Kwanini pesa za TASAF zinagawiwa kwa wazee maeneo ambayo CCM wana hali ngumu kisiasa?

swagazetu

JF-Expert Member
Nov 28, 2013
4,251
1,467
Hawa jamaa wa TASAF wanagawa misaada kwa wazee eti wasiojiweza na kaya masikini sasa hivi.

Nilicho note ni kwamba wanagawa maeneo ambayo CCM hali ya wapiga kura au upepo wa kisiasa siyo mzuri.

Wameanzia Mtwara na sasa wamehamia Mwanza takribani wiki mbili zilizopita.

Hivi ratiba ya ugawaji wa hizi pesa ukoje.

Mwaka jana katika uchaguzi wa Wenyeviti Serikali iligawa mahindi siku mbili kabla uchaguzi na hiyo program haijarudia tena.

Je hawa wasiojiweza wanakula wakati wa kampeni tu?
 
Naomba usipotoshe umma wa watanzania na usilolijua ni sawa na usiku wa giza!kwa taarifa yako ni kwamba mradi wa tasaf haujaanza leo wala jana,na mikoa iliyoanza kutekeleza mradi huu karibia yote n ile ambayo ccm ilikua na nguvu na ina nguvu pia!na kwa taarifa tu walengwa hua wanalipwa kila baada ya miezi miwili!Na mradi huu sio mara ya kwanza kutekelezwa Tanzania,umeisha tekelezwa nchi mbalimbali duniani ikiwemo brazil na umekua mafanikio makubwa tu!
 
Naomba usipotoshe umma wa watanzania na usilolijua ni sawa na usiku wa giza!kwa taarifa yako ni kwamba mradi wa tasaf haujaanza leo wala jana,na mikoa iliyoanza kutekeleza mradi huu karibia yote n ile ambayo ccm ilikua na nguvu na ina nguvu pia!na kwa taarifa tu walengwa hua wanalipwa kila baada ya miezi miwili!Na mradi huu sio mara ya kwanza kutekelezwa Tanzania,umeisha tekelezwa nchi mbalimbali duniani ikiwemo brazil nako umekua mafanikio makubwat tu!


taja mafanikio
 
Mkuu hufuatilii habari za TASSF. Ni mradi endelevu na sasa hii ni awamu ya tatu hivyo kugawa pesa mda huu sio issue kwani hawakuanza leo.
Kesi ya maeneo wanayogawa ndio kabisaaaaaa sio issue unajua Pemba CCM haina mbunge, muwakilishi wala diwani hata mmoja nako pesa zinagawiwa.
Kwangu mimi nasikitika kwamba kiasi kinachotolewa hakilingani kufikia malengo.
 
Wananchi wamedanganyika sana,mwaka huu hawadanganyiki kabisa.Kinana mwenyewe ameonya kuwa wasichague Viongozi kwa ushabiki.Kuishabikia CCM ni kutukuza ukoloni.
 
Umeposti ki umbeya umbeya tu,ungeuliza kwanza kwa huyo anayegawa pesa maswali yafuatayo:-
1. Kwanini anagawa pesa?
2. Kwa vipi anagawa pesa?
3. Huu ugawaji umeanza lini?
4. Je ni akina nani wanapewa fedha? Na kwa nini wanapewa pesa?
5. Je ni maeneo gani wanapewa na kwa nini?
6. Je utaratibu wa kuwapata wanaopewa ulikuwaje? Na ulifanyikaje?

Mwisho nakushauri uwe unafuatilia mambo mbalimbali ya kitaifa kuanzia sebuleni kwako, mtaani kwako hadi kazini kwako. Acha mambo ya vijiweni na usitumike,

Hawa jamaa wa TASAF wanagawa misaada kwa wazee eti wasiojiweza na kaya masikini sasa hivi.

Nilicho note ni kwamba wanagawa maeneo ambayo CCM hali ya wapiga kura au upepo wa kisiasa siyo mzuri.

Wameanzia Mtwara na sasa wamehamia Mwanza takribani wiki mbili zilizopita.

Hivi ratiba ya ugawaji wa hizi pesa ukoje.

Mwaka jana katika uchaguzi wa Wenyeviti Serikali iligawa mahindi siku mbili kabla uchaguzi na hiyo program haijarudia tena.

