Kwanini nyimbo za Alikiba huvuja kabla ya muda?

ESPRESSO COFFEE

JF-Expert Member
Sep 6, 2014
6,170
7,661
Imekuwa kawaida sana Ali kiba Kabla ya kutoa nyimbo zake huvuja mapema,Amepanga kuitoa Nyimbo yake mpya ya Aje kesho pamoja na video yake ikiianzia Mtv lakini bahati mbaya nyimbo tayari watu tunayo mda mrefu hata kabla ya kesho haijafika

Sasa najiuliza Lupela ilienda hivi na hii nayo ipo hivi hivi sijaelewa Alikiba ana matatizo Gani,katika Kutoa nyimbo zake kwanini zinatoka mapema kabla ya yeye ku relese na bahati mbaya huwa haizuii anaitoa kama ilivyo tatizo ni nini

Kwangu mimi bila unafiki Lupela ndo the Best kuliko hii nyimboo sijaona cha maana alicho kiimba yule alie shirikishwa zaidi ya kusema naweza kuimba kiswahili nakusema hicho kiswahili jamani Mziki ni kazi ngumu
 
huyu dogo amepanic. cha msingi ambacho ningemshahuri atulie uwezo bado anao aongeze ubunifu tu
 
huku leo akitarajiwa kutoa video yake ya nyimbo ya aje hii nyimbo ambayo alikiba amemshirikisha M.I ni hatari huwezi panga na rupela
 
Ulikuwa na muda mwingi tu wa kuandaa habari yako kabla ya kuileta jamvini, haraka ya nini...

Anyway, King Kiba tunasubiri tuione hiyo ngoma, you always make us vibe
 
Nimeusikiliza huu wimbo lakini nimeuona ni wa kawaida sana..Ukilinganisha na Mwana,Lupela na Chekecha cheketua nadhani hii ameifanya chini ya kiwango..Yani humu naona amegeuka Mutu ya Kongo...Anataja majina ya watu tu..

King Kiba ni msanii mwenye uwezo mkubwa naamini anaweza kufanya zaidi ya alichokifanya..Ukirudi kwa MI naye sijui hata amefanya nini humu...Ukiniambia nikutajie best rapper 3 kwa Afrika sitaacha kumtaja MI..Jamaa anajua

Niliposikia Kiba ana ngoma na MI nilitegemea kitu kikubwa zaidi..Lakini alichokifanya humu huyu jamaa hata underground yeyote wa Tz anaweza kukifanya...Sasa sijui alilazimishwa kushiriki kwenye hii ngoma ama vipi..Nwei ngoja nisubiri video..Uenda itanibariki
 
Ngoja niitafute nimsikilize king kibakuli.....
I real miss some thing from king kibakuli....

Mwenyewe sikuhizi anakamsemo

Supportedbykiba......
 
Ngoja niitafute nimsikilize king kibakuli.....
I real miss some thing from king kibakuli....

Mwenyewe sikuhizi anakamsemo

Supportedbykiba......

Msikilize hapo
 

Attachments

  • Ali_Kiba_ft_M_I_--_Aje.mp3
    4.2 MB · Views: 112
Wimbo wa kawaida mno. Hauna mzuka hata kidogo. Na ndo kwanza Namjua upo on fire,sidhani Kama unaweza kuheat.
 
Back
Top Bottom