Kwanini Shilingi ya Kenya ina thamani kuliko Shilingi ya Tanzania?

Jibu la swali hili ni simple basic economy.

DEMAND AND SUPPLY.

Nchi ambao inauhaba wa ku export maranyingi inakuwa na shida / Demand ya pesa za kigeni. Matokeo yako pesa yake inashuka thamani.


Na nchi ikisafirisha sana bidhaa nje ya nchi demand ya pesa za kigeni ni ndogo, hivyo pesa ya nchi hiyo huwa na thamani zaidi kuliko nchi inayoagizia vitu vya nje kwasana.

Ila China ni story tafauti.

USA Wanawalazimisha wapandishe thamani ya oesa zao lkn wachina hawataki..
hii nitsielezea baada kama utanitaka
Anyway, issue sio demand and supply, ukijibu kutumia hizo theory unakua unajibu kutokana na ulivokariri darasani. Hebu lete reasonable facts mezani. Maana hata bila kwenda shile mbona haya mambo yanaeleweka. Haya mambo hayapo complicated kama walimu wetu wanavo tufundisha
 
Yes..economics..achana na kusoma uchumi mkuu..unatakiwa kusoma hata ukiwa ushamaliza kusoma..yaan som ujue dunia inaendaje
Kabisa!! Watanzania tumekalili sana. Yani mtu akisomea ualimu hajiongezi kujua mambo mengine km kilimo, Nutrition,uchumi n.k. Dunia haiendeshwi na ualimu tu bali mambo mengi. Kuna umuhimu mkubwa wa Ku-"diversify" elimu.
 
tunamchango wa kifamilia tunatakiwa kutoa kila mtu 2500 ya kenya ,banabana kuja kupata thamani yake mpaka hivi sasa kuna ndugu simu hazipatikani sasa sijui ni mtandao unasumbua,
 
Mimi huwa naona ni digits tu ndio huwa tunatofautiana,ila sio Uchumi kukua.kwa mfano,
Shilingi 10000 ya Tanzania ni Sawa na Ksh 450 lakini hapo haimaanishi hiyo 450 ni rahisi kupatikana ukiwa kenya.ni kwamba malipo yaleyale ya tsh 10000 kwa tanzania na kwa kenya ni 450.yani mzazi fukara wa kenya hawezi kumpa mwanae 450 akatumie shuleni ni hela kubwa pia kwao.
Ndo iko hivyo mfano kg ya sukari ni 115 ksh ukibadirisha kwa tsh say given ex rate ni 22.22 ni sawa na 2600 .ukiwa na 450 ya kenya utanunua 3.6 kg za sukari na ukiwa na 10000 utanunua the same kg za sukari .
 
1. Central Govt fixes the rates to encourage exports. Cases of Chinese Yuan and Vietnemese Dong.

2. Demand and Supply of the currency. Cases of USD, Euro.

3. WB & IMF influence on devaluation.

4. Too much borrowings create stress on local currency.

Case ya Kes na Tzs ni historical.

Kabla ya vita vya Uganda Tzs ilikuwa na nguvu sana almost equal to USD.

Baada ya vita vya Kagera, foreign reserve pale BOT ilikuwa empty.

Ukienda WB na IMF wakaja na SAP ambayo moja ya condition ni currency devaluation.

Tzs ikaanza kushuka thamani, viwanda havikuwa vinazalisha, no exports, more imports. Tzs ikawa inazidi kuanguka.

Kenya ilikuwa tayari industrialized, fedha yake ikawa stable. Tz tukawa tunaenda zaidi kenya kuchukua mzigo.

Mpaka sasa Kes ina nguvu kuliko Tzs.

Uchumi wa nchi haina uhusiano wowote na thamani ya fedha.
Kama uchumi wa nchi hauna uhusiano na thamani ya pesa. Elezea kwann dollar ina nguvu kuliko shilingi. Unataka kunambia thamani ya dollar haina impact kwenye uchumi wa marekani
 
Back
Top Bottom