Kwanini "parachute" sio salama kwa ndege za abiria?

Mr pianoman

JF-Expert Member
May 22, 2019
2,549
6,097
Watu wengi wamekuwa wakiuliza swali: "Kwanini ndege za abiria wasiweke miamvuli {#parachutes} ili kila mtu aweze kuruka inapotokea dharura"

Ni swali zuri, lakini kiuhalisia haiwezekani kwasababu zifuatazo:

1. Urukaji kwa kutumia mwamvuli {parachute} unahitaji mafunzo ya saa 4 hadi 5 kwa darasani ikifuatia vitendo akiwemo mwalimu mmoja au wawili.

Utuaji unahitaji akili na ustadi mkubwa kuepuka kutengua miguu au kiuno. Hivyo ndege za abiria 100 hadi 500 ni vigumu kutoa mafunzo, gharama na muda.

2. Urukaji kutumia mwamvuli kawaida ndege haitakiwi kuzidi kasi ya 200km/saa na umbali usiozidi futi 13,000 kwa warukaji waliobobea, futi 3,500 warukaji wa kawaida.

Ndege kama #Boeing787 {#Dreamliner} kawaida hupaa futi 35,000 hadi 43,000 kwa kasi inayofika hadi 900km/saa. Kuruka katika kasi hiyo unaweza kuvunjwa na kusambaratishwa na upepo ikiwa si kujipigiza katika mbawa au mkia wa ndege.

Urukaji wa mwamvuli unaozidi futi 13,000 unahitaji kifaa maalumu cha kukufahamisha kimo ulichopo, '#musk' na mtungi wa '#oxygen' kwasababu kimo zaidi ya hapo hakuna oksijeni ya kutosha vinginevyo unaweza kuzimia {#hypoxia} kabla ya kufika kimo sahihi cha kufungua mwamvuli wako.

3. Mwamvuli mmoja na vifaa vyake unaweza kugharimu kati ya milioni 15 hadi 20.

4.
Mafunzo yanahitaji kufahamu kuendesha mwamvuli huo pamoja na ishara za mikono kama njia ya mawasiliano.

5. Mwamvuli mmoja una kilogramu zaidi ya 20, mara idadi ya abiria wote ni uzito mkubwa sana ambao utaathiri mafuta na uzito wa ndege.

6. Urukaji wa mwamvuli unahitaji kupeana nafasi hadi futi 500 au nusu dakika kwa watu wa kawaida ili kuepuka kuvaana angani.

Hii si rahisi kwa abiria walio'panic kwenye dharura.

7. Takwimu zinaonesha ndege nyingi asilimia 80% hupata dharura wakati wa kutua au kupaa.
Hivyo hakuna muda na kimo cha kutosha abiria kuweza kuruka.

8. Ndege chache zipatazo dharura katika kimo cha mbali husababishwa na hali mbaya ya hewa kama wingu la mawe na radi {#thunderstorm} hivyo ni vigumu kuruka na mwamvuli katika hali hiyo.

9. Dharura nyingi zikutazo ndege zinahitaji ufunge mkanda kuepuka kurushwa au kuelea ndani ya ndege.
Hivyo ni vigumu kuvaa mwamvuli na kutembea kufikia mlango.

10.
Ndege zipaazo kimo cha mbali huwa zinatengeneza mkandamizo wa hewa ndani {cabin_pressure} ili upate mazingira yanayofanana na ardhini kuepusha damu isijae gesi na kuchemka povu {#blood_boiling_bubbles} kwasababu ya pressure ndogo.

Ndege ni salama zaidi hata kwa dharura.

Credit by
#Aviation_Media_Tanzania

FB_IMG_1595672279346.jpg
 
Sijui abiria zaidi ya 200 mtapigana vikumbo vipi mlangoni pa ndege kila mmoja na parachuti lake akijiandaa kujirusha katikati ya the Sahara Desert, the Atlantic Hurricane Sofia, or at the middle of the Pacific full of the most dangerous sharks or within the Amazon full of anacondas! Wengine ndio safari yao ya kwanza, wengine wazee, walemavu, wagonjwa, warembo, n.k. alimradi mseto wa kila aina wengine wamezidiwa na obesity, mimba, etc.

