Kwanini Prof. Kabudi anapenda kusema " Mimi nisiyestahili" kila mara anapopata uteuzi

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,968
141,977
Nimejiuliza sana kwamba Rais anakuamini na kukuteua halafu ukishaapa wakati wa kutoa shukrani unasema "........nashukuru kwa kuniteua/kuniamini na kuniteua mimi nisiyestahili"

Je, hii ni dalili ya kuonyesha unyenyekevu uliotukuka au kupungukiwa na ujasiri na kutojiamini?

Aah najiuliza tu waungwana huyu ni mzee wangu wa Kanisa labda yuko kiimani zaidi

Maendeleo hayana vyama!
 
Kwa dunia hii hakuna anayestahili sehem,
Wote hatustahili, nawewe unayesoma comment hii ukanipa like mimi nisiyestahili kupewa ni kwakuwa nasema,

1.Magufuli hakustahili urais ila mapenzi ya Mungu
2.Makonda hakustahili ukuu wa mkoa ila ni mapemzi ya mungu
3.Kabudi hastahili pia
4.Lowassa hakustahili kuitwa CHADEMA
5.Mbowe hastahili kuwa segerea pia hastahili kuwa mwenyekiti wa chama
6.Lipumba hastahili
7.Trump hakustahili
8.Makamba hakustahili hata kuchukua form ila mapenzi ya Mungu
9.Membe hakustahili kabisa hata kuwa waziri wa mambo ya nje,

Kwa haraka haraka hakuna anayestahil mpaka Mapenzi ya Mungu
 
Kwa dunia hii hakuna anayestahili sehem,
Wote hatustahili, nawewe unayesoma comment hii ukanipa like mimi nisiyestahili kupewa ni kwakuwa nasema,

1.Magufuli hakustahili urais ila mapenzi ya Mungu
2.Makonda hakustahili ukuu wa mkoa ila ni mapemzi ya mungu
3.Kabudi hastahili pia
4.Lowassa hakustahili kuitwa CHADEMA
5.Mbowe hastahili kuwa segerea pia hastahili kuwa mwenyekiti wa chama
6.Lipumba hastahili
7.Trump hakustahili
8.Makamba hakustahili hata kuchukua form ila mapenzi ya Mungu
9.Membe hakustahili kabisa hata kuwa waziri wa mambo ya nje,

Kwa haraka haraka hakuna anayestahil mpaka Mapenzi ya Mungu
Sasa ni nani anayestahili?!
 
Nimejiuliza sana kwamba Rais anakuamini na kukuteua halafu ukishaapa wakati wa kutoa shukrani unasema "........nashukuru kwa kuniteua/kuniamini na kuniteua mimi nisiyestahili"

Je, hii ni dalili ya kuonyesha unyenyekevu uliotukuka au kupungukiwa na ujasiri na kutojiamini?

Aah najiuliza tu waungwana huyu ni mzee wangu wa Kanisa labda yuko kiimani zaidi

Maendeleo hayana vyama!
Anaonesha level ya juu ya unafiki na udangaji. Profesa mzima anamdangia namba moja?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimejiuliza sana kwamba Rais anakuamini na kukuteua halafu ukishaapa wakati wa kutoa shukrani unasema "........nashukuru kwa kuniteua/kuniamini na kuniteua mimi nisiyestahili"

Je, hii ni dalili ya kuonyesha unyenyekevu uliotukuka au kupungukiwa na ujasiri na kutojiamini?

Aah najiuliza tu waungwana huyu ni mzee wangu wa Kanisa labda yuko kiimani zaidi

Maendeleo hayana vyama!
Nilishasema huyu ni mtaalamu wa story za zamani na fix kibao huku amekaza macho. Namfananisha na yule mzee Kifimbo cheza wa kwenye magazeti ya Sani
 
Nimejiuliza sana kwamba Rais anakuamini na kukuteua halafu ukishaapa wakati wa kutoa shukrani unasema "........nashukuru kwa kuniteua/kuniamini na kuniteua mimi nisiyestahili"

Je, hii ni dalili ya kuonyesha unyenyekevu uliotukuka au kupungukiwa na ujasiri na kutojiamini?

Aah najiuliza tu waungwana huyu ni mzee wangu wa Kanisa labda yuko kiimani zaidi

Maendeleo hayana vyama!
Kapata teuzi ngapi?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom