BLACK MOVEMENT
JF-Expert Member
- Mar 11, 2020
- 2,712
- 6,515
Migao tusha kuwa nayo sana awamu zilizo pita,Ila migao yote ilisababishwa na upungufu wa maji kwenye mabwawa na migao ilikuwa inaisha mara tu mvua zilivyo kuwa zinaanza kunyesha.
Kwa wakati huu ni tofati kabisa, kuna Migao tena mikari kuwahi kutokea ilihali mvua zinaleta maafa kabisa,nini kipo nyuma ya hii migao ya wakati wa mvua nyingi? nani ananufaika nayo? Nani anawasaidia watu wanao pata hasara na hiu migawo?
Samia anaweza waambia Watanzania watafidiwa vipi hizi hasara wanazo zipta sasa hivi?
Mbona raia wanao pita pembeni ya mabwawa wanadai yamejaa maji? au awamu hii kuna namna tofauti ya ujaaji wa maji?
Kadri mvua zinavyo endelea kunyesha ndio kadri makari ya mgao yanavyo ongezeka, hii ni hatari sana.
Raia wanasafa saba na hasara, watu wanashindwa hata kutafuta riziki kwa ajili ya familia zao, Watawala hii haiwahusu make wana kila kitu, wana Backup Generetor tena kwa Kodi za Umma.
Raisi kashidwa kuongoza, kilicho bakia ni kutafuta popularity kwenye Mpira huko.
Kwa wakati huu ni tofati kabisa, kuna Migao tena mikari kuwahi kutokea ilihali mvua zinaleta maafa kabisa,nini kipo nyuma ya hii migao ya wakati wa mvua nyingi? nani ananufaika nayo? Nani anawasaidia watu wanao pata hasara na hiu migawo?
Samia anaweza waambia Watanzania watafidiwa vipi hizi hasara wanazo zipta sasa hivi?
Mbona raia wanao pita pembeni ya mabwawa wanadai yamejaa maji? au awamu hii kuna namna tofauti ya ujaaji wa maji?
Kadri mvua zinavyo endelea kunyesha ndio kadri makari ya mgao yanavyo ongezeka, hii ni hatari sana.
Raia wanasafa saba na hasara, watu wanashindwa hata kutafuta riziki kwa ajili ya familia zao, Watawala hii haiwahusu make wana kila kitu, wana Backup Generetor tena kwa Kodi za Umma.
Raisi kashidwa kuongoza, kilicho bakia ni kutafuta popularity kwenye Mpira huko.