wewe ndio unalazimisha kuelewa kile unachotaka kuelewa ata kama hakiko sawa,elewa kwanza huyo ni mkuu wa mkoa, pili muda huo ni usiku, tatu ni mtu ambaye anapambana na wauza madawa ya kulevya maana yake ameshakuwa na maadui wengi na hawezi Kutembea usiku peke yake bila ulinzi wa askari ambaye ana bunduki,nne askari haruhusiwi kumpa mtu bunduki yake amshikie ata kama anakwenda chooni pindi anapokuwa on duty. shilikisha ubongo wako wewe pamoja kuwa na vyeti vyako original lakini hauwezi kifikiria ata swala dogo kama hili?Hivi ndugu mbona unakua mgumu kuelewa? Swala la kupigwa au kutokupigwa ni secondary....sio la msingi. Swala la msingi ni mkuu wa mkoa kuvamia kitu cha media usiku akiambatana na maaskari wenye silaha za moto. Kwenye nchi yoyote inayojiheshimu swala kama hilo ni ishara ya kupindua nchi! Jambo kama hili halitakiwi kuchukuliwa kiwepesiwepesi tu eti "Rais amefunga mjadala". No!
Mie nimejifungia na kafuri kwangu.HawatabirikiPole ya nini?wakati yeye anamsapoti aloyefanya so labda kesho ITV au kituo kingine yetu macho.Mimi nifunge mlango miye asije kwangu na mtutu mimi hata kisu sina na hakina mtu anayenifahamu .Mmm bibi yangu aliniambia kua mwanangu uyaone.Ila naota haya yanatokea nchi jirani jamani maana wao wana mpaka alshabab wanatembea na bunduku
Pesa za Tetemeko kule Bukoba alikula sembuse kuwa na moyo wa huruma? Kitendo alichofanya makonda alitumwa na magufuli kila mmoja ameshajua hilo.pole ya nini? aache kwenda kuwapa pole wagonjwa hospitalini awape pole hao jamaa wazima kabisa hata hawaumwi
Dah hivi kweli eee?Umeshawahi kusikia neno 'pole' toka kwa JPM?
itabidi akina B12 wampe mimba jesca ili baba yake azinduke ajue kwa clouds kuna vidume lakini hawana vyombo vya dola kama yy.aaaaah awape pole wamefiwa kwani
wamemgusa mwanae awape pole ya nini sasa
Naona umeamua kuja na gia ya kuhoji vyeti vyangu...mimi sina nia ya kujibizana na wewe katika hilo. Nipo kwenye mada tu.wewe ndio unalazimisha kuelewa kile unachotaka kuelewa ata kama hakiko sawa,elewa kwanza huyo ni mkuu wa mkoa, pili muda huo ni usiku, tatu ni mtu ambaye anapambana na wauza madawa ya kulevya maana yake ameshakuwa na maadui wengi na hawezi Kutembea usiku peke yake bila ulinzi wa askari ambaye ana bunduki,nne askari haruhusiwi kumpa mtu bunduki yake amshikie ata kama anakwenda chooni pindi anapokuwa on duty. shilikisha ubongo wako wewe pamoja kuwa na vyeti vyako original lakini hauwezi kifikiria ata swala dogo kama hili?
very good questionUmeshawahi kusikia neno 'pole' toka kwa JPM?