Kwanini mwandishi anamuhoji kocha wa kigeni kwa lugha ya kigeni bila kutafsiri na kufafanua wakati lugha ya taifa ni Kiswahili?

Wengi wao washamba tu mkuu..

Nimewahi kufatilia soka la ufaransa,
Mchezaji mgeni asiyejuwa kifaransa,, anahojiwa kwa kifaransa,,halafu mkalimani anatafsiri.

Mfano under herera mchezaji wa PSG akihojiwa anahojiwa kwa kifaransa,,na mkalimani anatafsiri kwa kispaniola.

Hapa kwetu ushamba na ujuwaji unatusumbuwa...

Kuongea kingereza ndy utaonekana mwandishi mzuri,,mbobezi.
Mkuu wewe ndio mshamba, Sisi Tanzania tuna lugha mbili za taifa Kiswahili na Kiingereza sasa kama mtu kaamua kutumia lugha moja wapo wewe unachukia ujue una shida...
 
Mkuu wewe ndio mshamba, Sisi Tanzania tuna lugha mbili za taifa Kiswahili na Kiingereza sasa kama mtu kaamua kutumia lugha moja wapo wewe unachukia ujue una shida...
Hivi mkuu,, unaweza ukatamba mbele za watu kwamba kingereza ni lugha ya taifa?
Wakati shule tunafundishwa kwa kiswahili?

Wewe hamnazo kabisa.
 
Duh...mbona mgumu kuelewa wewe? Rwanda wana lugha za taifa tatu , kinyarwanda, french na english, maana yake ni kwamba hizo ndio lugha zilizorasimishwa na haimaanishi kuwa wanyarwandwa wote wanazijua lugha zote kwa ufasaha.
Hapa hoja ni lugha kurasimishwa kuwa lugha ya taifa.Kama ina waongeaji wachache hilo ni suala lingine ndugu.

Kingereza kimerasimishwa kuwa lugha ya taifa ndio maana kinatumika mashuleni, vyuoni, mikataba, interview, n.k

Hoja ya kusema kwa kwa vile waongeaji wengi hawaongei kiufasaha basi hiyo sio lugha ya taifa hiyo ni hoja mfu. Nasisitiza tena hoja ni kurasimishwa, hivi lugha amabayo haijarasimishwa inaweza kutumika mashuleni, vyuoni?
Shule gani za serikali zinatumia kingereza?
-- kuanzia std 3 hadi std 7 English no somo kama masomo mengine.

Na sio lugha ya kufundishia mashuleni..utasemaje lugha ya taifa?
 
Duh...mbona mgumu kuelewa wewe? Rwanda wana lugha za taifa tatu , kinyarwanda, french na english, maana yake ni kwamba hizo ndio lugha zilizorasimishwa na haimaanishi kuwa wanyarwandwa wote wanazijua lugha zote kwa ufasaha.
Hapa hoja ni lugha kurasimishwa kuwa lugha ya taifa.Kama ina waongeaji wachache hilo ni suala lingine ndugu.

Kingereza kimerasimishwa kuwa lugha ya taifa ndio maana kinatumika mashuleni, vyuoni, mikataba, interview, n.k

Hoja ya kusema kwa kwa vile waongeaji wengi hawaongei kiufasaha basi hiyo sio lugha ya taifa hiyo ni hoja mfu. Nasisitiza tena hoja ni kurasimishwa, hivi lugha amabayo haijarasimishwa inaweza kutumika mashuleni, vyuoni?
Shule gani za serikali zinatumia kingereza?
-- kuanzia std 3 hadi std 7? English ni somo kama masomo mengine.

Na sio lugha ya kufundishia mashuleni..utasemaje lugha ya taifa?

Unasema kingereza lugha ya taifa wakati 99% hawajuwi kuongea.
 
Hivi mkuu,, unaweza ukatamba mbele za watu kwamba kingereza ni lugha ya taifa?
Wakati shule tunafundishwa kwa kiswahili?

Wewe hamnazo kabisa.
Ha ha shule gani hiyo mnafundishwa kiswahili we jamaa au unaongelea darasa la kwanza mpaka la saba... na vipi kuanzia form one mpaka chuo mnasoma kiswahili pia. nendeni kwa Ras Simba kama mliishia la saba.
 
Shule gani za serikali zinatumia kingereza?
-- kuanzia std 3 hadi std 7? English ni somo kama masomo mengine.

Na sio lugha ya kufundishia mashuleni..utasemaje lugha ya taifa?

Unasema kingereza lugha ya taifa wakati 99% hawajuwi kuongea.
Olympio shule ya serikali na wanafundishwa kiingereza, hiyo 99% kama hawajui kiingereza ni uzembe wao tu kwa sababu sekondary zote zinafundisha kwa lugha ya kiingereza.
 
Olympio shule ya serikali na wanafundishwa kiingereza, hiyo 99% kama hawajui kiingereza ni uzembe wao tu kwa sababu sekondary zote zinafundisha kwa lugha ya kiingereza.
Mkuu tunasafari ndefu sana.
Ikiwa serikali ina shule 2 tu za primary zenye mitaala ya kingereza ktk shule 2000 za serikali inchi nzima utasemaje shule za serikali zinafundisha kingereza?
Na hizo shule 2 za mitaala hyo bila hongo huzipati..

Hata huko secondary za serikali 90% ya wanafunzi wanaotoka humo,,hata wakifika chuo bado kingereza fasaha hawajuwi..

Tanzania tunatumia kingereza ktk documentation na mambo ya kiofisi sababu we were English colony..

Lakini English sio national language..

Siku serikali ikitaka English iwe lugha ya taifa ,,ni kufanya hata msukuma mkokoteni aongee English ..
Wabadilishe systems nzima ya ufundishaji,,iwe kwa English,, kiswahili kibaki kama somo tu.lakini mengine yote iwe ni English,, tena kutoka nursery school kuendelea..

Mfano Kenya,,hata teja linajuwa kuongea English..

Hapa kwetu hata ukifika chuo still English ni tatizo,,

Utasemaje ni lugha ya taifa?
Tatizo mmeua elimu ili mkuze shule zenu za private,, kisa kufundisha kingereza,,

Mnalazimisha kiswahili kiwe lugha ya kufundishia,,huku watoto wenu mkiwapeleka shule za academic.
Bado mnalazimisha English lugha ya taifa..
Watoto wenu wajuwe English,, wetu waongee kimatumbi..
Mbona hambadilishi mitaala ya kingereza,,ili ifundishwe shule zote za kayumba?
Kama academic?
 
Kiingereza sio lugha ya taifa.lugha ya taifa ni kiswahili.kiingereza ni lugha rasmi.lugha rasmi ni lugha inayotambulika na kutumika kwa shughuli mbalimbali za kiserikali. Nawasilisha
 
Habari wanajamvi,

Naomba kuelezea kero yangu juu ya waandishi wa habari za michezo wa Bongo. Yaani mwandishi anamuhoji kocha wa kigeni kwa lugha ya kigeni tatizo ni kwamba hatafsiri na wala hafafanui walichozungumza wakati anajua wazi lugha ya taifa ya Bongo ni kiswahili.

Je, washibiki waliowengi wanafaidika kweli kujua makocha wao wanatoa maoni gani? Mi nadhani wajifunze kwa BBC Swahili bwana.
Labuda ni mtangazaji wa wazungu! Nisemeje Sasa!?
 
Back
Top Bottom