Kwanini nchi husimama Raisi Magufuli ategemewapo?

Barbarosa

JF-Expert Member
Apr 16, 2015
22,584
27,784
Hivi ni kwa nini kama ikijulikana tu Raisi Magufuli atakwenda mahali na kuongea kitu basi nchi nzima huwa karibia wiki nzima hujawa na shauku kubwa ya kutaka kusikia Raisi atasema nini..

Hii sijawahi ishuhudia tena katika maisha yangu hapa Tanzania, hata wale wasiompenda raisi Magufuli lakini siku wakisikia kaalikwa mahali na atahutubia basi wote hujawa na shauku katika kusikia atasema nini, Hivi ni kwa nini?
 
Imerejea wapi Magufuli kavaa viatu vikubwa kumshinda.
Naona anatumia mbinu za Lowassa kujijenga kisiasa. Kweli nimeamini maneno ya Lowassa kuwa Mzee Pombe hana vission amebaki kucopy na kupaste.
Tumesha mstukia na tume huru ya uchaguzi ikipatika 2020 tunampiga chini.


Tuseme lbada uko sawa, lakini kwa nini nchi husimama pindi ategemewapo kuhutubia mahali? Nimeshashudia watu wakiwahi nyumbani na wengine bar kila wakisikia Raisi Magufuli anategemewa kuongea hata kama amealikwa tu kwenye Mkutano wa Bodi fulani, sasa ni kwa nini?
 
*ategemewapo?

Hivi ni kwa nini kama ikijulikana tu Raisi Magufuli atakwenda mahali na kuongea kitu basi nchi nzima huwa karibia wiki nzima hujawa na shauku kubwa ya kutaka kusikia Raisi atasema nini, hii sijawahi ishuhudia tena ktk maisha yangu hapa TZ, hata wale wasiompenda raisi Magufuli lkn siku wakisikia kaalikwa mahali na atahutubia basi wote hujawa na shauku ktk kusikia atasema nini, hivi ni kwa nini?
Mkuu, shauku zingine huwa ni za hofu kwani nchi ilijaa majizi na mafisadi hii hivyo wasikiapo kwamba Rais anataraji kuhutubia mahali wanaweka maskio wima wakihisi atatoa tamko flani juu yao.
 
*ategemewapo?

Hivi ni kwa nini kama ikijulikana tu Raisi Magufuli atakwenda mahali na kuongea kitu basi nchi nzima huwa karibia wiki nzima hujawa na shauku kubwa ya kutaka kusikia Raisi atasema nini, hii sijawahi ishuhudia tena ktk maisha yangu hapa TZ, hata wale wasiompenda raisi Magufuli lkn siku wakisikia kaalikwa mahali na atahutubia basi wote hujawa na shauku ktk kusikia atasema nini, hivi ni kwa nini?
Ilikuwa hivyo katika siku 100 za mwanzo!!

Other wise hii thread haifikirishi ihamishie facebook!!!
 
ndio rais, halafu bado hajaeleweka bado, so lazima attention iwepo
halafu pia hutoa sana maboko kwenye hotuba zake kwa kuwa hasomi
hotuba za kusoma zinakuwa formal sana na zinaboa
 
Tuseme lbada uko sawa, lakini kwa nini nchi husimama pindi ategemewapo kuhutubia mahali? Nimeshashudia watu wakiwahi nyumbani na wengine bar kila wakisikia Raisi Magufuli anategemewa kuongea hata kama amealikwa tu kwenye Mkutano wa Bodi fulani, sasa ni kwa nini?
Hatabiriki kutokana na maamuzi yake kwa hiyo kila anapoongea watu wanataka kujua leo kaja na jipya lipi maana wewe unaweza kusema leo niludi nyumbani saa tatu usiku kumbe yeye ameshaamua kutembea mwisho saa mbili usiku
 
Watu kuwa na shauku ya kukusikiliza, kuna uwezekano wa watu wanajua kuwa kila wakati utakuja na jipya. Na jipya lenyewe linaweza kuwa na mantiki au la kipuuzi. Kama lina mantiki, watataka kujua jema lipi linakuja. Kama ni la hovyo, watu watataka kujua utaropoka nini!

Wakati Amin akiwa Rais wa Uganda, ikitolewa taarifa kuwa atahutubia, wahindi walikuwa wanafunga mpaka maduka ili wasikie safari hii atasema nini. Rais wa Maisha Dr. Ngwazi Kamuzu Banda wa Muyayaya, ndege yake ilipokuwa kwenye anga la Malawi, hakuna ndege iliyokuwa ikiruhusiwa kiruka au kutua mpaka ndege ya Rais maisha itue. Wananchi wengi walikuwa hawaendi hata kazini ili wasikie atakapotua ataongea nini.

