matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 6,593
- 15,389
Wakuu hii kitu miaka ya 90 sikuwahi kuisikia. Sijui imetokea nchi gani.
Sioni kama wanafundishana mambo ya maana zaidi ya ukahaba na kuvizia vijizawadi.
Mwaka 2004 nimewahi kuzamia kitchen party ya walimu wangu kwa kujificha aisee walikuwa wanamfundisha yule Mwalimu mwenzao uhuni na ukahaba, sikuona kama ni mambo ya ndoa pale.
Pili washabiki wa hizi kitu ni wanawake walioachika, wasimbe wasio na mpango wa kuolewa, wanawake wanaotawala waume zao wasiofugika au kuonyeka. Watu kwenye maadili hawaungi Mkono kabisa hii kitu.
Juzi nikiwa mahala flank nawasikia Kikundi cha wakina mama wanaajipanga kuvaa robo tatu uchi kwenye kitchen party ila itabidi waondoke na madera home ili waume wao wasijue.
Kuna bibi wa heshima na maana sana lakini kumbe huwa anavua vinguo hadi kubaki na nguo ya ndani akiruka sarakasi kwenye hizo party, jimama moja linakatikia chupa hadi inazama nusu sirini.
Haya ni mafunzo ya zinaa na uasherati.
Nashauri kitchen I party zifutwe alafu hayo mambo mwanamke afundishwe na mama au Ndugu sake sirini tens kwa adabu.
Sioni kama wanafundishana mambo ya maana zaidi ya ukahaba na kuvizia vijizawadi.
Mwaka 2004 nimewahi kuzamia kitchen party ya walimu wangu kwa kujificha aisee walikuwa wanamfundisha yule Mwalimu mwenzao uhuni na ukahaba, sikuona kama ni mambo ya ndoa pale.
Pili washabiki wa hizi kitu ni wanawake walioachika, wasimbe wasio na mpango wa kuolewa, wanawake wanaotawala waume zao wasiofugika au kuonyeka. Watu kwenye maadili hawaungi Mkono kabisa hii kitu.
Juzi nikiwa mahala flank nawasikia Kikundi cha wakina mama wanaajipanga kuvaa robo tatu uchi kwenye kitchen party ila itabidi waondoke na madera home ili waume wao wasijue.
Kuna bibi wa heshima na maana sana lakini kumbe huwa anavua vinguo hadi kubaki na nguo ya ndani akiruka sarakasi kwenye hizo party, jimama moja linakatikia chupa hadi inazama nusu sirini.
Haya ni mafunzo ya zinaa na uasherati.
Nashauri kitchen I party zifutwe alafu hayo mambo mwanamke afundishwe na mama au Ndugu sake sirini tens kwa adabu.