Inashangaza sana, hivi kweli natoka nyumbani kwangu giza narudi giza in the name of looking for money inakuwaje wale ninaowapenda kuliko chochote wasijue ninapata nini huko ninakotumia muda wangu na wao mwingi hivi. Je kama anaweza kunisaidia nikapata mahali bora kuliko hapa nilipo sasa. Ninachopata ni kwa ajili yao hao wengine ni ziada tu.
Na hata kama akiniachia majukumu nitafanya pale ninapoweza lakini isiwe kwa makusudi.
kilo ya nyama inategemea unanunua duka gani mzee, ni kuanzia alfu 6000 hadi alfu 10,000.utasemaje sijui? halafu, usifikiri unaongea na mtoto mdogo, mimi nimeoa kitambo lakini sijapata bahati mbaya ya kuwa na ndoa dodoki kama ya kwako. ndio maana nimekupa pole.Ahsante Hute kwa wewe ulie na akili,naamini hapo ulipo hujui hata kilo moja ya nyama ni sh ngapi?mimi mjinga but this is my life experience najua natoka wapi naenda wapi na ninafanya nini?heri yako mjanja.
kilo ya nyama inategemea unanunua duka gani mzee, ni kuanzia alfu 6000 hadi alfu 10,000.utasemaje sijui? halafu, usifikiri unaongea na mtoto mdogo, mimi nimeoa kitambo lakini sijapata bahati mbaya ya kuwa na ndoa dodoki kama ya kwako. ndio maana nimekupa pole. ila kwa ufupi ni kwamba, ukiona umeshindwa kuwa kiongizi wa familia basi wewe sio mume halisi wa hiyo ndoa, unaweza kuwa ni moja wapo tu wa wanaume wa hiyo ndoa. mwanaume unategemewa uwe unajua mshahara na kipato chochote cha mkeo na chakwako muwe mnashea na kupanga mipango pamoja na hela zile mnazitumia pamoja. wajibu wa kutumikia familia sio wa baba peke yake kama wote mna kipato, na mnatakiwa kufanya mambo kwa umoja kwasababu mnalala kitanda kimoja. ktk ndoa ukiona mmoja wapo anafanya mambo yake kisirisiri hataki mwenzie ajue, hapo hamna ndoa. hivyo jitathimini ujione kama wewe upo kwenye ndoa au upo kwenye utumwa. by the way, ndugu zako wanalijua hili? umeoa mwanamke wa wapi? usijekuwa umelishwa limbwata mzee, nenda church wakakutapishe kwa maombi utafunguka.
kilo ya nyama inategemea unanunua duka gani mzee, ni kuanzia alfu 6000 hadi alfu 10,000.utasemaje sijui? halafu, usifikiri unaongea na mtoto mdogo, mimi nimeoa kitambo lakini sijapata bahati mbaya ya kuwa na ndoa dodoki kama ya kwako. ndio maana nimekupa pole. ila kwa ufupi ni kwamba, ukiona umeshindwa kuwa kiongizi wa familia basi wewe sio mume halisi wa hiyo ndoa, unaweza kuwa ni moja wapo tu wa wanaume wa hiyo ndoa. mwanaume unategemewa uwe unajua mshahara na kipato chochote cha mkeo na chakwako muwe mnashea na kupanga mipango pamoja na hela zile mnazitumia pamoja. wajibu wa kutumikia familia sio wa baba peke yake kama wote mna kipato, na mnatakiwa kufanya mambo kwa umoja kwasababu mnalala kitanda kimoja. ktk ndoa ukiona mmoja wapo anafanya mambo yake kisirisiri hataki mwenzie ajue, hapo hamna ndoa. hivyo jitathimini ujione kama wewe upo kwenye ndoa au upo kwenye utumwa. by the way, ndugu zako wanalijua hili? umeoa mwanamke wa wapi? usijekuwa umelishwa limbwata mzee, nenda church wakakutapishe kwa maombi utafunguka.
Ninakuwa mwansjf wa kwanza kukuelewaMkuu,haya mambo ya ndoa yanatushinda kwa kutokujua mambo madogo,yawezekana kuna watu wakaniona mpuuzi au mjinga but kuna kitu nilikiona toka kwa wife na msukumo toka kwa ndugu zake,na kipindi hicho nilikua sijafanikisha malengo yangu na kupitia tabia hiyo niliyokutana nayo nashukuru ilinifanya nijitambue na nikasema kabisa sitakuja kutaka kujua kipato chake au kuulizia,na nashukuru nimeweza na baada ya kuona simfatilii na mambo yanakwenda poa amekua mpole na kuchukua position yake kama mke.
Mkuu,haya mambo ya ndoa yanatushinda kwa kutokujua mambo madogo,yawezekana kuna watu wakaniona mpuuzi au mjinga but kuna kitu nilikiona toka kwa wife na msukumo toka kwa ndugu zake,na kipindi hicho nilikua sijafanikisha malengo yangu na kupitia tabia hiyo niliyokutana nayo nashukuru ilinifanya nijitambue na nikasema kabisa sitakuja kutaka kujua kipato chake au kuulizia,na nashukuru nimeweza na baada ya kuona simfatilii na mambo yanakwenda poa amekua mpole na kuchukua position yake kama mke.
Kujua kipato cha mkeo sio mjadala...unanitia mashaka kama una 12 kwenye ndoa..ivyo ni vitu vidogo sana kujua.