Kwanini ngono ni dhambi?


hujajibu swali kabisaa
 

Naona unajitoa ufahamu kabisa!
Na vipi mnavyosemaga kuwa mwanadamu ana uhuru wa kuchagua? Maana hapa unakubali mwenyewe kuwa hatuna uhuru.

Iweje sasa useme binadamu hana uhuru fulani?
 

ngono au zinaa?
 
Naona unajitoa ufahamu kabisa!
Na vipi mnavyosemaga kuwa mwanadamu ana uhuru wa kuchagua? Maana hapa unakubali mwenyewe kuwa hatuna uhuru.

Iweje sasa useme binadamu hana uhuru fulani?

kuchagua katika alivo huru navyo,kifo,usingizi,njaa..ni gereza ambalo binadam hawez kuwa huru nalo,ni utaratibu ambao hana budi kuufata,na si kwamba anaupenda..la hasha,hana namna
 
kuchagua katika alivo huru navyo,kifo,usingizi,njaa..ni gereza ambalo binadam hawez kuwa huru nalo,ni utaratibu ambao hana budi kuufata,na si kwamba anaupenda..la hasha,hana namna

Wewe hujui hata maana ya uhuru. Na kama unajua maana yake usingeandika haya.

Makosa kama haya ndio tunayapigia kelele kila siku kwenye hivyo vitabu vyenu
 
naongea na mtoto wa umri gan?!

Hili swali lako liko nje ya mada


Unaweza kutoa ushahidi wa haya machapisho yako ama umeamua tu kuropoka kwavile una kifurushi?
Binadamu wana uhuru sana na kama wewe huna uhuru kutokana na hofu yako ya hekaya za kale basi usiseme kuwa binadamu akiwa huru anakuwa hayawani.

mi sio google kujibu hata maswali ya kipuuzi

Kumbe unategemea google kukujibia maswali! Sasa nimeelewa kwanini huna point mana hata hujui uitumie vipi google ili ikusaidie kupata majibu ya maswali yako.
 

mimi na wewe nani mropokaj?..afu jazba za nini,jadili kiungwana tu,kama huna hoja za maana za kulinda upagan wako kaa kushoto..unataka ushahidi upi?
 
kuchagua katika alivo huru navyo,kifo,usalivoingizi,njaa..ni gereza ambalo binadam hawez kuwa huru nalo,ni utaratibu ambao hana budi kuufata,na si kwamba anaupenda..la hasha,hana namna

Alivo huru = alivyo huru
Usalivoingizi = hii itakuwa ni lugha ya kwenu.
Mkuu jifunze kwanza kuandika ili tuelewane mana tukianza kufundishana hapa tutaharibu uzi
 
Hii dhambi ina changamoto kubwa sana. Maana hata ukitamani tu tayari umeshafanya, na dhambi zote ni sawa, yaani ya kutamani na kufanya kabisa.

Kipi bora?

sasa Kutamani Burebure Tu, si Bora Ufunue Kabisa?...Yaan Kama Kutaman Kuiba Unafungwa Jela Na Kuiba Ni Adhabu Hiyohiyo! Bora Niibe Lakin Si Kuishia Kutaman Kuiba!
 
mimi na wewe nani mropokaj?..afu jazba za nini,jadili kiungwana tu,kama huna hoja za maana za kulinda upagan wako kaa kushoto..unataka ushahidi upi?

Afu = Halafu
Ha ha ha ha kumbe nina jazba? Asante kwa kunijulisha
Mbona niliweka wazi tu kuwa nataka ushahidi wa maneno yako uliyoandika mana ni wazi yametoka kwenye mawazo yako tu na hapa hatujadili mawazo ya mtu

Wewe ndo ambae huna hoja ndomana toka mwanzo unaruka ruka tu kama maharage yaliyo jikoni
 
sasa Kutamani Burebure Tu, si Bora Ufunue Kabisa?...Yaan Kama Kutaman Kuiba Unafungwa Jela Na Kuiba Ni Adhabu Hiyohiyo! Bora Niibe Lakin Si Kuishia Kutaman Kuiba!

hiyo inamaanisha 'usikurubie zinaa'..kutaman ndo mwanzo wa safari,ukjizuwia kutaman basi michakato mingne waala haitofata
 

nimekuuliza unataka ushahid wa maneno yangu yapi?nmeandka mengi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…