Naungana na wataalamu bora ibaki hivyo hivyo likitokea la kutokea kila mmoja na Mungu wake hakuna namna. Hivi ile ya Ethiopian; Boeing 737 Max ilivyodondoka nose-down hata kungekuwa na vifaa bora namna gani vya uokozi panic yenyewe ni accelerator #1 ya tatizo.
 
Mafunzo yenyewe ya kuruka na Chute ni kisanga sio lelemama

SSgt Myeka alitua vibaya akavunjika vunjika miguu akalazwa Lugalo miezi 4

Mzee kampa uDC wa Chunya
Dah! Asee kumbe! Ila ukiachana na sababu ya kuvunjika vunjika kutakuwa na sababu nyingine pia ya kupewa ukuu wa wilaya.
 
Dah! Asee kumbe! Ila ukiachana na sababu ya kuvunjika vunjika kutakuwa na sababu nyingine pia ya kupewa ukuu wa wilaya.

Sababu nyingine ni kwamba alikua na Masters na ana cheo kidogo ila akawa anajitolea kufanya ualimu katika shule za jeshi.

So alivyopata ajali ndo akapata attention ya mkuu kufuatilia ni nani na anatumikaje. Akaonekana ni mtu "aliyerudhika" na anajua haswa maana ya kuserve nchi yake
 
Sababu nyingine ni kwamba alikua na Masters na ana cheo kidogo ila akawa anajitolea kufanya ualimu katika shule za jeshi.

So alivyopata ajali ndo akapata attention ya mkuu kufuatilia ni nani na anatumikaje. Akaonekana ni mtu "aliyerudhika" na anajua haswa maana ya kuserve nchi yake
Sawa sawa mkuu nimekupata vyema kabisa
 
Sababu nyingine ni kwamba alikua na Masters na ana cheo kidogo ila akawa anajitolea kufanya ualimu katika shule za jeshi.

So alivyopata ajali ndo akapata attention ya mkuu kufuatilia ni nani na anatumikaje. Akaonekana ni mtu "aliyerudhika" na anajua haswa maana ya kuserve nchi yake
Udc ni kazi za watu wasiotumia akili, mbona ualimu ni Bora kuliko udc
 
Mafunzo yenyewe ya kuruka na Chute ni kisanga sio lelemama

SSgt Myeka alitua vibaya akavunjika vunjika miguu akalazwa Lugalo miezi 4

Mzee kampa uDC wa Chunya
Kuna yule Komando Luteni alipoteza maisha
 
ahsante kionGozi

ila kama kunGekuwa na parachuti kwenye ndeGe. wallahi katika watu mia 500 mimi ninGekuwa wa kwanza kutoka ki-vyovyote vile


am talkinG with experience from daladala za mbaGala
Daladala za mbagala unafananisha na Ndege mkuu???
 
Watu wengi wamekuwa wakiuliza swali: "Kwanini ndege za abiria wasiweke miamvuli {#parachutes} ili kila mtu aweze kuruka inapotokea dharura"

Ni swali zuri, lakini kiuhalisia haiwezekani kwasababu zifuatazo:

1. Urukaji kwa kutumia mwamvuli {parachute} unahitaji mafunzo ya saa 4 hadi 5 kwa darasani ikifuatia vitendo akiwemo mwalimu mmoja au wawili.

Utuaji unahitaji akili na ustadi mkubwa kuepuka kutengua miguu au kiuno. Hivyo ndege za abiria 100 hadi 500 ni vigumu kutoa mafunzo, gharama na muda.

2. Urukaji kutumia mwamvuli kawaida ndege haitakiwi kuzidi kasi ya 200km/saa na umbali usiozidi futi 13,000 kwa warukaji waliobobea, futi 3,500 warukaji wa kawaida.

Ndege kama #Boeing787 {#Dreamliner} kawaida hupaa futi 35,000 hadi 43,000 kwa kasi inayofika hadi 900km/saa. Kuruka katika kasi hiyo unaweza kuvunjwa na kusambaratishwa na upepo ikiwa si kujipigiza katika mbawa au mkia wa ndege.

