Kwanini Rais anazindua miradi ya kiwango cha mawaziri?

Kwanini Rais anazindua miradi ya kiwango cha mawaziri?

Kipenzi Changu

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
59,220
Reaction score
138,649
Hili ni swali fikirishi sana.

Ukiangalia miradi mingi anayoizindua Rais na kuweka majiwe ya msingi ni miradi ya kiwango cha Wakuu wa Mikoa au Waziri. Sio yote lakini mingi ni miradi ambayo angezindua Waziri tu

Kingine ni namna baadhi ya aina ya matatizo anayoyashughulikia majukwaani. Matatizo mengine ya chini sana kiasi cha kubaki kwa mkurugenzi wa halmashauri tu au hata kwa Waziri mwenye dhamana. Matatizo haya yanapomfikia Rais maana yake watu wako wa chini hawawajibiki. Na pia unawafanya wananchi wasiwaamini tena na kusubiri mpaka Rais aje

Ni hayo tu kwa leo
 
Umesahau hii awamu ni ya mtu mmoja tu kusifiwa?? Ila kaona aibu kwenda zindua uwanja wa ndege chato uwanja wa kimataifa wenye hadhi hata ya kumwita Trump yeye ndio kamtuma waziri maana tumezd kumwandama huku mitandaon
 
Hili ni swali fikirishi sana.

Ukiangalia miradi mingi anayoizindua Rais na kuweka majiwe ya msingi ni miradi ya kiwango cha Wakuu wa Mikoa au Waziri. Sio yote lakini mingi ni miradi ambayo angezindua Waziri tu

Kingine ni namna baadhi ya aina ya matatizo anayoyashughulikia majukwaani. Matatizo mengine ya chini sana kiasi cha kubaki kwa mkurugenzi wa halmashauri tu au hata kwa Waziri mwenye dhamana. Matatizo haya yanapomfikia Rais maana yake watu wako wa chini hawawajibiki. Na pia unawafanya wananchi wasiwaamini tena na kusubiri mpaka Rais aje

Ni hayo tu kwa leo


Kwa sababu ni Raisi wetu na siyo wenu!
 
Asipofanya hivyoo bado mtakuja na kusema mbona rais yupo kimya,sikia anafanya hivyo kuwakumbusha kuwa yupo rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania hata kama hamuappreciate lakini yupo na atakuwepo sana tuu hadi 2025.

pili ndo sehemu ya kujibu madongo ya upinzani,maana hawezi kuitisha mkutano ikulu ili ajibu madongo yenu ni kwenye shughuli kama hizo ndo anaweza kujibu madongo ya upinzani.
 
Hili ni swali fikirishi sana.

Ukiangalia miradi mingi anayoizindua Rais na kuweka majiwe ya msingi ni miradi ya kiwango cha Wakuu wa Mikoa au Waziri. Sio yote lakini mingi ni miradi ambayo angezindua Waziri tu

Kingine ni namna baadhi ya aina ya matatizo anayoyashughulikia majukwaani. Matatizo mengine ya chini sana kiasi cha kubaki kwa mkurugenzi wa halmashauri tu au hata kwa Waziri mwenye dhamana. Matatizo haya yanapomfikia Rais maana yake watu wako wa chini hawawajibiki. Na pia unawafanya wananchi wasiwaamini tena na kusubiri mpaka Rais aje

Ni hayo tu kwa leo
Mtu anaogopa kusafiri nje ya nchi unategemea atafanya kazi gani?
 
Ili baada ya miaka miwili, mitatu, minne, mitano wadanganyika watangaziwe jumla ya miradi iliyozinduliwa na mtukufu rais. Ikiwezekana na nyimbo na mashairi yatungwe kumpongeza mtukufu kwa uzinduzi wa miradi mingi kuliko rais ye yote duniani. Mungu atupe nini? Debe la kunguni?
 
Kwa jinsi alivyo bora aendelee na hizi kazi ambazo kimbelembele polepole angefanya huyu jamaa akipewa ahutubie kwenye sikukuu za kimataifa kama Siku ya mtoto wa afrika ; Siku ya kupambana na kichaa cha mbwa ; ndio tutaona mabalozi wa nchi za nje wakiondoka
 
Wote wapendao kutawala kwa mkono wa chuma wana hulka moja: 'Kupenda sifa.' Watazindua hata viwanda vya kale kisa, Wapate sifa.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Unajenga Airport ya around Tshs 40Bil kijijini kwako..!!

Huu ni UFUJAJI mkubwa wa kodi za watanzania..

