jerry joshy
JF-Expert Member
- Jul 8, 2015
- 402
- 504
Habari zenu wakina mama au wakina dada
Please naomba mnieleweshe hiki kitu, kuna umuhimu gani wa mwanamke mjamzito kuwa na mumewe karibu??
Nimeuliza hivyo kwa sababu nina ndugu yangu mjamzito wanakaa mikoa tofauti na mumewe akawa anasema yaani mimi ni jembe kama nimeweza kukaaa na hili tumbo bila muwe wangu nikamuliza why akasema muulize mtu yoyote ambaye ashawahi kuwa na mimba wakati ukiwa na mimba jinsi inavyokuwa unapokuwa unakaa na mume wako mikoa tofauti.
So please naombeni mnieleweshe kuna kitu gani kinakosekana?
Please naomba mnieleweshe hiki kitu, kuna umuhimu gani wa mwanamke mjamzito kuwa na mumewe karibu??
Nimeuliza hivyo kwa sababu nina ndugu yangu mjamzito wanakaa mikoa tofauti na mumewe akawa anasema yaani mimi ni jembe kama nimeweza kukaaa na hili tumbo bila muwe wangu nikamuliza why akasema muulize mtu yoyote ambaye ashawahi kuwa na mimba wakati ukiwa na mimba jinsi inavyokuwa unapokuwa unakaa na mume wako mikoa tofauti.
So please naombeni mnieleweshe kuna kitu gani kinakosekana?