Kwanini Rais anazindua miradi ya kiwango cha mawaziri?

Kwanini Rais anazindua miradi ya kiwango cha mawaziri?

Sasa mkuu akiacha kuzingua hayo ya wakuu wa mikoa atazindua nini kwa mfano.

Zamani tulikuwa tunasikia "Rais anatarajia kuzindua mkutano wa International trade simmit wiki ijayo" Leo tunasikia mh rais kufungua daraha la manzese
Hili ni swali fikirishi sana.

Ukiangalia miradi mingi anayoizindua Rais na kuweka majiwe ya msingi ni miradi ya kiwango cha Wakuu wa Mikoa au Waziri. Sio yote lakini mingi ni miradi ambayo angezindua Waziri tu

Kingine ni namna baadhi ya aina ya matatizo anayoyashughulikia majukwaani. Matatizo mengine ya chini sana kiasi cha kubaki kwa mkurugenzi wa halmashauri tu au hata kwa Waziri mwenye dhamana. Matatizo haya yanapomfikia Rais maana yake watu wako wa chini hawawajibiki. Na pia unawafanya wananchi wasiwaamini tena na kusubiri mpaka Rais aje

Ni hayo tu kwa leo
 
Hili ni swali fikirishi sana.

Ukiangalia miradi mingi anayoizindua Rais na kuweka majiwe ya msingi ni miradi ya kiwango cha Wakuu wa Mikoa au Waziri. Sio yote lakini mingi ni miradi ambayo angezindua Waziri tu

Kingine ni namna baadhi ya aina ya matatizo anayoyashughulikia majukwaani. Matatizo mengine ya chini sana kiasi cha kubaki kwa mkurugenzi wa halmashauri tu au hata kwa Waziri mwenye dhamana. Matatizo haya yanapomfikia Rais maana yake watu wako wa chini hawawajibiki. Na pia unawafanya wananchi wasiwaamini tena na kusubiri mpaka Rais aje

Ni hayo tu kwa leo
Fikiria mkuu wa nchi anaenda mwanza kuzindua daraja la watembea kwa miguu Kama la buhuruni. Ainu tupu
 
hao wengine waliwaachia mawaziri kwa sababu muda mwingi walikua angani to abroad,sasa huyu kutoka hata kwenda kenya ni issue kwa hiyo tegemea kutokea kila event hata kama ya kuzindua choo cha shule ni sawa tu
 
Naam 40 billions kajichotea hazina bila idhini ya Bunge eti kujenga kiwanja cha ndege chenye hadhi huko kwao wakati wasafiri wa ndege huko hawafiki hata 20! Kwa mwaka mzima! Huu ni ubadhirifu mkubwa sana wa pesa za walipa kodi.
A president should listen to the people and obey the law sasa magufuli don't listen to the people and breaks the law and shield behind police tumuelewe kivipi.
 
Ana ba
Hili ni swali fikirishi sana.

Ukiangalia miradi mingi anayoizindua Rais na kuweka majiwe ya msingi ni miradi ya kiwango cha Wakuu wa Mikoa au Waziri. Sio yote lakini mingi ni miradi ambayo angezindua Waziri tu

Kingine ni namna baadhi ya aina ya matatizo anayoyashughulikia majukwaani. Matatizo mengine ya chini sana kiasi cha kubaki kwa mkurugenzi wa halmashauri tu au hata kwa Waziri mwenye dhamana. Matatizo haya yanapomfikia Rais maana yake watu wako wa chini hawawajibiki. Na pia unawafanya wananchi wasiwaamini tena na kusubiri mpaka Rais aje

Ni hayo tu kwa leo
Ana bana matumizi
 
"This guy doesn’t know what it means to be President.” George W Bush

Bush amesema hivi kuhusu Donald Trump
 
Kwenye hiki lazima wananchi kupitia wabunge wapige kelele aisee..
Huyu jamaa kichwani isn't normal..
40Bil Tshs kwa airport ambayo isn't economic viable!!?
Tetesi ni kwamba yeye mwenyewe ni muoga kupanda ndege, sasa airport ya nini.
kwako siyo viable kaa kimya. Ushamba wako ni mzigo wako, ok?
 
Naam 40 billions kajichotea hazina bila idhini ya Bunge eti kujenga kiwanja cha ndege chenye hadhi huko kwao wakati wasafiri wa ndege huko hawafiki hata 20! Kwa mwaka mzima! Huu ni ubadhirifu mkubwa sana wa pesa za walipa kodi.
Kwa hadhi yake tu inatosha kuwa na international airport. Kwa uchumi wa eneo hili haitoshi kuwa na airport moja. Mlizoea kuinyonya lake zone mtaumia hadi mkonde. Kaa kimya Mzee achape kazi. From chato to serengeti and from chato to Gombe. Usisahau Rubondo island. Karibu East africa via Chato air port the most secure airport
 
Kwa nini hakuweka yeye mwenyewe jiwe la msingi eapoti ya kimataifa Chato ?
 
Back
Top Bottom