuingia buere na vyoo kuwa bure watu wengi watashinda na kulala hapo kutwa kucha
Ili kuingia stand ya mabasi kama pale Mbezi kwa Magufuli ni lazima ulipie na vyoo ukitaka kutumia unalipia lakini kuingia JNIA kama huna gari hulipii na hata vyoo mle ndani ni bure..

Kwa mtazamo wangu, stand za mabasi huduma kama vyoo zinatakiwa ziwe bure kwa sababu abiria akisha lipia nauli amelipa kila kitu.

Ni kuwaonea maskini kuwalipisha fedha kuingia stand, wenye mabasi ndio wanatakiwa kulipia.
 
Ukiingia pale stendi Nanenane Dodoma kwa gari binafsi kukata tiketi utalipia kiingilio cha gari; halafu ukiingia ndani tena ziliko ofisi utakata kiingilio cha wewe kwenda kukata tiketi yaani kuipelekea stendi pesa - kufanya biashara!

Siku utakayosafiri utakata viingilio vyote tena! Hapa pana shida kidogo. Ni as if wanajitahidi kuzuia watu wasikate tiketi pale (core business ya stendi). Sijui kwanini ubunifu unakosekana kwa kiwango hiki!

Ndio maana ile stendi inadumaa huku Ofisi binafsi zisizo na ujinga mwingi kama Shabiby zikijitwalia heshima. Nakata ticket online na napandia basi mbali huko tena mjini bila kuingia gharama kubwa na muda kwenda Nanenane (wananchi walio wengi).

Badala ya kuvutia wananchi wakafanye biashara pale stendi, na kuifanya ikue; ma-supermakets makubwa yaanzishwe, wao wanawazuia kwa vikwazo (viingilo) vya ajabu ajabu!

Jengo kubwa na zuri la stendi ya Dodoma (iliyo nje ya mji) limebaki tupu kwa mambo kama haya wakati lingeweza kuingiza mamilioni kila mwezi kwa kuweka vivutio bila kusahau promotions - ubunifu tu!
Kwa usumbufu niliopata stend ya dodoma niliapa sitakaa nipande gari tena ndani ya ile stend,
 
Waenda kwa miguu airport mbona hatulipii? Tunaingia airport bure, tunatumia vyoo vya airport bure na tunatoka airport bure..

Kwanini stand zenye watu wa chini kila kitu tunalipia? Hadi kukojoa unalipia?
Kwani airport unaenda kutembea ama kusindikiza na kumpokea mtu? Huyo unayempokea kakatwa kikubwa kwenye tiketi yake kama airport tax kwa ajiri yenu "watembea kwa miguu"
 
Tofautisha stendi na vituo vya daladala Mkuu.
Moshi kile ni Kituo cha daladala kama stendi ya daladala Mbezi na huenda ya Mbezi inazidi.
Stendi ndo hizo za Magufuli, Dodoma,Morogoro, Njombe,Sumbawanga nk
Suala la abiria mwenye tiketi kulipia si sahihi ila waingiaji wa kawaida wacha walipie tu kuleta nidhamu na kupunguza misongamano isiyo lazima kwenye stendi zetu pia vibaka wasigeuze makazi yao humo.
sio kweli kuwa kiingilio Cha stand kimepunguza misongamano na vibaka,labda hujafika Mbezi muda wa usiku uone makundi ya vibaka na wasio na makazi walivyojazana pale
 
Kwani airport unaenda kutembea ama kusindikiza na kumpokea mtu? Huyo unayempokea kakatwa kikubwa kwenye tiketi yake kama airport tax kwa ajiri yenu "watembea kwa miguu"
Na stand za mabasi wafanye hivyo
 
Ili kuingia stand ya mabasi kama pale Mbezi kwa Magufuli ni lazima ulipie na vyoo ukitaka kutumia unalipia lakini kuingia JNIA kama huna gari hulipii na hata vyoo mle ndani ni bure..

Kwa mtazamo wangu, stand za mabasi huduma kama vyoo zinatakiwa ziwe bure kwa sababu abiria akisha lipia nauli amelipa kila kitu.

Ni kuwaonea maskini kuwalipisha fedha kuingia stand, wenye mabasi ndio wanatakiwa kulipia.
stendi zipo chini ya usimamizi wa halmashauri za miji iliyopo. Halamashauri za miji zinahitaji vyanzo vy mapato, ili wapinguze kutegemea sana serikali kuu. ila Airport ipo chini ya mamlaka ya viwanja vya ndege, hao wana taratibu zao nyenginezo za kukusany mapato
 
Back
Top Bottom