Ryzen
JF-Expert Member
- Dec 6, 2012
- 7,305
- 8,655
- Thread starter
- #21
Nimependa Uchambuzi wako Chief Mkwawa, wewe ni Expert!mkuu toka 2010 Nokia waliajiri CEO wa kwanza wa kigeni akazipiga chini hizo simu, na software husika ikauzwa kampuni fulani ireland sasa hivi imefungiwa haitumiki, watu walilalamika sana wakataka ifanywe open source na kampuni nyingi zilikuwa interested ila hakuna aliefanikiwa, kifupi ilikuwa ni scandal kubwa sana na mpaka leo huyo CEO hapendwi sana na wapenzi wa Nokia.
sasa hivi zipo simu kama hizo za Nokia ila hazitengenezwi na Nokia wenyewe bali kampuni Inaitwa HMD, japo muonekano ni kama wa Nokia ila ufanyaji kazi ni tofauti, unatumia os ya kaios ambayo ipo slow, haina mambo mengi na mvuto kama symbian.
nokia wenyewe sasa hivi wapo zaidi kwenye Networking mambo ya 5g, magari yanayojiendesha yenyewe, kulicence technology etc
japan wana feature phone za Aina hio ambazo zina muonekano mzuri na pengine software nzuri pia, ila upatikanaji wake ni mgumu sana
Infobar xv
unaweza ziangalia zaidi hapa
Kyoex - Shop Buy our selection of Japanese Keitai Slide Phones
Kyoex - Shop Buy our selection of Japanese Keitai Flip Phones