Kumbe Fujo
Member
- Mar 8, 2017
- 9
- 2
Bila shaka we sio mtanzania,maana icho kiswahil cha Kenya au kwingineko!!....Rafiki yangu alifanyiwa upasuaji baada ya lazer kushindwa kukamilisha kazi yake,shida ilikuwa ni mikojo haitaki kutoka kabisa,[blocked urine]kwa karibu siku tatu mfululizo,umri wake ni 58,ana mke na watoto,ikabidi kwa haraka afanyiwe upasuaji,anashukuru upasuaji na matibabu yote kwa ujumla umefaulu,ana miezi saba toka afanyiwe upasuaji na anaendelea na kazi vizuri lakini amekuja kugundua hivi karibuni kama shahawa [sperms] hamna au haitoki kabisa,ameingiwa na hofu na kujaribu mbinu zote ili aweze kutoa shahawa lakini bila mafanikio,hamna hata tone moja halikutoka,anaomba tabibu yeyote amfahamishe kama hili ni jambo la kawaida au upasuaji una kasoro?.
Nalo tank la kuhifadhia(pumb.) si linaweza likapasuka.Bila shaka we sio mtanzania,maana icho kiswahil cha Kenya au kwingineko!!....
........
Kwanza umesema alifanyiwa upasuaji kwa tatizo LA blocked urine ,
So possibly walifunga mirija ya mbegu Vas deference kutokana na fact kwamba anatomy yake na uretha ipo karibu sana ko ni rahis wakati wakufanya operation wakawa wameiziba au kuiblock wakati wakitatua tatizo lake LA blocked urine....
Kwenye Medicine usually huwa wana out weight situation ....nibora soperm zsitoke kuliko mkojo koz zsipotoka mkojo you possibly rupture urine bladder bt sperm zsipotoka no problem
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Nalo tank la kuhifadhia(pumb.) si linaweza likapasuka.
Nalo tank la kuhifadhia(pumb.) si linaweza likapasuka.
Muhimu ieleweke na nafikiri imeshaelewekaIvi ni tone la sperm au tone la semen
Kwahiyo ina maana ndio itakuwa basi tena...Duh inatia uchungu sana.Bila shaka we sio mtanzania,maana icho kiswahil cha Kenya au kwingineko!!....
........
Kwanza umesema alifanyiwa upasuaji kwa tatizo LA blocked urine ,
So possibly walifunga mirija ya mbegu Vas deference kutokana na fact kwamba anatomy yake na uretha ipo karibu sana ko ni rahis wakati wakufanya operation wakawa wameiziba au kuiblock wakati wakitatua tatizo lake LA blocked urine....
Kwenye Medicine usually huwa wana out weight situation ....nibora soperm zsitoke kuliko mkojo koz zsipotoka mkojo you possibly rupture urine bladder bt sperm zsipotoka no problem
Mkuu mi naona bora hata zisitoe watoto lakini ziwe zinatokaMiaka 58 anataka shahawa za nini..? Anataka kuongeza mtoto...
Dawa ya kumfanya atoke shahawa ninayo ukiwea nitafute kwa wakati wako.Rafiki yangu alifanyiwa upasuaji baada ya lazer kushindwa kukamilisha kazi yake,shida ilikuwa ni mikojo haitaki kutoka kabisa,[blocked urine]kwa karibu siku tatu mfululizo,umri wake ni 58,ana mke na watoto,ikabidi kwa haraka afanyiwe upasuaji,anashukuru upasuaji na matibabu yote kwa ujumla umefaulu,ana miezi saba toka afanyiwe upasuaji na anaendelea na kazi vizuri lakini amekuja kugundua hivi karibuni kama shahawa [sperms] hamna au haitoki kabisa,ameingiwa na hofu na kujaribu mbinu zote ili aweze kutoa shahawa lakini bila mafanikio,hamna hata tone moja halikutoka,anaomba tabibu yeyote amfahamishe kama hili ni jambo la kawaida au upasuaji una kasoro?.
Rafiki yangu alifanyiwa upasuaji baada ya lazer kushindwa kukamilisha kazi yake,shida ilikuwa ni mikojo haitaki kutoka kabisa,[blocked urine]kwa karibu siku tatu mfululizo,umri wake ni 58,ana mke na watoto,ikabidi kwa haraka afanyiwe upasuaji,anashukuru upasuaji na matibabu yote kwa ujumla umefaulu,ana miezi saba toka afanyiwe upasuaji na anaendelea na kazi vizuri lakini amekuja kugundua hivi karibuni kama shahawa [sperms] hamna au haitoki kabisa,ameingiwa na hofu na kujaribu mbinu zote ili aweze kutoa shahawa lakini bila mafanikio,hamna hata tone moja halikutoka,anaomba tabibu yeyote amfahamishe kama hili ni jambo la kawaida au upasuaji una kasoro?.