Ethical Ninja CEH
JF-Expert Member
- May 16, 2011
- 3,695
- 5,052
Huyo mwanamke unayemzungumzia hahitaji pesa.
Ngoja nikupe siri. Mwanamke anachohitaji kwenye maisha ni Uhakika na Usalama wake. Mwanamke anahitaji mwanaume anayejielewa kuliko mwenye pesa. Kwani pesa unaweza hata ukaiba au ukadhulumu lakini mwanaume akijielewa atakuwa mchapakazi na kutekeleza majukumu yake ikiwa ni pamoja na kumhudumia mwanamke.
Mtu anaweza akawa na pesa na bado asimpe mwanamke. Na chakushangaza ni kuwa wanaume masikini na wa tabaka la kati ndio wanahonga zaidi ya wenye pesa.
Ndio maana, hauitaji pumzi peke yake kuishi, ndivyo walivyo wanawake... una amani lakini unakufa njaa 🙄