snipa
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 4,215
- 1,656
Halotel mnawahi sana kureplace number.
I bet with you kwamba within a month or two mnakuwa mshagawa namba kwa mwingine kama muhusika haitumii, sielewi mna matatizo gani.
Unakuta umesajili simcard mpya na kisha unatafutwa na watu wanaodai wanaifahamu hiyo number ikiwa ni mtu wao Wa karibu alikuwa anatumia.
Imekuwa ni kero.
Mjitathmini kuna mitandao yapita within a year number wanakuwa hawajareplace.
I bet with you kwamba within a month or two mnakuwa mshagawa namba kwa mwingine kama muhusika haitumii, sielewi mna matatizo gani.
Unakuta umesajili simcard mpya na kisha unatafutwa na watu wanaodai wanaifahamu hiyo number ikiwa ni mtu wao Wa karibu alikuwa anatumia.
Imekuwa ni kero.
Mjitathmini kuna mitandao yapita within a year number wanakuwa hawajareplace.