Je hawa wasiojiweza wanakula wakati wa kampeni tu?
 
tasaf wanagawa pesa kila wilaya sio mtwara na mwanza tu,japokuma kazi zilianza kwa awamu na mtwara ilitangulia kwa sasa kila halmashauri ilifikiwa
 
Bavicha. Wao kila kitu. Ni kulalamika. Tu. Sasa sijui. Jema kwenu ni lipi ?? Basi na ww. Tafuta. Makambuni ya misaada ili wawagawie uko kwenuu
 
Hata kama unaichukia CCM jitahidi kuwa mkweli japo kwa 0.1%. Mpango wa Kaya Masikini wa TASAF upo hata kabla ya UCHAGUZI. Usiwe shabiki mpaka unaazimwa AKILI!

Hawa jamaa wa TASAF wanagawa misaada kwa wazee eti wasiojiweza na kaya masikini sasa hivi.

Nilicho note ni kwamba wanagawa maeneo ambayo CCM hali ya wapiga kura au upepo wa kisiasa siyo mzuri.

Wameanzia Mtwara na sasa wamehamia Mwanza takribani wiki mbili zilizopita.

Hivi ratiba ya ugawaji wa hizi pesa ukoje.

Mwaka jana katika uchaguzi wa Wenyeviti Serikali iligawa mahindi siku mbili kabla uchaguzi na hiyo program haijarudia tena.

Je hawa wasiojiweza wanakula wakati wa kampeni tu?
 
Pesa za Tasaf wanagawa sehemu zote kwa wazee wasiojiweza, kwa mim dosari niliyoiona ni kupewa hata watu wanaojiweza na ambao sio wazee, na hii ilitokana walikuwa wakikusanya dodoso na waliofanya tathimin, lakin pesa hzo zinatolewa siku nyingi labda kama mtwara walichelewa kufika.
 
naomba usipotoshe umma wa watanzania na usilolijua ni sawa na usiku wa giza!kwa taarifa yako ni kwamba mradi wa tasaf haujaanza leo wala jana,na mikoa iliyoanza kutekeleza mradi huu karibia yote n ile ambayo ccm ilikua na nguvu na ina nguvu pia!na kwa taarifa tu walengwa hua wanalipwa kila baada ya miezi miwili!na mradi huu sio mara ya kwanza kutekelezwa tanzania,umeisha tekelezwa nchi mbalimbali duniani ikiwemo brazil na umekua mafanikio makubwa tu!
ccm hapa zika tu!
 
Asante kwa kufichua hili , hii hela itakuwa ina laana maana kuna taarifa kwamba hata hao wanaopewa wanaishia kuipigia pombe mwanzo mwisho !
 
Pesa za Tasaf wanagawa sehemu zote kwa wazee wasiojiweza, kwa mim dosari niliyoiona ni kupewa hata watu wanaojiweza na ambao sio wazee, na hii ilitokana walikuwa wakikusanya dodoso na waliofanya tathimin, lakin pesa hzo zinatolewa siku nyingi labda kama mtwara walichelewa kufika.
Kwani kila mlengwa analipwa sh ngapi ?
 
Hawa jamaa wa TASAF wanagawa misaada kwa wazee eti wasiojiweza na kaya masikini sasa hivi.

Nilicho note ni kwamba wanagawa maeneo ambayo CCM hali ya wapiga kura au upepo wa kisiasa siyo mzuri.

Wameanzia Mtwara na sasa wamehamia Mwanza takribani wiki mbili zilizopita.

Hivi ratiba ya ugawaji wa hizi pesa ukoje.

Mwaka jana katika uchaguzi wa Wenyeviti Serikali iligawa mahindi siku mbili kabla uchaguzi na hiyo program haijarudia tena.

Je hawa wasiojiweza wanakula wakati wa kampeni tu?

Usipende ku[otosha umma kijana huo ni mpango ambao ulipitishwa bungeni na sio kwajili ya kampeni naomba muope mungu na uwe unachunga ndimi zako
 
Asante kwa kufichua hili , hii hela itakuwa ina laana maana kuna taarifa kwamba hata hao wanaopewa wanaishia kuipigia pombe mwanzo mwisho !
Amefichua kipi acha kuona kitu tu kimeandikwa unaamini we mtu mzima pokea hoja na ichambue kabla ya kuongea kitu
 
Back
Top Bottom