Urukaji wa mwamvuli unaozidi futi 13,000 unahitaji kifaa maalumu cha kukufahamisha kimo ulichopo, '#musk' na mtungi wa '#oxygen' kwasababu kimo zaidi ya hapo hakuna oksijeni ya kutosha vinginevyo unaweza kuzimia {#hypoxia} kabla ya kufika kimo sahihi cha kufungua mwamvuli wako.

3. Mwamvuli mmoja na vifaa vyake unaweza kugharimu kati ya milioni 15 hadi 20.

4.
Mafunzo yanahitaji kufahamu kuendesha mwamvuli huo pamoja na ishara za mikono kama njia ya mawasiliano.

5. Mwamvuli mmoja una kilogramu zaidi ya 20, mara idadi ya abiria wote ni uzito mkubwa sana ambao utaathiri mafuta na uzito wa ndege.

6. Urukaji wa mwamvuli unahitaji kupeana nafasi hadi futi 500 au nusu dakika kwa watu wa kawaida ili kuepuka kuvaana angani.

Hii si rahisi kwa abiria walio'panic kwenye dharura.

7. Takwimu zinaonesha ndege nyingi asilimia 80% hupata dharura wakati wa kutua au kupaa.
Hivyo hakuna muda na kimo cha kutosha abiria kuweza kuruka.

8. Ndege chache zipatazo dharura katika kimo cha mbali husababishwa na hali mbaya ya hewa kama wingu la mawe na radi {#thunderstorm} hivyo ni vigumu kuruka na mwamvuli katika hali hiyo.

9. Dharura nyingi zikutazo ndege zinahitaji ufunge mkanda kuepuka kurushwa au kuelea ndani ya ndege.
Hivyo ni vigumu kuvaa mwamvuli na kutembea kufikia mlango.

10.
Ndege zipaazo kimo cha mbali huwa zinatengeneza mkandamizo wa hewa ndani {cabin_pressure} ili upate mazingira yanayofanana na ardhini kuepusha damu isijae gesi na kuchemka povu {#blood_boiling_bubbles} kwasababu ya pressure ndogo.

Ndege ni salama zaidi hata kwa dharura.

Credit by
#Aviation_Media_Tanzania

Uko vizuri sana. Niongezee hapo kidogo, je mtatokea mlango gani mkitaka kutoka wakati wa dharula? Au itabidi wazifanyie modification mlango ukae myuma? Hatari sana
 
Mafunzo yenyewe ya kuruka na Chute ni kisanga sio lelemama

SSgt Myeka alitua vibaya akavunjika vunjika miguu akalazwa Lugalo miezi 4

Mzee kampa uDC wa Chunya
Alikuwa anatua akitokea wapi? Au mafunzoni?
Nje ya mada, Sanitizer ina kilevi cha 80%, walevi wanaona bora wangeumbwa corona wajidunge muda wote
 
Bora ukatike mguu ulazwe kuliko kuungua kama mishikaki huku unaona!!!........lkn pia hayo na marachute ya kizamani sana,,, siku hizi parachute moja linauwezo wa kubeba watu kuanzia 50!!

hawa wataongozwa na mmoja tu anaye jua!!......pia wata shauliana waebde vipi!! na mpara chute ya kisasa!..... yana visu, baruti, umeme wa dharula,

umeme huu ni ikiwa km mkiangukia porini basi wanyama wakali km anaconda wanapigwa shot tu!........halafu pia linaweza kugandishwa hewani na au likapelekwa na upepo mpaka muone sehemu salama mnashuka!

pia hilo hilo para chute lina matumizi mengine lukuki mfano mkisha fika chini tu ni hema vilevile ni boya zuri tu! .......mabisu na visu endapo matakutana na samaki wakorofi mnawachana tu!

lina vifaa muhimu ,vishoka, vikoleo vilivoungana na jembe!.......kajiko kadogo ka dharula hivi vinawaka kwa ktumia vidonge maalum!

humo humo kuna sanduku la huduma ya kwanza!........abiria ukiingia tu ndegeni utaonyeshwa jinsi ya kujiokoa /saidia mwenyewe km ukishindwaa!! tulia, nyanyua mkono juu, kimya! usipanick !

subiri hapo! hapo! wahudumu/ Air hostess! waje wakusaidie! upande huu huku ukifunguliwa ni waaazi wooote ule unateleza tu kivyako!......kikbwa kinacho sababisha moto! Betri, Mafuta! baaasi!

