Gideone
JF-Expert Member
- Dec 27, 2017
- 522
- 715
Ni Rais huyo mkuuSizani kama huyu ni raisi
Ni Rais huyo mkuuSizani kama huyu ni raisi
Maana yangu ni kuwa;
Mfano,wapinzani hupiga kelele kweli kumpinga kiongozi wa nchi husika.Lkn na ajabu pindi wawapo jirani naye huweweseka na mwisho huishia kumpongeza kwa bashasha na furaha!
Wakati mwingine watu haohao wampingao huenda mbali zaidi na kumpamba kwa kila jema ilhali janaye walimponda kwa kila baya na ovu!
Kwa nini hali hiyo kutokea?!Au,wapinga kila kitu hao ni wanafiki?!
Wewe ndio unatakiwa uingie google.Simu yako inaishia kuingia JF na Instagram tuu? Ingia google jombaaa....
Hahahaha marais wao uchwara akina jiwe
Maana yangu ni kuwa;
Mfano,wapinzani hupiga kelele kweli kumpinga kiongozi wa nchi husika.Lkn na ajabu pindi wawapo jirani naye huweweseka na mwisho huishia kumpongeza kwa bashasha na furaha!
Wakati mwingine watu haohao wampingao huenda mbali zaidi na kumpamba kwa kila jema ilhali janaye walimponda kwa kila baya na ovu!
Kwa nini hali hiyo kutokea?!Au,wapinga kila kitu hao ni wanafiki?!
Halafu chama lake limetinga fainali jana dah! Kwa umbo hilo ndio maana kina Luka Modric wanjituma sana uwanjani ili baadae wapeane nae japo mkono kama sio kupata hug ya nguvu
Sio yeye.Huyo ni COCONi Rais huyo mkuu
Kumbe ndiyo maana wanafanya vizuri hata katika kombe la dunia kumbe wakoshea wanajua kuchagua aisee! Sasa huyu akija kuomba kura anagombea na jiwe unaanze kumnyima kura na kumpa jiwe?
Ni rais siyo kama!![]()
Kama huyu ni Rais basi hawezi kumtisha mwanamme yoyote......!!
Bila ya shaka yoyote huyu kachaguliwa kwa sifa za ULIMBWENDE na siyo UONGOZI!!!
Angalia hii video,nadhani utabadili mawazo yako
Maana yangu ni kuwa;
Mfano,wapinzani hupiga kelele kweli kumpinga kiongozi wa nchi husika.Lkn na ajabu pindi wawapo jirani naye huweweseka na mwisho huishia kumpongeza kwa bashasha na furaha!
Wakati mwingine watu haohao wampingao huenda mbali zaidi na kumpamba kwa kila jema ilhali janaye walimponda kwa kila baya na ovu!
Kwa nini hali hiyo kutokea?!Au,wapinga kila kitu hao ni wanafiki?!
Naona umeshakariri rais ni lazima akunje sura na kufokafoka kama JiweSizani kama huyu ni raisi
Muke ya Ice TCoco Marie Austin