Kwanini ni muhimu kumpiga mkeo?

1.Huwezi kumuacha mkeo kisa anashinda kupiga umbea kwa majirani na umemuomba aache,umebembeleza,umemkataza lakini bado hataki kusikia PIGA kibao kimoja cha nguvu ajue hupendi ila ukitoka hapo hakikisha anafurahi ni muhimu..
2.Huwezi kumuacha mkeo kisa kila unalomwambia au kumuelekeza yeye anafanya ndivyo sivyo na anakuboa...umeshasema mara nyingi lkn ni kama ana dharau tu...PIGA kibao kimoja tu kumuonyesha hupendi..
3.Mapenzi yanatabia ya kupoa hasa pale mnapozoeana na kila mtu kajua madhaifu ya mwenzake na amejua kuendana nayo...kwahiyo No tension to release sexual feelings....NUNA bila sababu au PIGA KOFI MMOJA kumpa hiyo tension itakusaidia kurudisha hisia hasa pale mnapokuwa mnapatana nakuanza kubembelezana.(najisikiaga hisia sn pale napomuuzi kipenzi changu halafu akaanza kulalamika sometimes jamaa uwaga anasimama kbs)...


Lakini vile vile kuna options nyingine nne kama hupendi kumpiga mkeo;
1.Umsaliti ili akifanya ujinga wake wewe upo busy na michepuko hivyo unamvumilia tu na kero zake nadhani hii ndo wanaume wengi wanaipenda..
2.Kumdharau tu nakujuta kua nae hivyo ht hisia nae unakuwa huna tena yaan kumdharau tu unaenda kushinda baa hadi saa 6 usiku ukikuta anafanya anavyojua yeye wewe unampuuzia tu.
3.Kumuacha nadhani wapuuzi wachache wanapenda hii eti unaita kikao cha familia kusema kwamba umeachana na mkeo kisa ukimpa budget ya 400000 kwa mwezi,pesa inaisha kabla ya trh kumi au mke wangu anashida kwenye vijiwe vya umbea nikimfungulia biashara anafilisi..na mimi mumewe nimesema mpk nimekoma nimeamua kumuacha...
4.Hii tunatumiaga wajanja wachache wenye huwez wa kumuuzi mtu ndani ya dakika moja nakumfurahi ndani ya dakika hiyo hiyo..hapo ni kumpandikiza guilt ya ajabu sana kiasi kwamba akitaka kufanya ujinga wake anakuwa hayupo confortable kbs..
Piga mkeo ila ujue kumuweka sawa atakuPenda zaidi HUWEZI MUACHA MKEO KISA SABABU YA KIJINGA AMBAYO SIO USALITI..


Timu Vibamia mnakuwaga washari sana, siku zote chuki tu dhidi ya Wanawake tu, utafikiri wao ndiyo waliowapa vibamia!

Nawapenda Wanawake wote na Mungu mbariki Mwanamke!
 
Hiyo namba 4 sijaielewa mkuu
Hii unamoa maneno katika hali ambyo anajisikia ht kulia yaani unamkalisha chini unaongea kwa hisia kali sana jinsi ambvyo unajisikia yeye akirudia kosa ambalo ulishamwambia sababu wanawake wana hisia sana basi zile hisia zako atazivaa yeye hapo ndo yaan anakuwa hawezi kabisa kufanya lile kosa tena sababu anahofia kukuumiza
 
Tunapozungumizia domestic violence kuna wanaume pia wanapigwa na wake zao, wanaume hawa wanateseka ndani kwa ndani kwani ni aibu kusema unapigwa na mwanamke.
Tulikuwa na jirani zetu wao kupigana ilikuwa mara tatu au nne kwa wiki.Wakianza kupigana mwanamke analia kwa sauti kubwa kuomba msaada.
Watu wakifika eneo la tukio wanakuta mwanamke analia kwa kwikwi na mwanaume anajitamba....'ningekuuwa mimi'......Lakini ukiwaangalia hutaona jeraha kwa mke ila manundu na damu za kutosha kwa mume.

Watoto ndio walikuja kutoboa siri kuwa Mama yao ndiye anayemshushia mdingi kipigo.Siku hizi wameshaacha kupigana maana mwanaume alihama pale home akabaki mke na watoto.
 
Tulikuwa na jirani zetu wao kupigana ilikuwa mara tatu au nne kwa wiki.Wakianza kupigana mwanamke analia kwa sauti kubwa kuomba msaada.
Watu wakifika eneo la tukio wanakuta mwanamke analia kwa kwikwi na mwanaume anajitamba....'ningekuuwa mimi'......Lakini ukiwaangalia hutaona jeraha kwa mke ila manundu na damu za kutosha kwa mume.

Watoto ndio walikuja kutoboa siri kuwa Mama yao ndiye anayemshushia mdingi kipigo.Siku hizi wameshaacha kupigana maana mwanaume alihama pale home akabaki mke na watoto.
Kuna mmoja mwanamke alikua bondia kabisa, na kaka akaoa, basi ndani alikua anachezea kichapo kama kawaida. Akitoka kazini akae bar na wenzake, mke akija anamuita kwa kidole tu, anaacha bia na kuondoka. Lakini watoto walivyokua wakubwa walianza kumdharau mama yao, walimchukia kwasababu hamheshimu baba yao.
 
Kuna mmoja mwanamke alikua bondia kabisa, na kaka akaoa, basi ndani alikua anachezea kichapo kama kawaida. Akitoka kazini akae bar na wenzake, mke akija anamuita kwa kidole tu, anaacha bia na kuondoka. Lakini watoto walivyokua wakubwa walianza kumdharau mama yao, walimchukia kwasababu hamheshimu baba yao.
Ndio hivyo, famila zenye migogoro ya wazazi zinakuwa na athari kubwa sana kwa watoto wao.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom