Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,893
- 16,317
Uzembe wa idara ya IT.Shikamooni wakubwa zangu wote.
Jana wakati ninafungua account yangu ya Facebook nilikutana na post hii ya jamiiforums kwenye ukurasa wao wa Facebook kwamba police wamelaani vikali juu ya taarifa zinazosambaa mitandaoni kuhusu kushambuliwa kwa mwanahabari bwana Sillas Mbise. Angalia picha hapo chini.
View attachment 832499
Wakati ninasoma taarifa hiyo ya police kuna issue moja nime notice. Ukiangalia kwa umakini Sana anwani ya upande kwa kushoto mstari wa pili kutoka juu utaona email imeandikwa dsmzhabari@gmail.com (dsmz bila shaka ni kirefu cha dar es salaa zone)
View attachment 832501
Sasa nikaanza kujiuliza, kwanini jeshi letu pendwa na tukufu kama police watumie email account ya Google wakati wanamiliki domain name yao (www.policeforce.go.tz) above all serikali pia ina severs nyingi Sana za bure ambazo zingeweza ku host emails za kanda maalum ya dar?
Ni mimi ndio mjinga ama kuna uzembe idara ya IT ya taasisi kubwa kama police??
OUR MOTTO
========
KIJANA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USITUMIKE VIBAYA KUICHAFUA NCHI YAKO.
Good
hili nalo nenoNionavyo Mimi,kuwakwepa hao C.I.A ni ngumu mno,ata wakitumia anwani IPI,kumbuka Tz hatuna satellite yetu,tunatumia zao,
Mtu aliyefanikiwa kuwakwepa ni bwana Kipanki wa Korea.Africa tupo utupu mno,
I think it does not make sense to have/own domain name while we are using their satellite,at the same time we want to secure our information.What about professionalism? How does it sound kuwa wanamiliki domain name lakini hawana email address inayobeba jina lako?
Nakupunga kaka kua hatuwezi...ilahatujaamua km kweli hawatumii...they can build their own network locally....and only accessible locally...I mean tz only na ikawa ipo secure vzr tu...wapo watz wanajua sn hayo mambo ila maybe hawajapata hio nafasi yakutengeneza sehemu km hizoNionavyo Mimi,kuwakwepa hao C.I.A ni ngumu mno,ata wakitumia anwani IPI,kumbuka Tz hatuna satellite yetu,tunatumia zao,
Mtu aliyefanikiwa kuwakwepa ni bwana Kipanki wa Korea.Africa tupo utupu mno,
Umezungumza vema sana bwana kuhusu hoja ya huyo mtu hapo juu. Sisi hatuwezi kukwepa kudukuliwa kama watataka habari zetu hawa wanaotusambazia teknolojia ya mawasiliano. Kwani device zote tunazotumia tu ni risk. Labda tuwekeze kwa kina kwenye technology.Hasa data encryption.Nionavyo Mimi,kuwakwepa hao C.I.A ni ngumu mno,ata wakitumia anwani IPI,kumbuka Tz hatuna satellite yetu,tunatumia zao,
Mtu aliyefanikiwa kuwakwepa ni bwana Kipanki wa Korea.Africa tupo utupu mno,
Atanyakuliwa muda sio mrefuClassmate wangu infantry Soldier anapenda sana overrating tangu tupo shuleni. Huwa ananishangazaga sana
Kumbe ndio maana kipanki hamuogopi mtu, ana satellite eehNionavyo Mimi,kuwakwepa hao C.I.A ni ngumu mno,ata wakitumia anwani IPI,kumbuka Tz hatuna satellite yetu,tunatumia zao,
Mtu aliyefanikiwa kuwakwepa ni bwana Kipanki wa Korea.Africa tupo utupu mno,
Boss kulinda Mawasiliano ni Investment, Ivo intention apo ni watumia domain zao ili iwe simple mtu kugundua kuwa hii ni Tanpol, Yani hai sound vyema **** emai za gmail kwa Institute kubwa kama Polisi, Ila ni wanazo pia za ndani, Kulinda mawasiliano ni changamoto kweli ikiwa tunatumia miundo mbinu yao na Mafundi wao kwenye case kubwaI think it does not make sense to have/own domain name while we are using their satellite,at the same time we want to secure our information.
darkweb " tena" huko sihapafai mkuuOoh,kumbe gmail
Nilishituka kudhani polisi wanatumia darkweb,