FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 37,313
- 42,778
Nilikuwa nadhani ni vyema matangazo yote ya bidhaa za tumbaku yapigwe marufuku, hata zile promotion za sigara kwenye mabaa zipigwe marufuku kabisa.
Hii inatokana na ukweli kwamba wavuta sigara hawahitaji kutangaziwa kwani wakipatwa na kiu ya sigara wataifuta popote ilipo.
Hivyo basi matangazo na promosheni za sigara zina lengo ovu la kuwaingiza uraibuni wale ambao hawavuti sigara, huu ni uovu unafanywa na ni lazima upigwe vita.
Pia packet za sigara zisiweke rangi ya aina yoyote ile, cha zaidi iwekwe picha za watu wenye kansa zitokanazo na sigara ili kuelezea matumizi yake.
Hii inatokana na ukweli kwamba wavuta sigara hawahitaji kutangaziwa kwani wakipatwa na kiu ya sigara wataifuta popote ilipo.
Hivyo basi matangazo na promosheni za sigara zina lengo ovu la kuwaingiza uraibuni wale ambao hawavuti sigara, huu ni uovu unafanywa na ni lazima upigwe vita.
Pia packet za sigara zisiweke rangi ya aina yoyote ile, cha zaidi iwekwe picha za watu wenye kansa zitokanazo na sigara ili kuelezea matumizi yake.