Kwanini Putin aliamua kuwa kapera/bachela?

Kwanini Putin aliamua kuwa kapera/bachela?

Baada ya ku study kile kilichomkost samsoni

Mfalme daudi ....ndipo akaona Mwanamke ni kiumbe hatari

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Utakuta wewe hapo una mke na watoto labda hata wake unao na michepuko juu. Na baba yako asingekuwa na mama yako usingeonekana kabisa. Watu kwa unafiki hamjambo.

Putin hayo ni madhaifu yake tu na wala sio cha kumsifia.
 
Back
Top Bottom