Kwanza lindege lenyewe lile ni li Parachute tosha kabisaaa!...endapo ma-Rubani/engineers watakaa kwa kutulia! ukimwaga mafuta na kudhibiti moto wa Betri! linashuka taatibuu km ethiopian air line lilivo shuka baharini!

wahudumu wanakuwa wa mwisho kabisaaa!! kujiokoa, Rubani akishindwa kuongoza ndge , anatoa taarifa mapema sana!! ndege za kisasa zinatumia sate light map zinaonyesha kila sehemu mliyopo..

hapa Duniani kwa watu wooote mliyomo ndegeni!...hata mkianguka nyie wenyewe mnajua wazi ni wapi mmeangukia, na sababu mtaijua!!.........kuhusu ajali za ndege mara nyingi ni makosa ya kibinadamu lkn siyo ndege yenyewe!!

ndege za kisasa hata km wingu limetanda namna gani kiasi kwamba rubani haoni.......labda km amekosea cock pit Dash board ! inaonyesha waziii!

tena kwa Awamu tatu........onyo la kwanza......onyo kali.........hatari zaidi....sasa subirini mnakufa!!!....Rubani anajua fika kabisaaa kifo hichoooo!! anakiona!

comp. zilizomo ndani ya Ndege zina kupa sababu na kukuelekeza weye rubani/engineer ufanye nini! ili uokoe maisha, hata km sehemu ya mizigo imeshika moto utauona mapemaa!!

Labda hujafunga mlango vizuri ndg itasema kupitia dash board(gari tu linasema sembuse ndege??).............. hata kama uwanjani kuna ndege km mbayu wayu wengi itakwambia tu.

tena inakupa na options!.........hata km unakaribia kutua ndege yenyewe itakwambia Mapema sana kuwa kuna hali ya Dhoruba/mawingu mazito uwanjani.......kwa hii wazoefu wanakwenda tu....

uzoefu huu ni km ule wa kijana wa Rais wa USA, wa zamani kenedy alipewa onyo aka dharau huko mbele umbali kidogo tu kutoka uwanjani aliangusha ile ndege akafa na mkewe, woote!

Pia siyo lazima woote mpitie kwenye kile kimlango mlicho ingilia Big no!! upande huu huku wa abiria watatu huku kooote ikitokea ajali kule pako wazi.......

hapa panaweza funuka pale! mkateleza tu km mko kwenye Beseni vile! hasa kma ikitokea moto!! kuna mabati ya ndege siku hizi haya shiki motoooo!! km syring Board tu haishiki moto siku hizi!! sembuse ndegee??

Rubani anaweza changanya yale mafuta ya ndege na kemikali maalum akaya mwaga yooote faster! hata kujaza upepo yale matank ili ielee hasa ikiangukia baharini......

sometimes anayamwaga kupunguza uzito hata ikianguka isishike moto wala kuleta madhara lkn pia iwe nyepesi! ili isitue kwa kishindo lkn pia kuelelea baharini! km ikiangukia huko!

Hata ukiona ndege za leo hizi zimetekwa na wapalestina jiulize sana imetengenezwa wapi hiyo? africa au...... ndege za kisasa haiwesekani tena!...ikianguka mara nyingi ni uzembe wa Marubani wanafungwa!
 
Bora ukatike mguu ulazwe kuliko kuungua kama mishikaki huku unaona!!!........lkn pia hayo na marachute ya kizamani sana,,, siku hizi parachute moja linauwezo wa kubeba watu kuanzia 50!!

hawa wataongozwa na mmoja tu anaye jua!!......pia wata shauliana waebde vipi!! na mpara chute ya kisasa!..... yana visu, baruti, umeme wa dharula,

umeme huu ni ikiwa km mkiangukia porini basi wanyama wakali km anaconda wanapigwa shot tu!........halafu pia linaweza kugandishwa hewani na au likapelekwa na upepo mpaka muone sehemu salama mnashuka!

