Kwanini Padre hatoi sadaka kanisani?

Kwanini unizibe mdomo, niache niongee nchi huru hii..... halafu pia nimeandika kulingana na mada husika,
Mwanzo ulisema nazusha sasa hivi Padri amekua mwanaume [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Bado hujasema, utasema yote
Tatizo lako mwanzoni ulikuwa unajibaraguza. Walau sasa umekuwa muwazi. Kwa hiyo tutaenda taratibu. Nataka nimfanyie Padre mapinduzi. Je, uko tayari?
 
Picha inajieleza vizuri mapadre wamejitoa sadaka maisha yao yote.
 
Nampenda Padre anajua kuhandle na kuhonga sadaka za kanisa....[emoji847]
Hata ukija kwangu nitaku handle vizuri sana tu. Na kuhusu kuhonga, hilo usiwe na shaka. Mimi ninaweza kuuza hata mashamba yote ya ukoo, halafu hela yote nikakukabidhi ili uanzishie biashara.
 
Padre Rayns Kuna swali huku?
mara ya mwisho mimi kukanyaga RC Church ni mwaka 2012 sikumbuki kama padri alikua anatoa sadaka au hapana... Kwasabu padri ndio huwa ananufaika na sadaka labda ndio maana... Maana hata akitoa zinarudi kwake(kwa baadhi ya madhehebu niliyoona nikiwa mkubwa)...
 
Sadaka ya Padre ni kule kujitoa kwake kwa ajili ya kazi ya Mungu.

Tukumbuke hawa wanatokana na jamii zilizokuwa na hamu ya kuona wajukuu za watoto zao(baba&mama zao),wao wenyewe kama wanaume walitamani waitwe baba lakini wito walioitiwa umewaondolea uhuru huo,mimi nina uwezo wa kufanya kazi zaidi ya moja kwa wakati mmoja wao kazi yao ni moja tu na haina kusitasita.

Akiamshwa usiku kuna dharura ya mgonjwa hana kujiuliza,akiambiwa penye uhitaji wa ibada yoyote ile hana kujiuliza ni kwenda tofauti na mimi always nina option ya kukubali au kukataa,ile siyo kazi rahisi kama inavyochukuliwa siku hizi tuna mpaka sala za kuombea miito mitakatifu kutokana na wapo baadhi ya wazazi kukataa kuruhusu watoto wao kuitikia wito wao kwa sababu wanajua ni kitu kinawakosesha baadhi ya vitu kama wanajamii.
 
🤣🙏🙏
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…