nahoda22
Member
- Dec 6, 2016
- 45
- 40
Mkuu kama hela unayo basi leo ni crismas kama huna bela leo ni j4Nakumbuka miaka ya nyuma Krismasi ilingojewa kwa hamu na ghamu!
Sikukuu hiyo ilikuwa ni Tukio kubwa na la aina yake katika jamii yote. Yafuatayo ilikuwa ni lazima yafanyike kabla ya Sikukuu hiyo;
Nguo mpya,
viatu vipya,
maandazi/wali,
sadaka,
pesa ya Aleluya.
Na bila kunukia mafuta aina ya Mamiz mwilini mwako hakika rafiki zako watakucheka!
Lakini pia,kurejea nyumbani huku ukiwa na miwa, mapera/embe ukiwa umezibeba ndani ya shati jipya maalum kwa Sikukuu hiyo ilikuwa si ujanja!
Mhenga mwenzangu karibu nawe uorodheshe baadhi ya mambo mengi yaliyotupatia hitimisho la kungojea Sikukuu hiyo pendwa km ya leo!