pia hilo hilo para chute lina matumizi mengine lukuki mfano mkisha fika chini tu ni hema vilevile ni boya zuri tu! .......mabisu na visu endapo matakutana na samaki wakorofi mnawachana tu!

lina vifaa muhimu ,vishoka, vikoleo vilivoungana na jembe!.......kajiko kadogo ka dharula hivi vinawaka kwa ktumia vidonge maalum!

humo humo kuna sanduku la huduma ya kwanza!........abiria ukiingia tu ndegeni utaonyeshwa jinsi ya kujiokoa /saidia mwenyewe km ukishindwaa!! tulia, nyanyua mkono juu, kimya! usipanick !

subiri hapo! hapo! wahudumu/ Air hostess! waje wakusaidie! upande huu huku ukifunguliwa ni waaazi wooote ule unateleza tu kivyako!......kikbwa kinacho sababisha moto! Betri, Mafuta! baaasi!

Kwanza lindege lenyewe lile ni li Parachute tosha kabisaaa!...endapo ma-Rubani/engineers watakaa kwa kutulia! ukimwaga mafuta na kudhibiti moto wa Betri! linashuka taatibuu km ethiopian air line lilivo shuka baharini!

wahudumu wanakuwa wa mwisho kabisaaa!! kujiokoa, Rubani akishindwa kuongoza ndge , anatoa taarifa mapema sana!! ndege za kisasa zinatumia sate light map zinaonyesha kila sehemu mliyopo..

hapa Duniani kwa watu wooote mliyomo ndegeni!...hata mkianguka nyie wenyewe mnajua wazi ni wapi mmeangukia, na sababu mtaijua!!.........kuhusu ajali za ndege mara nyingi ni makosa ya kibinadamu lkn siyo ndege yenyewe!!

ndege za kisasa hata km wingu limetanda namna gani kiasi kwamba rubani haoni.......labda km amekosea cock pit Dash board ! inaonyesha waziii!

tena kwa Awamu tatu........onyo la kwanza......onyo kali.........hatari zaidi....sasa subirini mnakufa!!!....Rubani anajua fika kabisaaa kifo hichoooo!! anakiona!

comp. zilizomo ndani ya Ndege zina kupa sababu na kukuelekeza weye rubani/engineer ufanye nini! ili uokoe maisha, hata km sehemu ya mizigo imeshika moto utauona mapemaa!!

Labda hujafunga mlango vizuri ndg itasema kupitia dash board(gari tu linasema sembuse ndege??).............. hata kama uwanjani kuna ndege km mbayu wayu wengi itakwambia tu.

tena inakupa na options!.........hata km unakaribia kutua ndege yenyewe itakwambia Mapema sana kuwa kuna hali ya Dhoruba/mawingu mazito uwanjani.......kwa hii wazoefu wanakwenda tu....

uzoefu huu ni km ule wa kijana wa Rais wa USA, wa zamani kenedy alipewa onyo aka dharau huko mbele umbali kidogo tu kutoka uwanjani aliangusha ile ndege akafa na mkewe, woote!

Pia siyo lazima woote mpitie kwenye kile kimlango mlicho ingilia Big no!! upande huu huku wa abiria watatu huku kooote ikitokea ajali kule pako wazi.......

hapa panaweza funuka pale! mkateleza tu km mko kwenye Beseni vile! hasa kma ikitokea moto!! kuna mabati ya ndege siku hizi haya shiki motoooo!! km syring Board tu haishiki moto siku hizi!! sembuse ndegee??

Rubani anaweza changanya yale mafuta ya ndege na kemikali maalum akaya mwaga yooote faster! hata kujaza upepo yale matank ili ielee hasa ikiangukia baharini......

sometimes anayamwaga kupunguza uzito hata ikianguka isishike moto wala kuleta madhara lkn pia iwe nyepesi! ili isitue kwa kishindo lkn pia kuelelea baharini! km ikiangukia huko!

Hata ukiona ndege za leo hizi zimetekwa na wapalestina jiulize sana imetengenezwa wapi hiyo? africa au...... ndege za kisasa haiwesekani tena!...ikianguka mara nyingi ni uzembe wa Marubani wanafungwa!
Ufafanuzi murua kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom