Wakuu kama kawaida Jana tumeshuhudia miamba mitatu ikiipeperusha bendera ya Tanzania kwenye tuzo hizi kubwa kabisa, miamba hii ni Rayvany mwakyusa, diamond platnumz na dada yetu mzee wa ninogeshe ....sasa swami ni kwamba mwamba wa chitoholi aka harmonize anafanya juhudi kubwa sana kimziki hapa Afrika lkn tuzo ni ngumu sana kupata kwa mfano ......mpaka sasa hv ana tuzo moja ya kimataifa aliyoipata kwa wimbo wa BADO...Je tatzo ni nin wakuu?
Ahaaa kwamba bado anatengeneza connectionvurugu nyingi ila bado anakazi ya kufanya, tumpe miaka miwili ndo atakaa sawa, kwa sasa nayeye anajaribu kutrend anajaribu viugomvi, sasa havijaanza kumsaidia
Sent from my TECNO W5 Lite using JamiiForums mobile app
FOCUS!Wakuu kama kawaida Jana tumeshuhudia miamba mitatu ikiipeperusha bendera ya Tanzania kwenye tuzo hizi kubwa kabisa, miamba hii ni Rayvany mwakyusa, diamond platnumz na dada yetu mzee wa ninogeshe ....sasa swami ni kwamba mwamba wa chitoholi aka harmonize anafanya juhudi kubwa sana kimziki hapa Afrika lkn tuzo ni ngumu sana kupata kwa mfano ......mpaka sasa hv ana tuzo moja ya kimataifa aliyoipata kwa wimbo wa BADO...Je tatzo ni nin wakuu?
FOCUS!
Haangalii kujijenga kimataifa bali anaangalia kushindana na Mondi
Sent from my Infinix X627 using JamiiForums mobile app
Welcome back again big Bro,we micd youuuuFOCUS!
Haangalii kujijenga kimataifa bali anaangalia kushindana na Mondi
Sent from my Infinix X627 using JamiiForums mobile app
Peace n loveWelcome back again big Bro,mi micd youuuu
Ha haaa nimekupata mkuu .....kibaya zaidi ni kwamba mondi yuko bize hamjibuFOCUS!
Haangalii kujijenga kimataifa bali anaangalia kushindana na Mondi
Sent from my Infinix X627 using JamiiForums mobile app
KONDE ANATUMIA NGUVU KUBWA MNO KUTAKA KUJIONESHA BADO ANA UKUBWA ULE WA WCB ILA KIUHALISIA AMESHUKA MNO MKUUMkuu lakini tuzo ndio zna determine ubora wa kazi au vp