Kwanini Polisi wabebe maiti?

Kwanini Polisi wabebe maiti?

Akilimali22

Senior Member
Joined
Jun 7, 2015
Posts
168
Reaction score
90
Ikiwa tuna Hospitali za mikoa na rufaa na magari ya hospital yapo kwanini Polisi wabebe maiti?

Utakuta kuna matukio mengi tu yanatokea ikiwa mauaji, ajali au maiti zilizotelekezwa njiani na majumbani kwanza wataitwa Polisi. Kwanini Polisi nao wasi link na hospital waje pamoja?

Sababu:
Polisi sio wataalam wa afya sasa wanabebaje maiti kwenye gari ambayo baadae wanalitumia kubeba wahalifu hapo suala la afya limekaaje?

Zipo maiti zinabebwa zikiwa zimeharibika nyingine zinavuja damu.

Wataalam wa afya tushaurini humu na mshauri mfumo wa POLISI na hospital kufa ya kazi pamoja katika suala la kubeba miili ilioripotiwa Polisi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wazo zuri
Kutana na mbunge wa jimbo lako apeleke mswada bungeni ama aishauri wizara ifanye marekebisho ya sheria husika. Logic
Ikiwa tuna Hospitali za mikoa na rufaa na magari ya hospital yapo kwanini Polisi wabebe maiti?

Utakuta kuna matukio mengi tu yanatokea ikiwa mauaji, ajali au maiti zilizotelekezwa njiani na majumbani kwanza wataitwa Polisi. Kwanini Polisi nao wasi link na hospital waje pamoja?

Sababu:
Polisi sio wataalam wa afya sasa wanabebaje maiti kwenye gari ambayo baadae wanalitumia kubeba wahalifu hapo suala la afya limekaaje?

Zipo maiti zinabebwa zikiwa zimeharibika nyingine zinavuja damu.

Wataalam wa afya tushaurini humu na mshauri mfumo wa POLISI na hospital kufa ya kazi pamoja katika suala la kubeba miili ilioripotiwa Polisi.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kazi kubwa ya polisi ni kulindana mali na usalama wa raia hivyo kukitokea kifo ni jukumu Lao kuchunguza kilichomsibu raia, wao ndiyo watabaini iwapo uchunguzi wa kifo unahitajika.
 
Kazi kubwa ya polisi ni kulindana mali na usalama wa raia hivyo kukitokea kifo ni jukumu Lao kuchunguza kilichomsibu raia, wao ndiyo watabaini iwapo uchunguzi wa kifo unahitajika.
My dear,hujaisoma post vizuri hrf tunaonana lini?
 
My dear,hujaisoma post vizuri
Mada imeeleweka
Jibu ni kuwa POLISI wanashughulika na uhalifu wowote ili kuleta USALAMA
ndio maana ukiwa na tatizo unakimbilia hapo kwanza
pakitokea tatizo Dr au Tabibu haruhusiwi kusogelea wala kutoa matibabu bila ya idhini ya POLISI PF 3
wakishatanguliza Mochwari ndipo heshima itaanzia huko, ila km ni ajali ya MV Bukoba Ndege au Treni wao na Zimamoto tunawaachia wazike sisis tusubiri majibu ya DNA, kwani watazika wao
 
... in short Polisi wawe na magari maalumu ya kubebea maiti na sio kuzitupa ovyo kwenye ma-defender yao huku wakizikanyaga ovyo! Hata kama alifariki kwenye tukio la kihalifu, maiti anastahili heshima.
nakumbuka nilikufa, lilikuwa ni tukio la ujambazi,
dah jamaa wakanibeba wakaniweka kwenye cruiser hard top 1HZ,
sikuwa na amani kabisa hasa ukizingatia kama ningepatikana na hatia, nani akubali kifungo?
Basi mie huyooo nikatoroka tulipokaribia central
 
Ikiwa tuna Hospitali za mikoa na rufaa na magari ya hospital yapo kwanini Polisi wabebe maiti?

Utakuta kuna matukio mengi tu yanatokea ikiwa mauaji, ajali au maiti zilizotelekezwa njiani na majumbani kwanza wataitwa Polisi. Kwanini Polisi nao wasi link na hospital waje pamoja?

Sababu:
Polisi sio wataalam wa afya sasa wanabebaje maiti kwenye gari ambayo baadae wanalitumia kubeba wahalifu hapo suala la afya limekaaje?

Zipo maiti zinabebwa zikiwa zimeharibika nyingine zinavuja damu.

Wataalam wa afya tushaurini humu na mshauri mfumo wa POLISI na hospital kufa ya kazi pamoja katika suala la kubeba miili ilioripotiwa Polisi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Niliwahi kushauri tubadili mfumo wa zimamoto, Ambulance zote zisimamiwe na zimamoto na uokoaji, maafisa wa zimamoto wapewe mafunzo ya paramedics na wawe na madaktari na manesi wao likitokea tukio waende kwa pamoja
 
Niliwahi kushauri tubadili mfumo wa zimamoto, Ambulance zote zisimamiwe na zimamoto na uokoaji, maafisa wa zimamoto wapewe mafunzo ya paramedics na wawe na madaktari na manesi wao likitokea tukio waende kwa pamoja
Point ya msingi sana hii
 
Kazi kubwa ya polisi ni kulindana mali na usalama wa raia hivyo kukitokea kifo ni jukumu Lao kuchunguza kilichomsibu raia, wao ndiyo watabaini iwapo uchunguzi wa kifo unahitajika.
Weshu wau point ya mtoa mada ni polisi wakishakuja eneo la tukio wakabaini uchunguzi zaidi unahitajika kwanini wasiwaachie watu wa afya jukumu la kubeba maiti na kufanya taratibu stahili? Defender sio chombo sahihi cha kubeba hizi maiti.
Maiti yoyote ikiokotwa lazima ipelekwe hospitali kuhifadhiwa na sio polisi, ndipo taratibu nyingine za kipolisi na kiuchunguzi zifuatwe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
nakumbuka nilikufa, lilikuwa ni tukio la ujambazi,
dah jamaa wakanibeba wakaniweka kwenye cruiser hard top 1HZ,
sikuwa na amani kabisa hasa ukizingatia kama ningepatikana na hatia, nani akubali kifungo?
Basi mie huyooo nikatoroka tulipokaribia central
...Duh!...🙄🙄🙄
 
Weshu wau point ya mtoa mada ni polisi wakishakuja eneo la tukio wakabaini uchunguzi zaidi unahitajika kwanini wasiwaachie watu wa afya jukumu la kubeba maiti na kufanya taratibu stahili? Defender sio chombo sahihi cha kubeba hizi maiti.
Maiti yoyote ikiokotwa lazima ipelekwe hospitali kuhifadhiwa na sio polisi, ndipo taratibu nyingine za kipolisi na kiuchunguzi zifuatwe.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ambulance bebe jambazi lililopigwa na wananchi hapohapo ibebe mjamzito wakifika hospital waanzie mochwari ndio wodini, akili matope?
 
Kwanza hayo majambazi kuyabeba kwenye defender Ni msaada yalipaswa yakokotwe na punda
 
Back
Top Bottom