Kwanini Rais anatudanganya?

TANGU LINI NYIE BAVICHA MMEANZA KUUCHUKIA UONGO? MNATAKA TUWAKUMBUSHE KILE VIONGOZI WENU WALICHOTUAMBIA KUHUSU LOWASSA?
 
Juma ponda Mali malaika hajui anacho sema hatutaki misaada nchi tajiri Leo bila ya aibu anamuomba maskini amsaidie keshasahau kua nchi ni tajiri

Tena msaada wenyewe ni kujengewa MSIKITI na UWANJA wa Mpira dola milioni 80-100! Swali ni, Jr huo mskti wataingia Waislamu wangapi kama Watz na huko Uwanja wa mpira sztaingia Watz wangapi kama mashabikiout of approx.50m Tanzanians!
Afadhali ange liomba Viwanda vya Sukari,Gasi adilia,Hospitali au Chuo Kikuu. Hapa ndipo naweza kujua kama Rais ana vipa umbele au hana!
Poleni sana Wabongo, endeleeni kuisoma namba mpaka.......:-!!!
 
Mbona umekuwa mkali kiasi hicho kwani kakosea nini mleta mada?
 
Nitatoa salary slip nikitoka chato
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…