Ukiangalia Mara nyingi interview anazofanya diamond especially anapotaja wasanii wake wa WCB Mara nyingi jina la dada yake queen darling alitajigi lakini pia hata tu kupost kazi za dada yake queen darling ni chache tu ndo anapost kwenye mitandano yake ya social network hii ni tofauti na anaposapoti kazi za wasanii wake Kama harmonize kipindi yupo wcb, rayvanny,mboso na lavalava.
Hata ukija kwenye usimamizi wa kazi za wasanii wake ila dada yake amsimamii mfano niliona akimsamia harmo kipindi kile Kwenye ngoma ya aiyola akimwelekeza director baadhi ya Mambo wakati wakishoot wimbo wa harmo aiyola pamoja na ngoma zake zingine lakini pia tumeona kwenye kazi za kina mboso, lavalava na rayvanny hata ukiangalia video za rayvanny, mboso na lavalava Zina gharama kubwa kuliko za dada yake.
Kingine amewatengenea channel za international artist wasanii wake wa WCB kuliko dada yake queen darling ambaye Hana hata collabo moja na international artist lakini pia ajawahi kufanya kazi moja na dada yake ili amsaidie kiaina.Inawezekana diamond hakubali kipaji Cha dada yake au members wenzangu mnasemaje?
Hata ukija kwenye usimamizi wa kazi za wasanii wake ila dada yake amsimamii mfano niliona akimsamia harmo kipindi kile Kwenye ngoma ya aiyola akimwelekeza director baadhi ya Mambo wakati wakishoot wimbo wa harmo aiyola pamoja na ngoma zake zingine lakini pia tumeona kwenye kazi za kina mboso, lavalava na rayvanny hata ukiangalia video za rayvanny, mboso na lavalava Zina gharama kubwa kuliko za dada yake.
Kingine amewatengenea channel za international artist wasanii wake wa WCB kuliko dada yake queen darling ambaye Hana hata collabo moja na international artist lakini pia ajawahi kufanya kazi moja na dada yake ili amsaidie kiaina.Inawezekana diamond hakubali kipaji Cha dada yake au members wenzangu mnasemaje?