Huku ni kuwatukana wananchi wako maskini unaowaongoza..

Halafu baada ya siku chache unapanda jukwaani kusema wewe upo kwa ajili ya watanzania wanyonge..!!
Shame..!!

Kwani kuna tabu gani kama ungetumia airport ya Mwanza au ya jirani kabisa na Chatto iliyo Geita ndani ya Mgodi..??

Hii ni aibu kubwa sana.
 
Naam 40 billions kajichotea hazina bila idhini ya Bunge eti kujenga kiwanja cha ndege chenye hadhi huko kwao wakati wasafiri wa ndege huko hawafiki hata 20! Kwa mwaka mzima! Huu ni ubadhirifu mkubwa sana wa pesa za walipa kodi.

Unajenga Airport ya around Tshs 40Bil kijijini kwako..!!

Huu ni UFUJAJI mkubwa wa kodi za watanzania..

Huku ni kuwatukana wananchi wako maskini unaowaongoza..

Halafu baada ya siku chache unapanda jukwaani kusema wewe upo kwa ajili ya watanzania wanyonge..!!
Shame..!!

Kwani kuna tabu gani kama ungetumia airport ya Mwanza au ya jirani kabisa na Chatto iliyo Geita ndani ya Mgodi..??

Hii ni aibu kubwa sana.
 
Asipofanya hivyoo bado mtakuja na kusema mbona rais yupo kimya,sikia anafanya hivyo kuwakumbusha kuwa yupo rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania hata kama hamuappreciate lakini yupo na atakuwepo sana tuu hadi 2025.

pili ndo sehemu ya kujibu madongo ya upinzani,maana hawezi kuitisha mkutano ikulu ili ajibu madongo yenu ni kwenye shughuli kama hizo ndo anaweza kujibu madongo ya upinzani.
Mbona tayari kuna njia nzuri ya kujibu madongo ya wapinzani: Ile ya Lisu!!! Sasa kwa nini kuhangaika na vimiradi vya ki - mkuu wa wilaya?
 
Naam 40 billions kajichotea hazina bila idhini ya Bunge eti kujenga kiwanja cha ndege chenye hadhi huko kwao wakati wasafiri wa ndege huko hawafiki hata 20! Kwa mwaka mzima! Huu ni ubadhirifu mkubwa sana wa pesa za walipa kodi.
Kwenye hiki lazima wananchi kupitia wabunge wapige kelele aisee..
Huyu jamaa kichwani isn't normal..
40Bil Tshs kwa airport ambayo isn't economic viable!!?
Tetesi ni kwamba yeye mwenyewe ni muoga kupanda ndege, sasa airport ya nini.
 
Naam ilipaswa kuwa hivyo Mkuu lakini Bunge lenyewe kishalifanya kitengo cha dikteta uchwara kwa kuwatisha Wabunge wa MACCM kwamba anaweza kuwafukuza wakati wowote ule na hivyo kupoteza ubunge wao na wale machachari wa upinzani wamefukuzwa eti na kamati ya maadili uchwara au si Wabunge tena kutokana na maamuzi ya jambazi wa kupora vyama propesa Lipumba.

Kwenye hiki lazima wananchi kupitia wabunge wapige kelele aisee..
Huyu jamaa kichwani isn't normal..
40Bil Tshs kwa airport ambayo isn't economic viable!!?
Tetesi ni kwamba yeye mwenyewe ni muoga kupanda ndege, sasa airport ya nini.
 
Asipofanya hivyoo bado mtakuja na kusema mbona rais yupo kimya,sikia anafanya hivyo kuwakumbusha kuwa yupo rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania hata kama hamuappreciate lakini yupo na atakuwepo sana tuu hadi 2025.

pili ndo sehemu ya kujibu madongo ya upinzani,maana hawezi kuitisha mkutano ikulu ili ajibu madongo yenu ni kwenye shughuli kama hizo ndo anaweza kujibu madongo ya upinzani.
Hana jipya zaidi ya kutafuta kiki kwenye media
 
Napenda kiki, napenda makamera aisee napenda kuonekana!
 
Kwenye hiki lazima wananchi kupitia wabunge wapige kelele aisee..
Huyu jamaa kichwani isn't normal..
40Bil Tshs kwa airport ambayo isn't economic viable!!?
Tetesi ni kwamba yeye mwenyewe ni muoga kupanda ndege, sasa airport ya nini.
initia ushungu kwei kwei!
Nalog off
 
Back
Top Bottom