Hili ni swali ambalo limekuwa likinitatiza sana! Zigo hili walilitengeneza wayahudi zaidi ya 2000 iliyopita, mara baada ya kulitengeneza wakalipeleka Italy wao wakaendelea na mfumo wao maisha wa kawaida. Waitalia wamehangaika mao sana wakisaidiana na wazungu wengine Ulaya na Marekani, walivyoona sio wakaja kuwabwagia waafrika ambao bado wanahangaika nao hadi leo! Wazungu na wanaisrsel wenyewe hawataki kuusikia mzigo huo! Swali kwanini waachiwe kuhangaika nao waafrika ambao kwa kudanganywa?