Kwanini ngono ni dhambi?


Kama unataka kujua kama ni dhambi hau si dhambi pata taarifa kuwa mkeo/mumeo au mpenzi wako anafanya hiyo kitu na mtu mwingine huo utafiti tu unatosha.
 
Kama kweli ingekuwa dhambi basi watoto wa nje wasingalizaliwa na tena kwa nini hufanikiwa sana kulinganisha na wa ndani ya ndoa?
 


. Hapa ndo uwa napata hofu na usemi wa Mungu anajua ya jana ya kesho na yajayo....kakataza ngono na kulana tigo....ila sijui ilikuwaje alisahau kuwa wanadamu watundu....sasa hivi wanakulana mpaka wananyonyana vikojoleo na kula samadi.....vipi inakuwaje?
 
Mkuu kweli mm naungana na we kuwa ni dhambi tuombe mwenyezi mungu aturehemu katika hili na tutubu dhambi zetu kila Mara ili tuweze kusamahewa tena kwa kipindi hiki kigumu sana
 

Hizo sharia za viboko ziliwekwa na Mungu? na wayahudi?
 
Na mwenye wake watatu wanne je? Hiyo dhana ya mwili Mmoja hapa inafanyaje kaz? Au hii Inakuwa "network "

Sijui kwa upande wao maana hata majibu yangu nimeyatoa kutokana na bible
 
Kama kweli ingekuwa dhambi basi watoto wa nje wasingalizaliwa na tena kwa nini hufanikiwa sana kulinganisha na wa ndani ya ndoa?

Mwenyezi Mungu humpandisha cheo amtake na kumshusha amtake,
Swala la mtu kufanikiwa ni la mwenyez Mungu, haijalish km mtoto wa haramu au wa halali.
 
Mungu kishasema tusifanye zinaa, kwan zinaa ni uchafu.
Ukishakua mfanya zinaa hata imani yako inakua hafifu, maana vitabu vyote vya dini vinakataza hiyo kitu. Na madhara ni mengi tu wakuu waliotangulia wameeleza.
 
Mpaka hapa hakuna alieweza kujibu Hata mimi huwa najiuliza lkn bado sijapat majibu halisi...Ingawa kwa haraka naweza kusema ngono unahusianisha na mambo ya maagano....ya Damu nami naendelea kuuliza kwa wataalam manake hii ni issue ya Spiritual.... zaidi....
 
Basi tukubaliane, Mungu pekee ndie anaejua kwann kakataza

Mungu amesema usizini maana yake ni kufanya ngono pasipo maagano au kujamiana pasipo maagano na yeye,endapo utafata taratibu za utukufu wake ya kwamba mpaka umpate mmoja tu ,ufunge naye ndoa na ukae naye mpaka kufa hapo unaruhusiwa na hapo ndo watu wawili kushare miili yao kuwa kitu kimoja kuleta kizazi kijacho ni tendo sensitive sana ndo maana malaika hawafanyi
 

Vipi kuhusu wenye wake wanne?(hapo kwenye mwil mmoja)
 

hebu fikiria pasingekua na katazo la zinaa,maana yake mwanamke mmoja ingekua ruksa leo unapiga wewe,kesho mwenzio,keshokutwa anapiga mwingine,akipata ujauzito huyo mtoto atakua wa nani? Nani atakubali kubeba majukumu ya kibaba kwa mtoto asie nd uhakika nae? Mtoto huyo maisha yake yatakuwaje bila baba mwenye majukumu? Bila ndoa hakuna nasaba,hakuna utambulisho,ni kama mbuzi na ng'ombe tu,binadam hapaswi kuishi kama mnyama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…