Kwanini Sikukuu za miaka ya leo hazina tena mvuto/tashwishwi?!

Mkuu kama hela unayo basi leo ni crismas kama huna bela leo ni j4
 
Shamra shamra zimepungua sana,hii Sikukuuu miaka ya nyuma ilikuwa moto.Kwanza wiki kabla "chingo beli" za kutosha.Lakini siku hizi ni kuforward sms "mti wa mkrismas tuu"
 
Enzi hizo lazima hapo mtaani tukinukishe na baruti aisee siku hizi woiii
Watoto wa siku hizi hata matairi hawachomi,Waoga sana.Sisi ilikuwa lazima tuwashe mapira hata kama Kuna patrol ya polisi.Baruti & matairi ni Pie.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…