Watu huwa wana shauku kubwa ya kumsikia kiongozi wao mkuu pale ambapo hawajui kesho au keshokutwa kutatokea nini. Ni dalili ya kutukuwepo mfumo wa kiuongozi unaoweza kuwapa watu uhakika wa maisha yao.
 
Thread nzuri kwa vile katajwa mwamba WA kuwapiga mafisadi Na bado fisadi kuu MDA c mrefu atatumbuliwa
 
Tuseme lbada uko sawa, lakini kwa nini nchi husimama pindi ategemewapo kuhutubia mahali? Nimeshashudia watu wakiwahi nyumbani na wengine bar kila wakisikia Raisi Magufuli anategemewa kuongea hata kama amealikwa tu kwenye Mkutano wa Bodi fulani, sasa ni kwa nini?


Kwa sababu hakawii Kuchapia.
Na hakuna kitu kama hicho Labda familia yenu ndio wanawahi nyumbani Kumsikiliza.
Mara nyingi watu wanakuja kusikiliza mrejesho kwenye taarifa ya habari na magazeti jinsi anavyo copy na kupaste.
 
Kwa sababu hakawii Kuchapia.
Na hakuna kitu kama hicho Labda familia yenu ndio wanawahi nyumbani Kumsikiliza.
Mara nyingi watu wanakuja kusikiliza mrejesho kwenye taarifa ya habari na magazeti jinsi anavyo copy na kupaste.


Mimi kitaani kwetu huwa hapatoshi, bar zote na mtoto huwa hatumwi dukani siku wakisia Raisi Magufuli anatemewa kuongea!
 
*ategemewapo?

Hivi ni kwa nini kama ikijulikana tu Raisi Magufuli atakwenda mahali na kuongea kitu basi nchi nzima huwa karibia wiki nzima hujawa na shauku kubwa ya kutaka kusikia Raisi atasema nini, hii sijawahi ishuhudia tena ktk maisha yangu hapa TZ, hata wale wasiompenda raisi Magufuli lkn siku wakisikia kaalikwa mahali na atahutubia basi wote hujawa na shauku ktk kusikia atasema nini, hivi ni kwa nini?
Uwezo wako wa kufikiri ni mdogo sana. Hata kama unatafuta kuonekana ili nawe upate cheo tafuta kwa njia nyingine. Inaonekana ajira yako ni kuposti mambo ya kumwinua huyo rais kwa jamii. You cannot force things. Tafuta kazi ya kufanya.
 
Watu kuwa na shauku ya kukusikiliza, kuna uwezekano wa watu wanajua kuwa kila wakati utakuja na jipya. Na jipya lenyewe linaweza kuwa na mantiki au la kipuuzi. Kama lina mantiki, watataka kujua jema lipi linakuja. Kama ni la hovyo, watu watataka kujua utaropoka nini!

Wakati Amin akiwa Rais wa Uganda, ikitolewa taarifa kuwa atahutubia, wahindi walikuwa wanafunga mpaka maduka ili wasikie safari hii atasema nini. Rais wa Maisha Dr. Ngwazi Kamuzu Banda wa Muyayaya, ndege yake ilipokuwa kwenye anga la Malawi, hakuna ndege iliyokuwa ikiruhusiwa kiruka au kutua mpaka ndege ya Rais maisha itue. Wananchi wengi walikuwa hawaendi hata kazini ili wasikie atakapotua ataongea nini.

Watu huwa wana shauku kubwa ya kumsikia kiongozi wao mkuu pale ambapo hawajui kesho au keshokutwa kutatokea nini. Ni dalili ya kutukuwepo mfumo wa kiuongozi unaoweza kuwapa watu uhakika wa maisha yao.


Hahah vipi hawa, wamesikia Raisi Magufuli atapita wakaja kujipanga kuangalia msafara wake, nao wana wasi wasi gani?

 
Uwezo wako wa kufikiri ni mdogo sana. Hata kama unatafuta kuonekana ili nawe upate cheo tafuta kwa njia nyingine. Inaonekana ajira yako ni kuposti mambo ya kumwinua huyo rais kwa jamii. You cannot force things. Tafuta kazi ya kufanya.


 
Tuseme lbada uko sawa, lakini kwa nini nchi husimama pindi ategemewapo kuhutubia mahali? Nimeshashudia watu wakiwahi nyumbani na wengine bar kila wakisikia Raisi Magufuli anategemewa kuongea hata kama amealikwa tu kwenye Mkutano wa Bodi fulani, sasa ni kwa nini?
Mara nyingi nimewasikia watu wakisema huondoka kwenye chaneli anayohutubia.
 
Back
Top Bottom