Kwanini mwanamke ukimuambia ukweli ananuna?

Kwanini mwanamke ukimuambia ukweli ananuna?

uroto

JF-Expert Member
Joined
Jun 25, 2015
Posts
445
Reaction score
231
Habari zenu wakuu,

Nina mpenzi wangu ambaye huu ni mwaka wa pili tupo kwenye mahusiano, Juzi usiku baada ya kumgegeda, akaniuliza hivi baby kwanini unapenda mpira wa miguu kiasi kwamba hua unaniacha peke yangu wewe unaenda kwenye mpira?

Nikamjibu kua "baada ya Mungu, wazazi ndo mpira kitu ninachokipenda"akaniuliza "kwahiyo mimi na mpira kipi unakipenda?"Mimi nikamjibu toka moyoni kwamba mpira kwanza wewe ndo unafata, cha ajabu tangu juzi amekasirika na amesema kama nahitaji kumgegeda, niugegede mpira.

Swali langu ni kwamba hivi ni kosa kumwambia mtu ukweli wa kutoka moyoni?

Karibuni
 
Hao wasichana bhana tena wa chuo wanaopenda misifa, mwanamke na akili zake haiwezi kuwa kilaza kiasi hicho
 
Hebu Yageuze Hayo Maneno Iwe Unaambiwa Wewe Na Mtu Unae mpenda. Nadhani Hapo Ndipo Utajua Uzito Wa Kauli Yako.

hata akiyageuza kwa upande wangu mi naona sawa tu,maana yametoka moyoni,na upendo haununuliwi
 
Ni mwaka wa pili ila haujamjua partner wako ni mtu wa aina gani? Mfano, anachukuliaje mambo madogo kama hayo? Ajiamini tu bse uko nae yy na huo mpira sio "demu mwingne"
 
Ni mwaka wa pili ila haujamjua partner wako ni mtu wa aina gani? Mfano, anachukuliaje mambo madogo kama hayo? Ajiamini tu bse uko nae yy na huo mpira sio "demu mwingne"


mwanzoni wakat tunaanza mahusiano alikua mpaka ananipa kampani,sasa sijui imekuwaje hapo juz
 
hata akiyageuza kwa upande wangu mi naona sawa tu,maana yametoka moyoni,na upendo haununuliwi

Basi Kama Ndiyo Hivyo Ukweli Ni Kwamba Huyo Dada Humpendi Sema Uponae Tu Kwa Kusogeza Siku Mbele.
Maana Kuna Vitu Vingine Unapokua Kwenye Mahusiano Na Mtu Unaempenda Huwezi Kuvisema Kwa Njia Hiyo Uliyoitumia. Maana Kwa Kufanya Hivyo Kunaweza Kupelekea Kupungua Kama Sio Kuisha Kabisa Upendo Wenyewe Kwake.
Nb: Mapenzi Ni Hisia.
 
Hayo majibu uliyo toa, yangestahili kutolewa na mtoto wa Chekechea....
Kwanza huyo dada anabusara sana kama bado anaweza kulala na wewe nyumba moja

Ninavyo ona, kwanza wewe nimpitaji/haujawa tayari kuoa; au una umri mdogo sana; sitaki kutaja lile tatizo la kijamii Elimu, Elimu Elimu...kwani hata kwa akili ya kuzaliwa mtu hawezi kutoa majibu ya kejeli kama hayo kwa mpenzi wake!!!!
 
Kweli wewe ni uroto haswaaaa!! Kila binadamu hapendi ukweli unaoumiza, hapo shida ni wewe hukutumia akili tu, usimlaumu binti wa watu
 
Mi nikiambiwa hivo nachapa lapa hata sigeuki nyuma.Huwezi kunithaminisha na mpira aisee hizo ni dharau hata Mungu ataniadhibu kwa kuendelea kuufuga ujinga.Nakuachia nafasi ili uwe unaugegeda huo mpira Pumbaf!
 
yani niache kuangalia manchester united wanavyotoa dozi huko england nihangaike na kisichana?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom