simu za mkononi, upungufu wa nguvu za kiume, wanawake wengi wanaolewa wakiwa hawana sifa za kuwa wake.
Katika kipindi cha miaka mitano wilaya ya Songea pekee ndoa 500 zimevunjika kwanini idadi ya ndoa zinavunjika ni kubwa na inatisha hatujui sehemu nyingine hali ikoje
Io wanaume kukosa sifa za kuwa waume?simu za mkononi, upungufu wa nguvu za kiume, wanawake wengi wanaolewa wakiwa hawana sifa za kuwa wake.